Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio boss. USD Milion 750USD 750 million?
Tajiri unampa tu aliyekuwa mkeo mahitaji yake hakuna haja kushtakiana.mbona ni waelewa tuKubondewa hiyo ya masikini,matajiri huwa ni hujuma na timing za talaka mugawane mali
Wanalitumia kuhalalisha maovu yao yasionekane....unakuta anafanya umalaya..anakuibia ukijua ukauliza unaambiwa wewe mnyanyasaji..shenzyWanawake neno "Kunyanyasa" wanalitumia vibaya sana aisee.
Kijana,huna hela na huwajui wanawakeTajiri unampa tu aliyekuwa mkeo mahitaji yake hakuna haja kushtakiana.mbona ni waelewa tu
GugoPicha ya mfanyabiashara na mkewe?
wanawake siku hizi wamekuwa wezi,,ukiwa na hali ya kawaida,anakuvizia umejaza furnicher ndani anabeba na kusepa,mkiwa na kabiashara labda kijiduka,anabeba vi2 vyandani anakusanya na vyadukani then nduki!! ukiwa tajiri ndo litakukuta jambo kama bilionea msuya!!!!...................sitski ata kuwasikia ingawa ni mama zangu na nina mabinti wawili lakini sina hamua nao kabisa!!Kama huyo Demu wa kaskazini watasumbua sana ,mwanamke alikuwa kweny biashara zake kwa miaka kama 20 .
Ngoma bado mbichi ,mapema inaonekana mwanamke kaleta tamaa ...Ila jamaa akae la sivyo ajiandae .
Hawa wanawake nisiwajue mimi?Kijana,huna hela na huwajui wanawake
Huna hela,una korodani tuHawa wanawake nisiwajue mimi?
Niko nao toka 90s na sijasumbuana na yoyote.
Nimepita nao km 10000 hivi
Na still niko single
Aisee kweli usilolijua usiku wa giza!kabla sijaoa kila nikiwaona davis mosha na mkewe pale mbezi beach kkkt nikawa nawatamania maisha yao!dah kumbe ndani kulikua kunafukuta!ndo maana mwamba siku hizi yupo rafu rafu, na anakuja church mwenyewe!aisee ndoa hizi wanaume tunavumilia mengi sana!Mfanyabiashara Davis Mosha ameacha na mke wake wa ndoa aliyeishi naye kwa miaka 28 amekwenda kufoji nyaraka za kampuni hukumu imetolewa mke hajapewa urithi hata pini.
Masikini ya Mungu Huyu Mkewe ndiye alikuwa muhasibu wa kampuni zote za huyu mfanyabiashara kwa miaka 20.
Majaji wetu hukumu kama hizi ni za ukandamizaji, mawakili tunaomba msaidie kama hii hukumu ni halali na mahakama zetu zinatoa haki nimeona uonevu mtupu humu Pesa imenunua haki.
Je hii ni sawa?
==========
MAAMUZI YA MAHAKAMA
- Ndoa kati mlalamikaji na mlalamikiwa imevunjwa na talaka imetoka.
- Hakuna mali zilizopatikana kwa pamoja kwenye ndoa.
- Ungalizi wa mtoto Daniela Davis Mosha unakuwa chini ya mlalamikaji(Baba)
- Mdaiwa anapewa ruhusa ya kuwa na mtoto kipindi cha likizo na siku yenye nafasi kwa mtoto
- Mdaiwa amakatazwa kutumia jina la mlalamikaji Davis Mosha na amerejeshewa majina yake ya awali
- Kila mmoja atabeba gharama za kesi
View attachment 2912748View attachment 2912749View attachment 2912750View attachment 2912751View attachment 2912752View attachment 2912753View attachment 2912754View attachment 2912755View attachment 2912756View attachment 2912757View attachment 2912758View attachment 2912759View attachment 2912760View attachment 2912761View attachment 2912762View attachment 2912763View attachment 2912764View attachment 2912765View attachment 2912766View attachment 2912767View attachment 2912768
Sasa pesa zote hizo , jumla ni zaidi ya Bilioni 6 kaiba, kapeleka wapi? Au bado zipo?, kwamza ashtakiwe mwizi huyo arudishe pesa!Utajiri wa davis mosha ni mkubwa sana.
Nazani wakati anafunga ndoa biashara zake alizitenganisha na ndoa yake.
Davis Mosha akili nyingi sana yule mwanayanga mzee wa lamborgin
Pia kampuni ya delina mosha ameimiliki kabla hajafunga ndoa.
Mosha ameanza biashara ya usafirishaji toka miaka ya 1980s mwishoni.
Pia mwanamke mwenyewe mwizi wa mali za mumewe.. ukisoma hukumu utaona wizi alioufanya
Nimechoka nilivyosoma Mwanamke alitaka kumuua mume wake mission ikafeli
Umeshaambiwa hajashiriki kuchuma, alikuwa mfanyakazi anaeliowq mshahara na stahiki zote kwa kipindi chote. Kaiba karibu bilioni 6 akiwa kazini. Nini huelewi, legeza bichwa hilo..This is wrong in so many ways. Bora angekuwa mama wa nyumbani (nayo sio sawa pia) Kama ameshiriki kuchuma nae kwa miaka 20 hiyo ni dhulma.
Lakini mali hazijanisikitisha sana kama ndoa kuvunjika. Miaka 28? Ni madhaifu gani hayo ambayo hawakuweza kuyavumilia baada ya miaka 28?
ila dangote kazaa watoto na wanawake wote wanne, jamaa kaacha pisi kali wengine nao wajilie tani yaoMaghayo ndio maana hataki kuoa kwao.
Where are we heading? Kwa nn ndoa zimekuwa hivi ?
Miaka 28 ,hii kama ile ya Mengi ni hatari sana ...Kule Dangote kavunja ndoa zote 4 mpaka kaacha kuoa bora atulie afanye biashara zake.
Watoto 4 kila mmoja na mama ake😂😂ila dangote kazaa watoto na wanawake wote wanne, jamaa kaacha pisi kali wengine nao wajilie tani yao
Kwani si alikuwa analipwa mshahara? Au alikuwa mwanahisa wa hizo kampuni?Mosha ili suala litamtafuna ngoja huyo mwanamke akate rufaa ,mwanamke alikuwa anajua biashara zake kwa miaka 20 na kitu ,ina maana kilichochumwa baada ya ndoa ni sehemu ya mali ya meke mume.
Kwanini kaiba Bilioni 7 kwenye kampuni na mshahara alikuwa analipwa?Halafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.
Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.