Mahakama yavunja ndoa ya Kafulila na Jesca Kishoa

Mahakama yavunja ndoa ya Kafulila na Jesca Kishoa

Ukichunguza vizuri utaikuta CHADEMA imo. Mbowe kumbuka majuzi alivyomtukana hazarani Waziri Silinde eti msaliti eti kwa vile alimnunulia chupi na suti akiwa Chuo Kikuu. Wote hawa: kina Kishoa, Zitto, Kafulila, Joyce Bulaya, Halima Mdee walikuwa UDSM mbowe akaja na rundown la hela kuwarubuni waitukane TANU, ndo maana wengi wakaamua better with hindsight kumbe ni tapeli wewe ngoja tusubiri. Ni lazima Tume ya Maadili ichunguze utapeli huu la sivyo tutakuwa Nji ya Watumwa kwa jeuri ya pesa ya CHADEMA.
Khee, huyu vipi?😀
 
Back
Top Bottom