DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
At the same time mnatukana wanawaje wanaofanya kazi kuwa hawataki kulea watoto wao. Smh
At the same time mnatukana wanawaje wanaofanya kazi kuwa hawataki kulea watoto wao. Smh
Chunguza, wanaotukanwa ni wale wanaofanya kazi ya mshahara wa laki 4 halafu anampiga mumewe vibomu vya nauli ya kuendea kazini na pesa ya kula kazini inayofika hadi laki 6 kwa mwezi, hao ni wa kutukana kabisa..
 
Hakuna cha ugumu mme ulio mpenda unamuwekea sumu kwenye chakula? Mimi sinaga tamaa ikitokea mme wangu akanishinda wala sitompeleka mahakamani wala kudai chochote nitaondoka na begi langu akitaka kunipa atanipa atakacho ona nastahili, ķwetu nakula na kunywa bila kutumia jasho afu nina mikono miwili nafanya kazi maisha yanaendelea.

Siwezi muwekea sumu mtoto wa watu kisa mali. Mali kitu gani? Duniani tunatafuta furaha mali tutaziacha kwa nini nibebe dhambi zisizo kuwa za lazima.?
Narudia tena hata mwanaume anitendee unyama gani simuwekei sumu nitaondoka nimwache.

Hivi watu hamnaga huruma? Tusema mfano umemuwekea sumu mme kafa kweli mme ulie lala nae kitanda kimoja akifa kisa sumu ulimuwekea kwenye chakula, saa wanamzika wanashusha jeneza unajisikiaje?

Hapa duniani nitatenda dhambi zote ila sitoshiriki dhambi ya kuua au jaribio la kuua.

Sio kują kwa njia ya sumu tu lakini hata kwa kumroga na kumfanyia makafara nako ni kubaya sana.
Kuua ni kubaya iwe kwa njia yoyote ile.

Wanaume wengi wanarogwa sana na wake zao, michepuko, wakwe n.k

Tena hata kama ni hohe Hagę Ni hivyo hivyo ingawa kwa Mwanaume mwenye riziki chances ni kubwa zaidi.
 
Hakuna mtu mwenye pesa anaweza kuvumilia shida. Kama hauna pesa hauwezi kuelewa hii kauli. Dada yangu kama unataka unyenyekewe kwenye ndoa kama malaika. Tafuta mume masikini na umhudumie kila kitu umpe mpaka hela ya bia. Na kuahidi hata ndugu zake watakutetea ukikosea. Tatizo wanawake wengi mnachukulia uzuri wenu una thamani. Thamani ya binadamu yeyote duniani ni kiasi cha disposable income anachokimkliki. Mwanamke kama hauna hela kubali kuwa mnyonge. Usishindane na mumeo kwa kumkomoa. Wewe na mumeo ni vitu viwili tofauti. Yeye ndio anakuhudumia kila kitu. Na uwezo wake wa kukuhudumia ndio unaosababisha wanawake wenzako wamsumbue. Maisha yana sheria zake. Maisha ni kuchagua nimeshaelezea hapo juu uchague kutokana na maisha unayotaka. Sikubaliani na mwanaume anaetembea na mahawara huku hatimizi majukumu yake kama mume.
Nakuelewa.
Na hata wa hivyo atakubali kutawaliwa na mwanamke kwa Kitambo kifupi tu baada ya muda akichoka hatakubali sababu ni kinyume na naturę .
Mwanaume hata awe lofa kiasi gani hawezi kukubali kupandwa kichwani kukosewa heshima Eti Sababu mwanamke ndie Mleta ugali.
respect is fundamental to a Man.
 
Bado haujapitia shida kama hauoni umuhimu wa hela. Utu unatumika kama kigezo cha kuwakamua na kuwatawala masikini. Sijaweka negativity kwenye ndoa nimesema ndoa unachagua wewe mwenyewe.Tajiri hana muda wa kumnanga mke. Narudia tena kwa mara ya tatu "Hakuna mtu mwenye hela anaeweza kuvumilia shida". Wewe kama unataka kuishi kama kwenye movie tafuta masikini mwenzako. Mlishane ugali bamia kwenye mkeka. Lakini unataka uwe na mume tajiri, akununulie gari na kukuhudumia kubali kujishusha. Wanawake wenzako wanaona kabisa huyu jamaa ana mke na anaweza kumhudumia mke halafu na wewe unaleta kiburi. Hakuna mwanaume tajiri wa kwako peke yako. Kama mwanamke mzuri anavyotongozwa kila kukicha vivyo hivyo mwanaume tajiri anasumbuliwa kila kukicha. Kwa dunia ya leo unategemea kabisa mumeo ambaye amekuzidi hela na anakuhudumia kila kitu aishi unavyotaka 😂 😂 😂 😂 are you serious ? Mume anakuhudumia na anawaheshimu wakwe zake na mashemeji halafu unalia kisa ana kimada.

