GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
MAKONDA AMBWAGA KUBENEA MAHAMANI
Mahakama ya Kinondoni imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na mwanahabari Saed Kubenea dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ya matumizi mabaya ya madaraka baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha tuhuma zake.
====
Watafungwa Baba na Wajomba zenu ila siyo huyu hivyo acheni kupoteza muda na tutafute tu Hela.
Chanzo: Dar Mpya Blog
Mahakama ya Kinondoni imetupilia mbali kesi iliyofunguliwa na mwanahabari Saed Kubenea dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ya matumizi mabaya ya madaraka baada ya upande wa mashtaka kushindwa kuthibitisha tuhuma zake.
====
Watafungwa Baba na Wajomba zenu ila siyo huyu hivyo acheni kupoteza muda na tutafute tu Hela.
Chanzo: Dar Mpya Blog