Maharage Chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea TANESCO

Maharage Chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea TANESCO

Nimeskia wafanyakazi wa TANESCO wamefanya sherehe kuondolewa kwa mkurugenzi wake bwana MAHARAGE CHANDE.
Kwa ishara hii huku kwetu Tanzania inaonekana kabisa jamaa alikuwa mchapakazi.
Maana watumishi wengi wa serikali ni wavivu, akitokea mtu wa kuwapeleka mwendo wa ngiri mkia juu siku akiondoka lazima wafanye sherehe.
 
Maharage huyu anayedai hakuna mgao ilhali umeme ni 12hrs pekee kwa siku?

Porojo tupu, common mwananchi anapima ubora wa DG kwa upatikanaji wa uhakika wa umeme hizo zingine ni siasa tu.
 
Amini amini nawambieni!

Tangu shirika hili lianzishwe lilikuwa halijawahi kupata mkurugenzi mwenye akili kama MAHARAGE!

Siyo kwamba alikuwa bora asilimia 100% HAPANA! lakini kwa UBOVU wa shirika lenyewe angalau maharage amekuwa mkurugenzi wa kwanza kuliboresha kiutendaji japo kwa asilimia kadhaa ukiringanisha na watangulizi wake wote!

IFAHAMIKE kwamba kwa sera na siasa za kitanzania, MKURUGENZI anayo mipaka ya usimamizi katika shughuli zake,

Majukumu ya kuleta umeme wa uhakika kwa wananchi ni ya wizara na serikali nzima yapo inje kabisa ya uwezo wa mkurugenzi!

Mkurugenzi ni mshauri tu kwa serikali lakini hana maamuzi yoyote ya kupika inje ya bajeti!

mkurugenzi wa shirika ni sawa na mgawaji wa chakula JUKUMU lake ni kugawa kilichopo, kikiwa kingi mtapata wote kikiwa kidogo mtapata wachache na akiamriwa asigawe chakula mnakosa wote!

Hivyo kwa ubora wa mkurugenzi Maharage angalau alijitahidi japo kuboresha baadhi ya mambo yaliyo ndani yake!

MIONGONI MWA MAJUKUMU YA MKURUGENZI tanesco ni
  • kusimamia watendaji wake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa nidhamu Kitu ambacho MAHARAGE kakitetendea haki kajitahidi mno ukiringanisha na huko nyuma
  • Chini ya uongozi wa maharage shirika lilifikiwa mahali wananchi wana haki ya kulitathimini huu ni uungwana mkubwa sana kwa wenye hekima (Assesment)
  • chini ya maharage aliweka lengo kufikia mwishoni mwa mwaka 2023/2024 Maombi yoyote ya umeme yahakikishwe yamefungwa ndani ya masaa 48hrs (nani huko nyuma aliweza haya)
  • Katika uongozi wa maharage alipunguza hasara za uendeshaji wa shirika kwa kupunguza gharama zisizofaa za Ofisi za wilaya kuendelea kupanga majumba bali wakae kwenye ofisi zao wenyewe
  • ndani ya uongozi wa maharage kapunguza gharama za mafuta kwa kuruhusu matumizi ya bajaji jambo ambalo liliwahi kupingwa huko nyuma na wakurugenzi wote!
  • ndani ya uongozi wa maharage alipunguza gharama za stationary na kazi nyingi kuwa online (paperless)
  • ndani ya uongozi wa maharage aliondoa umwinyi kwa watumishi wasiowaadirifu wanaweza kukwamisha maombi kwa hila binafsi.
  • Maharage chande ndiye mkurugenzi pekee aliyeamini siyo lazima kila meneja tanesco (W) aendeshwe na dereva (Unneccesary cost za matumizi ya magari ambayo yangeweza kwenda fild kupunguza kero, Mameneja walistahili wapatiwe alawance pekee watumie magari yao kuja ofisini kuliko kupewa magari ambayo wakati mwingine wana ya abuse kufanyia kazi zao binafsi na kuzurula! N.K


Ni wajinga peke yao wanaoweza kuamini mkurugenzi huyu bora kabisa ametolewa pale kwa sababu kachangia uhaba wa umeme!

