DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kashindwa Mzungu wa hakimi. Ulaya kwenye sheria kali za kuwabeba wanawake. Sembuse huyo mbongo

Ukimjua Davis mosha vizuri huwezi shangaa kushinda hiyo kesi.

Ni ana akili nyingi kweli kweli.. huo utajiri wake tu kaupata kwa akili zake za kuusoma mtaa.

Mosha ni mfalme wa Magumashi
Nyuma ya Davis Mosha kuna Msoga gang... huyo mazeri hawezi fanya kitu kwasababu kwenye mali za Mosha kuna wazito na mafia zaidi ya Mosha.
 
Hivi hizi grounds mnatokaga nazo wapi sijui jina la mama sijui la baba sijui watu wengine.
Mali za mtu mahakamani ndioz hutajwa. Hmna chizi anafungua kesi kudai mali zisizomuhusu, wala mahakamani hakuna kesi inayohusu mali zisizokua zimeorodheshwa kwa majina ya pande zote mbili.
Ukifika mahakamani mali zinatajwa zile zinazohusu tu. Hivo ukiona mtu kashinda au hajagawa mali ww unazozifahamu basi ujue hizo mali hazihusishi zote unazojua. Pili, huyo mwana mama. Inawezekana kuna makosa yamemkosesha mali, inawezekana, hakuwepo wakati wa kuchuma mali on subject, inawezekana davis ana grounds zakutoweza kugawa mali zake. Na grounds hizo zipo hapo.hana mali yoyote kwa jina lake. Maali nyingi ni za kampuni, ni ngamia tu wapo chini yake tena kama private property, mali nyingi alizichuma kabla ya ndoa, na mwanamama huyo kabeba kitita cha kutosha zaidi ya usd milioni 750, Pia aliwekeza mali kivyake mwanamama huyo na davis hakuwa na haja ya kuzifatilia.
Dada kayakanyaga kukubali Kuhusu mitomingi, yaani grounds zote davis hatakiwi kumpa mali huyo dada. Sasa muache oooh kaandika majina mama. Hamna mali ya mama yako itakuja mahakamni kama kielezo ni mali yako.
USD 750 million?
 
This is wrong in so many ways. Bora angekuwa mama wa nyumbani (nayo sio sawa pia) Kama ameshiriki kuchuma nae kwa miaka 20 hiyo ni dhulma.

Lakini mali hazijanisikitisha sana kama ndoa kuvunjika. Miaka 28? Ni madhaifu gani hayo ambayo hawakuweza kuyavumilia baada ya miaka 28?

Mnaweza kuishi pamoja lakini msichume pamoja.
Wasomi wote wanajua hilo.
Watu ambao hawakufanikiwa kusoma na hawana maarifa ndio huwaza kwa namna yako
 
Halafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.

Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.

Alishiriki kama nani?
Mfanyakazi au mmiliki?
Kampuni haitambui neno mke au mume. Inatambua Bodi ya wakurugenzi na wafanyakazi.
Sasa alishiriki kwa namna ipi?

Hapo mahakamani ndio anatakiwa apeleke vielelezo
 
Kwani Bango linasemaje?
photostudio_1708617593619.jpg
 
mnakurupuka kuchangia bila kusoma hiyo hukumu between the lines, kwanza demu ndio aliandika kuwa anataka kusepa na kwamba amechoka, pili kwakuwa alikuwa analiwa na mganga wa kienyeji akaona huyo ndio wa maana zaidi kuliko mumewe baada ya kuona kachemka akataka kurudisha majeshi kumbe too late, kimsingi hizi ndoa za wenye hela kuna matatizo makubwa sana, na kwakweli sijui wanawake huwa wanatakaga nini mpaka sasa sijawaelewa kabisaaaa.

Kweli kabisa ukisoma hukumu nzima unapata picha nzima.

Huu ukurasa wa 15 wa hukumu hapa chini umevutia macho yangu kusoma kwa makini pamoja ya kusoma kurasa zote za hukumu:


1708683368626.png
 
Halafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.

Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.
Nifah umeisoma hiyo hukumu?

WENGI wanaomlaumu Hakimu au huyu Mosha naona hawajaisoma hiyo hukumu kwa kutulia.
Iko very clear. Inaonekana mama alishachukua mgao wake siku nyingi.
 
This is wrong in so many ways. Bora angekuwa mama wa nyumbani (nayo sio sawa pia) Kama ameshiriki kuchuma nae kwa miaka 20 hiyo ni dhulma.

Lakini mali hazijanisikitisha sana kama ndoa kuvunjika. Miaka 28? Ni madhaifu gani hayo ambayo hawakuweza kuyavumilia baada ya miaka 28?
Nimeipenda hiyo. Kama kila mmoja wetu angefikiria unavyofikiria kusingekuwa na shida hizi
 
Kashindwa Mzungu wa hakimi. Ulaya kwenye sheria kali za kuwabeba wanawake. Sembuse huyo mbongo

Ukimjua Davis mosha vizuri huwezi shangaa kushinda hiyo kesi.

Ni ana akili nyingi kweli kweli.. huo utajiri wake tu kaupata kwa akili zake za kuusoma mtaa.

Mosha ni mfalme wa Magumashi

Akili zake ?? Naskia shanfazi ake mama ana Nkapa shekhe
 
This is wrong in so many ways. Bora angekuwa mama wa nyumbani (nayo sio sawa pia) Kama ameshiriki kuchuma nae kwa miaka 20 hiyo ni dhulma.

Lakini mali hazijanisikitisha sana kama ndoa kuvunjika. Miaka 28? Ni madhaifu gani hayo ambayo hawakuweza kuyavumilia baada ya miaka 28?
Wanawake wakishakaa miaka mingi Kama hiyo kwenye ndoa,huwa hawaoni umuhimu wa mume/ndoa,ubinafsi hutawala nyoyo zao,huu ni ugonjwa mpya kwa wanawake wa tz,ndoa za watu wazima nazo Zina shida kweli siku hizi
 
Back
Top Bottom