Mahakama yavunja ndoa ya Kafulila na Jesca Kishoa

Mahakama yavunja ndoa ya Kafulila na Jesca Kishoa

Mara nyingi nimekuwa nikisema hapa kuwa ndoa Haina shida shida ni sisi wanadamu kutokuwa na hekima,uroho wa Mali ,ubinafsi na majivuno ya pesa na elimu hasa kwa wale wenye mishahara yao hasa akina mama.Kingine ni viburi ambapo kimsingi na kitamaduni wanaume wengi wanaitaji heshima mbele ya wake zao awe na kipato au hasiwe nacho tofauti na hapo ni vulugu apo nagusa ndoa nyingi za wasomi na watu maarufu tatizo liko hapo.Ubinafsi pia ni tatizo sugu ambapo wanandoa wengi wanjiangalia wao tu bila kujua Kuna watoto ambapo kutengana kwao kutawaumiza kwa namna moja au nyingine,kutoa matumizi au pesa so tija Cha msingi ni kujitoa kwa ajili ya mwenzako na familia kitu ambacho kwa dunia ya sasa hakipo.Tusipokuwa na hekima kizazi kijacho Ndo kitakuwa Basi hakuna chochote hasa ktk taasisi ya ndoa itakuwa msamiati mkubwa.Niwashukru wanaopitia majaribu ktk ndoa lakini wanapambana na mungu anawasimamia kwa kuwapa hekima ya kutambua mapungufu yao na kusimama tena.So sad
 
Mara nyingi nimekuwa nikisema hapa kuwa ndoa Haina shida shida ni sisi wanadamu kutokuwa na hekima,uroho wa Mali ,ubinafsi na majivuno ya pesa na elimu hasa kwa wale wenye mishahara yao hasa akina mama.Kingine ni viburi ambapo kimsingi na kitamaduni wanaume wengi wanaitaji heshima mbele ya wake zao awe na kipato au hasiwe nacho tofauti na hapo ni vulugu apo nagusa ndoa nyingi za wasomi na watu maarufu tatizo liko hapo.Ubinafsi pia ni tatizo sugu ambapo wanandoa wengi wanjiangalia wao tu bila kujua Kuna watoto ambapo kutengana kwao kutawaumiza kwa namna moja au nyingine,kutoa matumizi au pesa so tija Cha msingi ni kujitoa kwa ajili ya mwenzako na familia kitu ambacho kwa dunia ya sasa hakipo.Tusipokuwa na hekima kizazi kijacho Ndo kitakuwa Basi hakuna chochote hasa ktk taasisi ya ndoa itakuwa msamiati mkubwa.Niwashukru wanaopitia majaribu ktk ndoa lakini wanapambana na mungu anawasimamia kwa kuwapa hekima ya kutambua mapungufu yao na kusimama tena.So sad
Umenena !!

Naona Kuna age mkifika kama wanandoa muachane na Tamaa za kidunia na utoto then muwe wote mnapambania maendeleo yenu na watoto wenu.

Imagine watu wapo miaka 45 na kitu ila eti wanavunja ndoa wakati ni mda mchache mbeleni wanakuwa wazeee .
 
Umenena !!

Naona Kuna age mkifika kama wanandoa muachane na Tamaa za kidunia na utoto then muwe wote mnapambania maendeleo yenu na watoto wenu.

Imagine watu wapo miaka 45 na kitu ila eti wanavunja ndoa wakati ni mda mchache mbeleni wanakuwa wazeee .
Hilo Ndo tatizo kubwa sana kwenye ndoa nyingi chunguza tu ukweli Ndo huo,kimsingi mkishapata watoto hakuna namna nyingine tena ya kutengana Kama mna hekima na ofu ya mungu.Ila dunia ya sasa imetawaliwa na ulafi wa Mali na majivuno ya Kila namna na ubinafsi eg pesa,vyeo na elimu vitu ambavyo ni ubatili mtupu apa duniani,Mungu atubariki.
 
Hilo Ndo tatizo kubwa sana kwenye ndoa nyingi chunguza tu ukweli Ndo huo,kimsingi mkishapata watoto hakuna namna nyingine tena ya kutengana Kama mna hekima na ofu ya mungu.Ila dunia ya sasa imetawaliwa na ulafi wa Mali na majivuno ya Kila namna na ubinafsi eg pesa,vyeo na elimu vitu ambavyo ni ubatili mtupu apa duniani,Mungu atubariki.
Ila kwa wanaochana 80% wanaingia kweny majuto mbeleni
 
Umeandika ukweli. Tayari taasisi ya ndoa imeanza kuharibiwa na hawahawa wasomi na wenye uwezo wa kifedha. Tatizo liko kwa kina mama wamekuwa hawana heshima na adabu kwa waume zao. Huko mbeleni ndoa zitapungua sana, wanawake watakuwa wanazaa tu na kulea peke yao maana watakuwa wanaiga kwa waliowatangulia
 
Kwani kuna kombe? hata akipata joto inatosha, Mrema na Ndugai nani mwenye matatizo?
Kilichomkuta Mrema hata CCM wanakijua. Kusoma lile gazeti ukiwa na afya yenye mgorogoro ni kujitakia kifo.
Mifano ya mawaziri wa mzee ruksa tunayo mitatu.
Ndio maana Mimi nasema , ukiona umetamani Sana ingia chumvini hela yako isiende bure. Kifo Cha kwenye gesti Ni fedheha kwa familia.
 
Back
Top Bottom