Uhaba wa umeme ni jambo la kiserikali (wizara) na huwa lina baraka za wakubwa!

Maharage chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea tanesco.

Waliouza bandari ndiyo walewale wanaotuhadaa na maigizo ya panga pangua ya uongozi!

Magufuli alitoa maelekezo umeme usikatwe HAUKUKATWA, Wamekuja wale wanatoa maelekezo ukatwe NA UNAKATWA!

Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!

MAOMBI; Kama mamlaka za uteuzi zinajali wananchi nashauri waangalie namna ya kumrudisha MAHARAGE TANESCO Hili shirika linahitaji kijana mwenye akili yake shirika lifanye kazi kama taasisi binafsi! Historia ya maharage inafiti sana;
Wana CCM wrnzangu mshaurini Rais Amrejeshe maharage pale TANESCO

Ndani ya Uongozi wake Alikodisha Kampuni Ya Erolink kitengo cha ‘Customer care’ ili apate 20%
 
Wa Nini maharage Wala ubwabwa kwa kazi gani ya roho Mbaya tu chini ya kapet, Kuna baadhi vijana wamefanya kazi vibarua muda mrefu kwa Moyo, kashindwa kuwapa ajira za kudumu, aende zake na maharage ya kulia ubwabwa, akaboreshe na ttcl Kama kweli mtendaji Bora.
 
Sidhani kama kuna ukweli chini ya uongozi wake ajira za vijana tanesco almaarufu kama STE zilikufa na vijana wakaanza kunyanyasika kwa kupoteza ajira zao za mkataba, hapo aliharibu maisha ya vijana wengi sana. Naomba mkurugenzi mpya arudishe ule utaratibu wa zamani wa ajira za wale vijana.
 
Nimeskia wafanyakazi wa TANESCO wamefanya sherehe kuondolewa kwa mkurugenzi wake bwana MAHARAGE CHANDE.
Kwa ishara hii huku kwetu Tanzania inaonekana kabisa jamaa alikuwa mchapakazi.
Maana watumishi wengi wa serikali ni wavivu, akitokea mtu wa kuwapeleka mwendo wa ngiri mkia juu siku akiondoka lazima wafanye sherehe.
wafanyakaz tanesco wengi wamefurahi nazan jamaa aliwasimamia ipasavyo naunga mkono hoja mtoa mada jamaa arudishwe Tanesco
 
Sidhani kama kuna ukweli chini ya uongozi wake ajira za vijana tanesco almaarufu kama STE zilikufa na vijana wakaanza kunyanyasika kwa kupoteza ajira zao za mkataba, hapo aliharibu maisha ya vijana wengi sana. Naomba mkurugenzi mpya arudishe ule utaratibu wa zamani wa ajira za wale vijana.
Unajua au unapinga tu, nenda kaulize vizuri, wale madereva wanaobeba manguzo kupeleka maporini na kushusha na winchi, mafundi mpaka wengine wanalipukiwa na transforms, hasa niongee ukweli napata faida gani.
 
Mkuu nilikua nakuheshimu sana lakini ata sisi tuliompo mapori pori tuliona kuwa bwana huyo alipwaya pakubwa kiutendaji tanesco panahitaji mtendaji na si mtu anayefuata upepo.
muda utaongea! Hadi naandika uzi humu nafahamu yule jamaa kapelekwa pale kukava nini mtakuja kulia na kusaga meno yule alokwenda ni garasa, Subirini muone maana hamuelew
 
Amini amini nawambieni!

Tangu shirika hili lianzishwe lilikuwa halijawahi kupata mkurugenzi mwenye akili kama MAHARAGE!

Siyo kwamba alikuwa bora asilimia 100% HAPANA! lakini kwa UBOVU wa shirika lenyewe angalau maharage amekuwa mkurugenzi wa kwanza kuliboresha kiutendaji japo kwa asilimia kadhaa ukiringanisha na watangulizi wake wote!

IFAHAMIKE kwamba kwa sera na siasa za kitanzania, MKURUGENZI anayo mipaka ya usimamizi katika shughuli zake,

Majukumu ya kuleta umeme wa uhakika kwa wananchi ni ya wizara na serikali nzima yapo inje kabisa ya uwezo wa mkurugenzi!

