Ila kuna wanawake ni Eva na kuna wanawake ni Lilith, sasa inategemea utaangukia kwa nani Eva wa kwanza au Eva wa piliNdoa haifai ni mateso na tabu,wanawake wamekuwa hawbiliki ni stress tupu..zalisha tunza watoto wako...shetani ameamua kujidhihirisha yakwamba anajinsia ya kike.
Roho ya usaliti ni mbaya mno.Taarifa kutoka Temeke zinadai kwamba Ndugu David Kafulila na Bi Jesca Kishoa wameachana baada ya ndoa yao kuvunjwa Mahakamani .
Kesi yao imetajwa kusajiliwa kwa No 217/2022 , katika kituo jumuishi cha Huduma za Mahakama , Mirathi na Ndoa , kilichopo Temeke , Dar es Salaam .
Mahakama imeamuru watoto kubaki na Mama yao huku gharama za kuwatunza zikigawanywa kwa 50% kwa wazazi wote .
Tunawatakia kila la heri katika Mahusiano yao mengine mapya yatayokuja huko mbele .
Ameen!!!Naomba nikazie kwa heshima huku nikiinamisha kichwa na wote tuseme Amen!
Tatizo kubwa mno.
Lakin kulea mwenyewe, ama kulelewa watoto hainogi!!Vijana tafuteni maisha msikinbilie kuoa. Ukitaka kuishi maisha marefu mazuri achana na ndoa. Tafuta chizi lako lizalishe pita hivi, kazi yako kulea tu.
Sema vizuri labda linamilikiwa tayari na wanene mjemgoni....teh teh.Sasa wewe kaingie kichwa kichwa.
Yule Yuko na iPhone pro max extra utamuweza?
KumbeBoth.
Kwahiyo kuachana kwa wanandoa ni fasheni?Bill gates na Dangote waliachwa sembuse tumbili
Hii kombinesheni ilikuwa ngumu...mmoja mbishi mmoja mkorofi asiyeambilika
Kigogo amesemaje huko twitani?
Ha ha ngoja niende twitani bila shaka moto utakuwa mkubwa
Facebook Kigogo Kigogo kuna voice note za Mzee wa Namungo.Kigogo amesemaje huko twitani?
Nani kakuambia? N[emoji3][emoji3][emoji3]Tena hawa ni mastaa wakubwa katika siasa lakini wameshindwa kuishi maisha ya ndoa. Anyway kafulila ni mwanaume nafasi ya huyo mke wake itazibwa fasta hata na mwanamke mwenye elimu ya chini na maisha yake ya ndoa yakaimarika. Ishu ni kwa ex wake kupata mume mpya, labda mpenzi tu wa kukidhi haja. Maana wanaume wengi huogopa kuoa fasta wanawake wanaoachika.