Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Naona leo MNA ushindi mkubwa team kataa ndoa.😀😀KATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
KIJANA KATAA NDOA
Liverpool VPN one man down copy?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona leo MNA ushindi mkubwa team kataa ndoa.😀😀KATAA NDOA
KATAA NDOA
KATAA NDOA
KIJANA KATAA NDOA
Kassim ameitwa Mara tatu na Kigogo leo, audio clip zipo hadharani, Kigogo amechomowa betri.Hili suala limeenda fasta au sababu mwanamke ndio ametaka talaka
kabla ya kungongeana likes za kutosha...Je ! mimama mkwe yenu haiingilii ndoa zenu au kuyashika masikio hayo MACHIZI mnayoishi nayo !Ndoa ni fumbo lenye codes ngumu sana. Wale ambao tumeoa kuanzia past five years kuendelea na ndoa zetu hazina mushkeli wala figisu figisu kubwa kubwa tugonge like hapa za kiumeni.[emoji16]
SijaelewaKassim ameitwa Mara tatu na Kigogo leo, audio clip zipo hadharani, Kigogo amechomowa betri.
But why? Miaka 18 watoto is watamsahau Baba na Mama atapata advantage zaidi; na wengine huwajengea chuki watoto kiasi wanakua hawana mpango na baba. Mimi kuna wakati nadhani Mahakama ili review hizi sheria maana kama inapendelea upande mmoja, na akina Mama Wengi hu take advantage ya hizi sheria.Mpaka watimize miaka 18.
Nakadori mapenz na mjomba wako bad mnaendelea?Kumbe eeh umbali tatizo sana
We kwel mbatizaji😅😅2mbili vs Covid-19
😃We kwel mbatizaji😅😅
Hahahah wanafikiria malezi ni kulipa ada na kulipia king'amuzi cha dstv ili mtoto aangalie makatuni tu.Mkuu,
Nyakati ulizokulia na sasa ni tofauti sana, malezi yamekuwa magumu mno kwa watoto wetu, kama unapinga hilo ni sawa tu lakini makuzi kwa watoto wetu yanahitaji umakini zaidi ya kawaida, tofauti na nyakati sisi tunakuwa.
Zalisha tu, waachie mama zao walee wewe utakuwa unatuma matumizi na ada, then njoo later kwenye adolescence ya watoto wako. Ndio utasema kama ushoga ni tabia, makuzi au mazingira ya mtu.
Endelea kupinga ndoa mkuu, zalisha tu!!
Mashoga wamekuwa na uhuru sana awamu hii. Lazma ukweli usemwe na uhuru wa kishoga ndio uhuru wa kuharibu taifa. Mtu kama anaona kusukuma sewage ya mwanaume mwenzie ni jambo la kufurahia basi alaaniwe vikali.Hii issue ya ushoga watu wanapenda kuitengenezea sana visabishi na excuse kibao wakati mashoga walikuwepo tangu zama hizo wakati malezi ya Kitanzania yalisemekana ni mazuri. Kama ilivyo sasa tunavyowasingizia wazungu kuleta ushoga wakati kwenye kumbi za taarabu those days walikuwa ndo maskani yao huku wamevaa kike
tena sana tu, yule mama bado wamo mwili unachemka 50'c, sasa ataishije mbali na mume wake? Ni binadamu wa kawaida kama wengine lazima ajiongeze kupunguza jotoKumbe eeh umbali tatizo sana
pale kati wanayo, ni patamu sana pale ukikaribishwa unaingia tu bila kujali hadhi yakeMwanamke anaemuoa mwanasiasa ana roho ngumu ni kama raia kumuoa mwanamme askari
Upareni hakunaga ushogaHakuna ukweli wowote, kwamba mpare shoga na mfirwaji awe ndugu yangu, namkataa hata kama tunatoka tumbo moja.
Ujanja wake wote kukaririshwa data azitamke kachemka kutumia mbinu hiyohiyo kubakiza tulizo lakenaikumbuka ndoa hii
Siku huyo mwanamke akikosa ubunge ndio atajua hajui. Atakua na pesa sawa lkn mwanaume gani anapenda mwanamke mwenye pesa.Tena hawa ni mastaa wakubwa katika siasa lakini wameshindwa kuishi maisha ya ndoa. Anyway kafulila ni mwanaume nafasi ya huyo mke wake itazibwa fasta hata na mwanamke mwenye elimu ya chini na maisha yake ya ndoa yakaimarika. Ishu ni kwa ex wake kupata mume mpya, labda mpenzi tu wa kukidhi haja. Maana wanaume wengi huogopa kuoa fasta wanawake wanaoachika.
Kwa sasa Jimbo liko wazi.Taarifa kutoka Temeke zinadai kwamba Ndugu David Kafulila na Bi Jesca Kishoa wameachana baada ya ndoa yao kuvunjwa Mahakamani .
Kesi yao imetajwa kusajiliwa kwa No 217/2022 , katika kituo jumuishi cha Huduma za Mahakama , Mirathi na Ndoa , kilichopo Temeke , Dar es Salaam .
Mahakama imeamuru watoto kubaki na Mama yao huku gharama za kuwatunza zikigawanywa kwa 50% kwa wazazi wote .
Tunawatakia kila la heri katika Mahusiano yao mengine mapya yatayokuja huko mbele .
soon washua wataokota embe dodo chini ya mchongomaAiseee huyo mtu si yupo kwenye "grid ya taifa"? Kafulila amesalimika kweli na "juliana"? Ni kazeze Ni kazeze.
Stori nyingi za bodaboda hujisifu kulamba majimama dizaini hii. Wanadai wanachotaka ni kupelekewa moto tuSiku huyo mwanamke akikosa ubunge ndio atajua hajui. Atakua na pesa sawa lkn mwanaume gani anapenda mwanamke mwenye pesa.
Raha ya penzi mwanaume ahonge.
Labda achukue bodaboda.
Toa codeKuna mstaafu flan ndugu yako kule milimani ni shoga tangu miaka hyo tukiwa primary ...
Ana familia vizuri tu na amelelewa familia ya kichungaji