Tunaijua hiyo.....
Kwahiyo sisi siio watu tulioko Ngorongoro kwa maana hiyo?
Sheria za Nchi hii tunaifahamu, mamlaka ya kutufutia vijiji na kata pamoja na huduma zetu Mmezitoa wapi,
Mnasema Tumehama kwa hiari, saw, ambao hatukuwa na hiarinya kuondoka mmetuoma Vinyago sio
 

Attachments

  • VID-20240822-WA0018.mp4
    5.6 MB
Sitamani hata kukujibu ila basi nikujibu tu
Ngorongoro hatutoki...
Tutaishi vizazi na vizazi.
Ikibidi Damu zetu zitafunika Ardhi ya Ngorongoro hapo ndo mtaweza kutufuta kwenye Ramani ya Dunia na sio kutuhamisha.
Subiria uone
Ongeza sauti...
 
Haupo Sawa kichwani
 
Hivi modes/moderator kwanini mmechanganya Uzi wangu na Uzi wangu ni tofauti kabisaa na huu?? Mbona basi hiyo habari nyinyi mumeitoa kwenye page yenu ya Instagram?? Acheni kuzingua...tutaacha kupost na kuanzisha Uzi sasa
 
Hii kitu ni fake.
Huyo anayetajwa kuifungua kesi amemkana wakili na amesema hajawahi kufungua kesi

 
Hiyo kesi ni kiini macho!
Kule bado kwa moto... Leo wamehamishwa zaidi ya mia 3.
 

Jana nimeweka pdf la shahada nzima ya environmental conversation.

Build arguments kwanini eneo lazima liwe protected against human expansion na namna human activities destroys the ecology and symbiotic relations ya wanyama pori.

Get communication experts to divise a strategy which is on top of media misleading information (fake news) and counter arguing that information with facts.

Nchi inayoacha wapotoshaji wawe on top kwenye dunia ya information war, their view point will prevail.

Badala ya sababu kuwa kuondoa wamasai ni kuzuia expansion ya vijiji copy’s wanavyoanzisha na kupuguza nature reserves kila uchao. Story itakuwa ni kwa sababu Ngorongoro imeuzwa kwa Mwarabu na kuna madini serikali inataka ichimbe, haitaki kulipa fidia ya kuhamisha watu (wananchi ambao wameanzisha vijiji bila ya kibali cha serikali).

At times kama vile inabidi ukubali umaskini wa Africa kutokana na viongozi wetu it’s god fate, they can’t run a country ni mwendo wa tia-maji, tia-maji tu utaiva.

You have to be on top of information ambazo wananchi wanapewa on controversial government decisions.
 
Kauli aliyoiombea msamaha ROSTAM kesi itamalizwa kwa simu moja tu kutoka------ malizia
 
Historia ya hukumu mbalimbali ndani ya miaka hii 9 tangu aingie Jiwe na sasa Samia inajulikana.
Hivyo tusijisumbue
Hata before Jiwe !
Ni kwa vile tu Watanzania ni wasahaulifu sana !
Katiba mpya bora ni muhimu sana !
Mengine yote ni abracadabra tu za kisiasa !

Wanaoitwa wajanja wanacheza na Akili za watu tu !

Kila kibaya atasingiziwa Jiwe lakini Ukweli utabaki kuwa ni Ukweli tu !
Mapungufu yote yamo ndani ya Katiba ambayo ndio Sheria Mama ya Sheria zote ambazo baadhi yake ni Batilifu kama asemavyo Paskali nyakati nyingine !
Hata Supika msitahafu aliyesitahafishwa analijua hili !

Tuache kila kitu kibaya kuwa tunamsingizia Jiwe !

Kwa mujibu wa Katiba ule muhimili mmoja Mkuu uliojichimbia chini zaidi ndio Alfa na Omega katika Nchi !

Iko vile bandugu na itabaki kuwa vile mpaka itakapo patikana Katiba nyingine itakayoainisha nguvu hizo za kisheria vinginevyo !! 🙏🙌
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…