Mahakama yavunja ndoa ya Kafulila na Jesca Kishoa

Mahakama yavunja ndoa ya Kafulila na Jesca Kishoa

Huyu baba ni wale born and raised in sabato na from a very strong family u could imagine....
Ni shoga maarufu na ana mke kabisa... nikitaja tu hyo kata basi kila mtu anamjua. Ameliwa mpaka na wahindi na waarabu sasa ana HIV ameamua kurubuni vijana wadogo kwa fedha na kuwawezesha vimiradi vidogo ili wampakue. Jaman jaman saa ivi mtu akienda labor anatamani baby girl wakati before ilikuwa watu wanatamani wanaume ili kujenga ukoo
Toa kodi
 
Ni wanaume wa aina yako waliokuwepo enzi zile na wakawa na mamlaka ndio waliotufikisha hapa tulipo!

Ilikua ni rahisi kuwapa mwanya wa hivyo vyote unavyopinga wasiwenavyo, wangezaliwa na kuwa navyo wangevizoea na wangeishi navyo kwa mujibu stahiki wa wakati huo na huu pengine!

Sasa hizi sarakasi zote za haki Sawa na takataka zote kwenye taasisi takatifu ya ndoa zimekuja baada ya wao kugundua kwamba waliyoambiwa na kuaminishwa plus kulazimishwa vizazi na vizazi hayana Ukweli wa asilimia 100 ila kiasi kikubwa ni kwa matakwa ya wenzao na “Ego” zao!

Hakuna pa kuchomokea, kilichotafutwa na wazee wenu mnakipata wajukuu!

Mungu ni mwema wakati wote.
Wanataka mwanamke anyanyasike tu bila kujitambua acha 2mbili akaoe 2mbili wenzie huko
 
Ile sheria ya maadili ya watumishi wa umma haihusu mtumishi kuwa na maadili ya ndoa? Au ndoa ni suala binafsi? Sasa kama ikitokea la kutokea kama hivi sasa wimbi la ushoga limepamba moto, mwanasiasa wa aina hii atapata wapi ujasiri wa kuongelea mmomonyoko wa maadili na malezi ya watoto wakati yeye mwenyewe si mfano mzuri? Safari hii ishu ya ushoga itawatoa kamasi wanasiasa, bora suala hili lisifikishwe bungeni kujadiliwa kuna wabunge hawatakuwa na sifa ya kuchangia hoja watakaa kimya. Labda wajenge hoja kuvutia upande wao
 
Inaonekana baba yako nae alilitafuta lichizi lake akakupata wewe. Usisahau kumuomba baba yako usaidizi kwenye kulichagua lichizi lako.
Hapana baba yangu alilitafuta lichizi limaza lako akalitoa marinda ukazaliwa wewe 😂, malaya unayezeeka bila ndoa kwasabab huna mvuto punguza kiherehere.. karibu tena nakungoja
 
Tena hawa ni mastaa wakubwa katika siasa lakini wameshindwa kuishi maisha ya ndoa. Anyway kafulila ni mwanaume nafasi ya huyo mke wake itazibwa fasta hata na mwanamke mwenye elimu ya chini na maisha yake ya ndoa yakaimarika. Ishu ni kwa ex wake kupata mume mpya, labda mpenzi tu wa kukidhi haja. Maana wanaume wengi huogopa kuoa fasta wanawake wanaoachika.
Hivi unazani siku zote hizi yeye Jessica hajapata?
 
But why? Miaka 18 watoto is watamsahau Baba na Mama atapata advantage zaidi; na wengine huwajengea chuki watoto kiasi wanakua hawana mpango na baba. Mimi kuna wakati nadhani Mahakama ili review hizi sheria maana kama inapendelea upande mmoja, na akina Mama Wengi hu take advantage ya hizi sheria.
Hiyo hukumu haimkatazi baba kutokuwa na watoto wake atakuwa nao vipindi vya weekend na likizo za masomo.
 
Back
Top Bottom