Mkurugenzi ni mshauri tu kwa serikali lakini hana maamuzi yoyote ya kupika inje ya bajeti!

mkurugenzi wa shirika ni sawa na mgawaji wa chakula JUKUMU lake ni kugawa kilichopo, kikiwa kingi mtapata wote kikiwa kidogo mtapata wachache na akiamriwa asigawe chakula mnakosa wote!

Hivyo kwa ubora wa mkurugenzi Maharage angalau alijitahidi japo kuboresha baadhi ya mambo yaliyo ndani yake!

MIONGONI MWA MAJUKUMU YA MKURUGENZI tanesco ni
  • kusimamia watendaji wake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa nidhamu Kitu ambacho MAHARAGE kakitetendea haki kajitahidi mno ukiringanisha na huko nyuma
  • Chini ya uongozi wa maharage shirika lilifikiwa mahali wananchi wana haki ya kulitathimini huu ni uungwana mkubwa sana kwa wenye hekima (Assesment)
  • chini ya maharage aliweka lengo kufikia mwishoni mwa mwaka 2023/2024 Maombi yoyote ya umeme yahakikishwe yamefungwa ndani ya masaa 48hrs (nani huko nyuma aliweza haya)
  • Katika uongozi wa maharage alipunguza hasara za uendeshaji wa shirika kwa kupunguza gharama zisizofaa za Ofisi za wilaya kuendelea kupanga majumba bali wakae kwenye ofisi zao wenyewe
  • ndani ya uongozi wa maharage kapunguza gharama za mafuta kwa kuruhusu matumizi ya bajaji jambo ambalo liliwahi kupingwa huko nyuma na wakurugenzi wote!
  • ndani ya uongozi wa maharage alipunguza gharama za stationary na kazi nyingi kuwa online (paperless)
  • ndani ya uongozi wa maharage aliondoa umwinyi kwa watumishi wasiowaadirifu wanaweza kukwamisha maombi kwa hila binafsi.
  • Maharage chande ndiye mkurugenzi pekee aliyeamini siyo lazima kila meneja tanesco (W) aendeshwe na dereva (Unneccesary cost za matumizi ya magari ambayo yangeweza kwenda fild kupunguza kero, Mameneja walistahili wapatiwe alawance pekee watumie magari yao kuja ofisini kuliko kupewa magari ambayo wakati mwingine wana ya abuse kufanyia kazi zao binafsi na kuzurula! N.K


Ni wajinga peke yao wanaoweza kuamini mkurugenzi huyu bora kabisa ametolewa pale kwa sababu kachangia uhaba wa umeme!

Uhaba wa umeme ni jambo la kiserikali (wizara) na huwa lina baraka za wakubwa!

Maharage chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea tanesco.

Waliouza bandari ndiyo walewale wanaotuhadaa na maigizo ya panga pangua ya uongozi!

Magufuli alitoa maelekezo umeme usikatwe HAUKUKATWA, Wamekuja wale wanatoa maelekezo ukatwe NA UNAKATWA!

Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!

MAOMBI; Kama mamlaka za uteuzi zinajali wananchi nashauri waangalie namna ya kumrudisha MAHARAGE TANESCO Hili shirika linahitaji kijana mwenye akili yake shirika lifanye kazi kama taasisi binafsi! Historia ya maharage inafiti sana;
Wana CCM wrnzangu mshaurini Rais Amrejeshe maharage pale TANESCO
....Wewe ni CHAWA wake ? Mgawo....[emoji57][emoji57]
 
Amini amini nawambieni!

Tangu shirika hili lianzishwe lilikuwa halijawahi kupata mkurugenzi mwenye akili kama MAHARAGE!

Siyo kwamba alikuwa bora asilimia 100% HAPANA! lakini kwa UBOVU wa shirika lenyewe angalau maharage amekuwa mkurugenzi wa kwanza kuliboresha kiutendaji japo kwa asilimia kadhaa ukiringanisha na watangulizi wake wote!