Halafu ukute mke mwenyewe hana swaga , hayuko romantic, yupo kama Shangazi ya watoto hapo nyumbani.
Hata ukiwa na swaga wanaume huwa wanachoka na kukinahi K moja miaka nenda rudi.
Halafu ukute mwanamke awe na mapungufu mengine kama vile mdomo, kelele, uchafu , mapishi ya ilimradi vimeiva n.k

hata hivyo wanaume wa bongo wanajitahidi kuonesha kuwajali wake zao.

Maana kimsingi yatima hapaswi kudeka.

Mwanamke tegemezi Halafu ulete masharti?!
 
Kapata mwanaume wa nje anataka Mali
Akaanze upya na huyo mchepuko wake
Mke akiomba talaka anajua Kwa kwenda tayari
 
Hakuna mwanaume mwenye hela ambaze ni mwaminifu kwa mwanamke mmoja. Watu wanatumiwa picha ya uchi na mashemeji zao kisa hela. Mwanaume mwenye hela anapitia vishawishi vingi sana ndio maana hawawezi kutulia na mwanamke mmoja. Naona bado ni mdogo na maisha bado haujayatambua. Unang'ang'ania viapo wakati mapadri, masheikh na wachungaji wanatulia mbele ya hela. Amka dada yangu ukitaka kuishi maisha ya muvi kutukuzwa kazana na shule uajiriwe kama kina Jokate. Maana maisha ya leo binti ukiwa na shule kidogo rahisi kutoboa. Kamwe Tajiri anakomolewa na tajiri mwenzake. Muheshimu sana mtu mwenye "disposible income". Maana wakati wewe unahangaika kutafuta hela yeye ana uwezo wa kutoa hela na asipungukiwe. Nancy anashindana na mtu aliyetoa mil 400 kanisani utamwambia nini mchungaji akusikilize, Are you seruíous ? Wanawake amkeni ukiolewa na mtu anaeweza kukuhudumia na jishushe na jifanye mjinga focus na familia yako wewe mume na watoto. Yasiyokuhusu achana nayo, kuna wanawwake walishindana na waume zao wameachika hauwezi kuamini. Wanawake hamjui mnachotaka narudia ndoa ya mtu mwenye hela inabidi ujishushe tena sana. Hio haki sawa huku Ulaya ipo kwa masikini ambapo unakuta mke na mume wote wanafanya kazi wanagawana majukumu yote kuanzia bill za umeme maji n.k hii ndoa unaiweza dada yangu ?

Ni kweli,
Muhimu ni kumuombea tu anakoenda iwe salama asipate magonjwa wala shida yoyote.

Na hii ni pamoja na kutomfatilia na kupekua simu zake.

Imeandikwa: upendo huamini yote, hauhesabu mabaya, haukosi kuwa na adabu , huvumilia, n.k
 
Hiyo ni sheria ya mirathi.
Sio sheria ya talaka.
Talaka na mirathi ni vitu viwili tofauti kabisa mkuu.

Mke ni mmiliki wa mali za mume pale Mumewe akifariki halikadhalika na mume ni mmiliki wa mali za mkewe pale mke anapofariki.

Lakini linapokuja suala la talaka. Hali huwa tofauti. Kila mmoja anataja alichochuma na alichomiliki. Hiyo ndio HAKI.


Kumbe ni hivyo?
Hilo naona wengi hawalijui kwenye jamii yetu.

Mbona wanasemaga kuna kugawana mali pasu tu pasu au ?
 
Hili andiko la hii hukumu limekaa sawa kweli embu ngoja nianze upya tena kusoma

Haya mandoa na mahela yao yanayotokana na pesa za kudhulumu huwa hazidumu

Watatifuana mahakaman hadi pesa zitaisha

Ni mambo ya Bilionea Msuya

Popote utakapochuma kwa dhuluma lazima kirudi kwa mwenyewe ni suala Ia muda

Hata Mo nae atapitia tu Huku, anaidhulumu sana Simba SC Adhuluma dhwalala Kuli
 
Mosha ili suala litamtafuna ngoja huyo mwanamke akate rufaa ,mwanamke alikuwa anajua biashara zake kwa miaka 20 na kitu ,ina maana kilichochumwa baada ya ndoa ni sehemu ya mali ya meke mume.
Unadhani mahakama haijajiridhisha vizuri? Listen, saivi watu wanakuwa ni shareholder kwenye makampuni wanayoyamiliki na wanakuwa na share ndogo sana au hawana kabisa rather anakuwa ni advisor wa kampuni anayomiliki. So ukimtafuta kisheria mali anazomiliki humpati. What if Devis mosha anamiliki 1% ya mali zake zote tunazozijua Au ni mshauri wa kiuchumi wa kampuni tunazohisi anazimiliki. Watagawana nini?
 
Umesoma lakini haujaelimika. Hizo sheria nilizo zi quote nimezitoa leo kwenye website za matrimonial law firms za UK. Hapa hatuzungumzii mke anayefanya kazi katika kampuni ya kampuni. Tunazungumzia mwanamke aliyeolewa period. Hizi haki za msingi haziondolewi na status yake ya kuwa employee. Unless uniambie alikuwa analipwa mshahara ili atoe huduma za mke.
Hizo unazoita attack points ( alikuwa malaya, alijaribu kumuua mume wake, alikuwa anamuibia mume wake n.k.) hazihusiki katika mgawanyo wa matrimonial assets. Sehemu yake ni katika kujenga hoja ya kuvunja ndoa. Ati statute of limitations katika haki ya aliyekuwa katika ndoa. Kweli mnatuona wajinga sana!

