TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
Kajilipa sio!?Huyo dada kakopa millioni 500,000,000 benki na bado akahamisha dollar 1.4 millioni kutoka akaunti ya kampuni. Bila kusahau wakati anaondoka nyumbani alipotea na dollar 750,000,000. Mbona pesa nyingi hivyo?. Ingekuwa mwingine angeondoka kimya kimya.
Halafu kasettle na mganga wa kienyeji