IFAHAMIKE kwamba kwa sera na siasa za kitanzania, MKURUGENZI anayo mipaka ya usimamizi katika shughuli zake,

Majukumu ya kuleta umeme wa uhakika kwa wananchi ni ya wizara na serikali nzima yapo inje kabisa ya uwezo wa mkurugenzi!

Mkurugenzi ni mshauri tu kwa serikali lakini hana maamuzi yoyote ya kupika inje ya bajeti!

mkurugenzi wa shirika ni sawa na mgawaji wa chakula JUKUMU lake ni kugawa kilichopo, kikiwa kingi mtapata wote kikiwa kidogo mtapata wachache na akiamriwa asigawe chakula mnakosa wote!

Hivyo kwa ubora wa mkurugenzi Maharage angalau alijitahidi japo kuboresha baadhi ya mambo yaliyo ndani yake!

MIONGONI MWA MAJUKUMU YA MKURUGENZI tanesco ni
  • kusimamia watendaji wake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa nidhamu Kitu ambacho MAHARAGE kakitetendea haki kajitahidi mno ukiringanisha na huko nyuma
  • Chini ya uongozi wa maharage shirika lilifikiwa mahali wananchi wana haki ya kulitathimini huu ni uungwana mkubwa sana kwa wenye hekima (Assesment)
  • chini ya maharage aliweka lengo kufikia mwishoni mwa mwaka 2023/2024 Maombi yoyote ya umeme yahakikishwe yamefungwa ndani ya masaa 48hrs (nani huko nyuma aliweza haya)
  • Katika uongozi wa maharage alipunguza hasara za uendeshaji wa shirika kwa kupunguza gharama zisizofaa za Ofisi za wilaya kuendelea kupanga majumba bali wakae kwenye ofisi zao wenyewe
  • ndani ya uongozi wa maharage kapunguza gharama za mafuta kwa kuruhusu matumizi ya bajaji jambo ambalo liliwahi kupingwa huko nyuma na wakurugenzi wote!
  • ndani ya uongozi wa maharage alipunguza gharama za stationary na kazi nyingi kuwa online (paperless)
  • ndani ya uongozi wa maharage aliondoa umwinyi kwa watumishi wasiowaadirifu wanaweza kukwamisha maombi kwa hila binafsi.
  • Maharage chande ndiye mkurugenzi pekee aliyeamini siyo lazima kila meneja tanesco (W) aendeshwe na dereva (Unneccesary cost za matumizi ya magari ambayo yangeweza kwenda fild kupunguza kero, Mameneja walistahili wapatiwe alawance pekee watumie magari yao kuja ofisini kuliko kupewa magari ambayo wakati mwingine wana ya abuse kufanyia kazi zao binafsi na kuzurula! N.K


Ni wajinga peke yao wanaoweza kuamini mkurugenzi huyu bora kabisa ametolewa pale kwa sababu kachangia uhaba wa umeme!

Uhaba wa umeme ni jambo la kiserikali (wizara) na huwa lina baraka za wakubwa!

Maharage chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea tanesco.

Waliouza bandari ndiyo walewale wanaotuhadaa na maigizo ya panga pangua ya uongozi!

Magufuli alitoa maelekezo umeme usikatwe HAUKUKATWA, Wamekuja wale wanatoa maelekezo ukatwe NA UNAKATWA!

Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!

MAOMBI; Kama mamlaka za uteuzi zinajali wananchi nashauri waangalie namna ya kumrudisha MAHARAGE TANESCO Hili shirika linahitaji kijana mwenye akili yake shirika lifanye kazi kama taasisi binafsi! Historia ya maharage inafiti sana;
Wana CCM wrnzangu mshaurini Rais Amrejeshe maharage pale TANESCO

Rubbish
 
....Wewe ni CHAWA wake ? Mgawo....[emoji57][emoji57]
kaka njoo na fact! Ishu ya mgawo ni ishu ya kiwizara ndugu, iko inje ya uwezo wa mkurugenzi,
yaani mkurugenzi ni kama dereva na wizara ndiyo bosi wa gari,
yapo mambo yanatatuliwa na dereva, lakini yale ya ubovu wa gari yana mhusu tajiri (wizara).