Amandla...
ungekuwa mwanasheria ungeelewa nilichoandika ndio , UK statutes, statutes of equity can only be applied up to 1895 past that statutes of limitations kicks in , in modern times Tanzania imedevelop jurisprudence in many issues including divorce proceedings , you're wasting time reading defective UK laws that lack locus standi huku labda persuasive not binding .
Pitia hyo kesi soma the judges obiter na ratio descendidi uelewe the judge's logic
 
ungekuwa mwanasheria ungeelewa nilichoandika ndio , UK statutes, statutes of equity can only be applied up to 1895 past that statutes of limitations kicks in , in modern times Tanzania imedevelop jurisprudence in many issues including divorce proceedings , you're wasting time reading defective UK laws that lack locus standi huku labda persuasive not binding .
Pitia hyo kesi soma the judges obiter na ratio descendidi uelewe the judge's logic
Baada ya kusoma ulichoandika ninashukuru kuwa mimi sio mwanasheria.

Amandla...
 
S. 1 14( 1) The court shall have power, when granting or subsequent to the grant of a decree of separation or divorce, to order the division between the parties of any assets acquired by them during the marriage by their joint efforts or to order the sale of any such asset and the division between the parties of the proceeds of the sale.

In excercising the power conferred by subsection (I ), the court shall have regard -

to the custom of the community to which the parties belong;
to the extent of the contributions made by each party in money, property or work towards the acquiring of the assets;

to any debts owing by either party which were contracted for their joint benefit; and

to the needs of the infant children, if any of the marriage,

and subject to those considerations, shall incline towards equality of division .

For the purposes of this section, references to assets aquired during a marriage include assets owned before the marriage by one party which have been substantially improved during the marriage by the other party or by their joint efforts.

Hapa inasema hata mali ambazo zilipatikana kabla ya ndoa na zikaboreshwa wakati wa ndoa zinahesabiwa kama matrimonial property.

Kuhusu madai kuwa tabia mbaya ya mke inamfanya asiwe na haki ya kupata mgao soma maoni ya Rashid Kawawa akiwa Bungeni na Jaji Samatta.
Kawawa, Leader of the Government business in the House, replied that »the right of a spouse to a share of assets must be clearly understood because it does not depend upon which party caused the breakdown of the marriage. What is being given to the spouse is an entitlement based on sweat and not on good behaviour« (1 971: 380) (Trans. BAR.). Samatta J., expressed a similar view in the case of Swiga Kilima v. Hamisi Mwakafila4 where he stated that there were no provisions in the Law of Marriage Act which state that a spouse who is responsible for the breakdown of the marriage loses his or her share of the assets which the spouses acquired through their joint efforts. Samatta J., stressed that »whether the provisions of section 1 14 are read by the use of a magnifying glass or a microscope, it is patently clear that a spouse cannot lose his or her share of matrimonial assets because he or she is the one who caused the burial of the marriage«.

Amandla...
 
Unadhani mahakama haijajiridhisha vizuri? Listen, saivi watu wanakuwa ni shareholder kwenye makampuni wanayoyamiliki na wanakuwa na share ndogo sana au hawana kabisa rather anakuwa ni advisor wa kampuni anayomiliki. So ukimtafuta kisheria mali anazomiliki humpati. What if Devis mosha anamiliki 1% ya mali zake zote tunazozijua Au ni mshauri wa kiuchumi wa kampuni tunazohisi anazimiliki. Watagawana nini?
Amuulize ya K-lynn Kwa Mengi, mwanamke alijua Mengi anamiliki makampuni yote kwa asilimia 100 kumbe alishagawana yeye mkewe na watoto.
 
Kuna watu Huwa wanasema ukioa mchaga ni sawa na kukaribisha jambazi nyumbani kwako.kupewa sumu ni nje nje.nimeanza kuamini maana matukio mengi sana ya wachaga kuua waume zao ili kurithi mali
 
Kumbe ikilalia upande huu ....ndio inakuwa sio haki....ila ikiwa upande wa fe....ni haki na kila mtu anasimama na kuisifu mahakama....wanaume tujitafakari sana usalama wetu unazidi kushuka sana...na cha kusikitisha ni kuwa wengi wetu ni wasaliti.
 
Kuna watu Huwa wanasema ukioa mchaga ni sawa na kukaribisha jambazi nyumbani kwako.kupewa sumu ni nje nje.nimeanza kuamini maana matukio mengi sana ya wachaga kuua waume zao ili kurithi mali
Huyo mwanamke Davis aliyemuoa kwani ni mchaga? Tena mswahili mndengereko kizuri alibadili dini na kuwa mkristo Yesu atamsamehe. Wewe nimsenge jinga kabisa huna tofauti na Accumen Mo na darcity.

Rejected human being.

Sayngay
 
Back
Top Bottom