GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Koromije.....Mwamba wa kanda ya Ziwa. 🤣🤣🤣
Benjamin Netanyahu kamwaga mbege yote hapa Ufipa st kwa hasiraLeo ufipa hakulaliki
Mama Samia hata sabaya anaonewa na genge la wauza madawa, wakwepa Kodi na wapenda ushoga.MAKONDA AMBWAGA KUBENEA MAHAMANI
Mahakama ya Kinondoni imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na mwanahabari Saed Kubenea dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ya matumizi mabaya ya madaraka baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha tuhuma zake.
====
Watafungwa Baba na Wajomba zenu ila siyo huyu hivyo acheni kupoteza muda na tutafute tu Hela.
No one is untouchable, hio ni sifa ya Mwenyezimungu, wakati ni hakimu mzuri, wala usichkulie hay maigizo ukaona ndo uhalisiaI have no say on this because we are trying to touch untouchable and still having hope of touching it .