gari likigoma kwenda kwa uchakavu alaumiwe wizara maana ndiye bosi anapokea pesa na taarifa za matumizi
 
Mwisho wa siku Sisi Wananchi tunataka Umeme hizi ngojera ni ujinga.
Mwanzoni ulivyoanza ulitaka tuamini yeye ni mgawa Umeme tu lkn kwa maelezo yako marefuuu imeonyesha ana majukumu zaidi ya kugawa, ok. Sawa hizo smartmeter, nikonekt app zina kazi gani kama umeme haupo?
Ningemuona jiniasi kama angeshauri serkali namna mzuri halafu ikikataa ana resign.
Lkn nilikuwa namuona anavyo aminisha mgawo wa umeme ambavyo hautakuwepo kwa mipango mingiii tena akiiproject kwa screen tuone mbwembwe nyingi tu.
Haya mvua zimenyeshaa mwisho umeme haupo. Bogasi kabisa
 
Ukweli mtupu
Ngoja ipite miezi watu waanze kulalamika wanalipa hawapati huduma ndo wataelewa
Tatizo lipo enzi na enzi, lilikoma kwa wakati wa magufuli.
Al in all tunataka umeme unaowaka!, Haisaidii kuharakishiwa maombi ya kuunganishiwa umeme usiowaka!.
 
Mwisho wa siku Sisi Wananchi tunataka Umeme hizi ngojera ni ujinga.
Mwanzoni ulivyoanza ulitaka tuamini yeye ni mgawa Umeme tu lkn kwa maelezo yako marefuuu imeonyesha ana majukumu zaidi ya kugawa, ok. Sawa hizo smartmeter, nikonekt app zina kazi gani kama umeme haupo?
Ningemuona jiniasi kama angeshauri serkali namna mzuri halafu ikikataa ana resign.
Lkn nilikuwa namuona anavyo aminisha mgawo wa umeme ambavyo hautakuwepo kwa mipango mingiii tena akiiproject kwa screen tuone mbwembwe nyingi tu.
Haya mvua zimenyeshaa mwisho umeme haupo. Bogasi kabisa
soma mada vizuri! mkurugenzi hawezi kutoa kitu ambacho kiko inje ya himaya yake, wapikaji wa wizara na serikali wana nguvu kubwa kuliko mkurugenzi.
Hapa suruhisho ni Rais na serikali mkurugenzi yeye ni wa kupokea maelekezo tu!
Enzi za magufuli Rais hukucheka na wapigaji
 
Tatizo lipo enzi na enzi, lilikoma kwa wakati wa magufuli.
Al in all tunataka umeme unaowaka!, Haisaidii kuharakishiwa maombi ya kuunganishiwa umeme usiowaka!.
sasa kwa akili yako mitambo anaagiza mkurugenzi? Miradi ya mabwawa inaratibiwa na mkurugenzi? Mikataba ya wakandarasi kuongeza uzalishaji unazani inasainiwa na mkurugenzi?

ukiona jambo la utata ujue kuna madili yamesetiwa! yakishapita hutasikia ishu ya mgao tena!
 
Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!
... endelea kupongeza Mkuu! Maana kawa Postamasta Mkuu!
 
sasa kwa akili yako mitambo anaagiza mkurugenzi? Miradi ya mabwawa inaratibiwa na mkurugenzi? Mikataba ya wakandarasi kuongeza uzalishaji unazani inasainiwa na mkurugenzi?

ukiona jambo la utata ujue kuna madili yamesetiwa! yakishapita hutasikia ishu ya mgao tena!
History ya mgao ni ya miaka.. na miaka.
 
Amini amini nawambieni!

Tangu shirika hili lianzishwe lilikuwa halijawahi kupata mkurugenzi mwenye akili kama MAHARAGE!

Siyo kwamba alikuwa bora asilimia 100% HAPANA! lakini kwa UBOVU wa shirika lenyewe angalau maharage amekuwa mkurugenzi wa kwanza kuliboresha kiutendaji japo kwa asilimia kadhaa ukiringanisha na watangulizi wake wote!

IFAHAMIKE kwamba kwa sera na siasa za kitanzania, MKURUGENZI anayo mipaka ya usimamizi katika shughuli zake,

Majukumu ya kuleta umeme wa uhakika kwa wananchi ni ya wizara na serikali nzima yapo inje kabisa ya uwezo wa mkurugenzi!

Mkurugenzi ni mshauri tu kwa serikali lakini hana maamuzi yoyote ya kupika inje ya bajeti!

mkurugenzi wa shirika ni sawa na mgawaji wa chakula JUKUMU lake ni kugawa kilichopo, kikiwa kingi mtapata wote kikiwa kidogo mtapata wachache na akiamriwa asigawe chakula mnakosa wote!

Hivyo kwa ubora wa mkurugenzi Maharage angalau alijitahidi japo kuboresha baadhi ya mambo yaliyo ndani yake!

MIONGONI MWA MAJUKUMU YA MKURUGENZI tanesco ni
  • kusimamia watendaji wake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa nidhamu Kitu ambacho MAHARAGE kakitetendea haki kajitahidi mno ukiringanisha na huko nyuma
  • Chini ya uongozi wa maharage shirika lilifikiwa mahali wananchi wana haki ya kulitathimini huu ni uungwana mkubwa sana kwa wenye hekima (Assesment)
  • chini ya maharage aliweka lengo kufikia mwishoni mwa mwaka 2023/2024 Maombi yoyote ya umeme yahakikishwe yamefungwa ndani ya masaa 48hrs (nani huko nyuma aliweza haya)
  • Katika uongozi wa maharage alipunguza hasara za uendeshaji wa shirika kwa kupunguza gharama zisizofaa za Ofisi za wilaya kuendelea kupanga majumba bali wakae kwenye ofisi zao wenyewe
  • ndani ya uongozi wa maharage kapunguza gharama za mafuta kwa kuruhusu matumizi ya bajaji jambo ambalo liliwahi kupingwa huko nyuma na wakurugenzi wote!
  • ndani ya uongozi wa maharage alipunguza gharama za stationary na kazi nyingi kuwa online (paperless)
  • ndani ya uongozi wa maharage aliondoa umwinyi kwa watumishi wasiowaadirifu wanaweza kukwamisha maombi kwa hila binafsi.
  • Maharage chande ndiye mkurugenzi pekee aliyeamini siyo lazima kila meneja tanesco (W) aendeshwe na dereva (Unneccesary cost za matumizi ya magari ambayo yangeweza kwenda fild kupunguza kero, Mameneja walistahili wapatiwe alawance pekee watumie magari yao kuja ofisini kuliko kupewa magari ambayo wakati mwingine wana ya abuse kufanyia kazi zao binafsi na kuzurula! N.K


Ni wajinga peke yao wanaoweza kuamini mkurugenzi huyu bora kabisa ametolewa pale kwa sababu kachangia uhaba wa umeme!

Uhaba wa umeme ni jambo la kiserikali (wizara) na huwa lina baraka za wakubwa!

Maharage chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea tanesco.

Waliouza bandari ndiyo walewale wanaotuhadaa na maigizo ya panga pangua ya uongozi!

Magufuli alitoa maelekezo umeme usikatwe HAUKUKATWA, Wamekuja wale wanatoa maelekezo ukatwe NA UNAKATWA!

Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!

MAOMBI; Kama mamlaka za uteuzi zinajali wananchi nashauri waangalie namna ya kumrudisha MAHARAGE TANESCO Hili shirika linahitaji kijana mwenye akili yake shirika lifanye kazi kama taasisi binafsi! Historia ya maharage inafiti sana;
Wana CCM wrnzangu mshaurini Rais Amrejeshe maharage pale TANESCO
Hana hizo akili unazosema. Hana hata kidogo. Yeye na February walikuwa ni wapiga dili. Na angeendelea umeme ungeendelea kutokuwepo na bro ingeendelea kupaa maana alishasema hata hilo be a waste
Hivi iliwezekanaje Milka mitano ya mwendazake kuepuka kutokuwa na mgao wa umeme mkali kiasi hiki??
 
Back
Top Bottom