Maharage Chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea TANESCO

Maharage Chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea TANESCO

Mparee2 Umenena vyema
Mimi siwezi kumuongelea Muheshimiwa Maharage kwa kuwa nipo huku Nje hivyo sijui yaliyokuwa yanaendelea huko ndani ILA nina ushauri
Ukiwa kiongozi unatakiwa ujue kipimo wanachokupima nacho wale unaowafanyia kazi ili ukijumlishe kwenye kipimo (goals) zako; kwa upande wa Muheshimiwa hapa namaanisha ajue kipimo wanachompima nacho wananchi...
Mfano:
1. Wananchi wanataka umeme wa uhakika
2. Bei rafiki ya huduma zinazo ambatana na umeme (kufungiwa, gharama kwa unit nk)
3. Kupata majibu/Msaada kwa haraka mara wanapopata changamoto
4. Hivi kuna haja gani ya mwananchi masikini kusafiri hadi wilayani kuomba zero tarifu wakati TANESCO wanaweza kuona mita ina pengine mwaka mzima haijazidisha matumizi ya unit 40 kwa mwezi? najiuliza tu
5. Hadi leo karne 21 bado hatuna technologia ya kuweka umeme kwenye Mita (token iende moja kwa moja kwenye mita mtu akinunua?)

Sasa hata akilala ofisini akifanya kazi kama wananchi hawataona matokeo ya hayo niliyotaja (kwa uchache) wanaweza kufikiri ni Business as usual...Kumbe alikuwa anafanya kazi nzuri ila kwa kipimo tofauti na cha wananchi
 
Yaani mkurugenzi aliyeshindwa hata kutamka kuwa Tz tuna mgao wa umeme, anawezaje kuwa bora?
Maharage huenda alikuwa anataka TANESCO ife kabisa.

Maharage ni muongo na mwizi tu.
 
kwani nilichoandika ni uongo? kabla ya Maharage zamani watu walisubiri umeme miezi 6 hata mwaka kipindi chake si tumeyaona mabadiliko,

Unamtumbuaje mtu kama Maharage kama uko serious na maendeleo ya wananchi!
Shida ya mgao wa umeme ni ya kiwizara na serikali, ilitakiwa wizara itoe majibu kwa kina lakini wameona watumie mbinu ya kumtoa kafara mtu asiyehusika ili kujisafisha na kweli wananchi wasiyo elewa wanaweza kushangilia.

Bora nafasi za ukurugenzi zingesimamiwa na utumishi tu kuna wakati tumbua inaondoa watu mhimu sana
Hili nalo ni la uongo mtupu.
Mahali nilipo na kibanda changu, nipo karibu na ofisi za Tanesco, mtaa wenye umeme tayari, nimetuma maombi ya umeme na kulipia zaidi ya mwaka na nusu sasa, na sijafungiwa umeme, ni dana dana tupu.

Maharage ni muongo na mwizi tu.
 
Hili nalo ni la uongo mtupu.
Mahali nilipo na kibanda changu, nipo karibu na ofisi za Tanesco, mtaa wenye umeme tayari, nimetuma maombi ya umeme na kulipia zaidi ya mwaka na nusu sasa, na sijafungiwa umeme, ni dana dana tupu.

Maharage ni muongo na mwizi tu.
wee muongo bhana Tanesco walibadilika sana mwaka na nusu ya wapi, wewe ndiye utakuwa na shidalabda, weka risiti TANESCO wapo hapa watujibu kama kweli!

Uongo wa kubumba haukusaidii ndugu yangu
Maharage akuibie wewe kwa lipi ulilo nalo, au orodhesha hapa wizi gani kafanya!

vijana mnaujinga mwingi sana kutosapoti vijana wanaofanya vizuri kwa kasi ya ujana
 
Amini amini nawambieni!

Tangu shirika hili lianzishwe lilikuwa halijawahi kupata mkurugenzi mwenye akili kama MAHARAGE!

Siyo kwamba alikuwa bora asilimia 100% HAPANA! lakini kwa UBOVU wa shirika lenyewe angalau maharage amekuwa mkurugenzi wa kwanza kuliboresha kiutendaji japo kwa asilimia kadhaa ukiringanisha na watangulizi wake wote!

IFAHAMIKE kwamba kwa sera na siasa za kitanzania, MKURUGENZI anayo mipaka ya usimamizi katika shughuli zake,

Majukumu ya kuleta umeme wa uhakika kwa wananchi ni ya wizara na serikali nzima yapo inje kabisa ya uwezo wa mkurugenzi!

Mkurugenzi ni mshauri tu kwa serikali lakini hana maamuzi yoyote ya kupika inje ya bajeti!

mkurugenzi wa shirika ni sawa na mgawaji wa chakula JUKUMU lake ni kugawa kilichopo, kikiwa kingi mtapata wote kikiwa kidogo mtapata wachache na akiamriwa asigawe chakula mnakosa wote!

Hivyo kwa ubora wa mkurugenzi Maharage angalau alijitahidi japo kuboresha baadhi ya mambo yaliyo ndani yake!

MIONGONI MWA MAJUKUMU YA MKURUGENZI tanesco ni
  • kusimamia watendaji wake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa nidhamu Kitu ambacho MAHARAGE kakitetendea haki kajitahidi mno ukiringanisha na huko nyuma
  • Chini ya uongozi wa maharage shirika lilifikiwa mahali wananchi wana haki ya kulitathimini huu ni uungwana mkubwa sana kwa wenye hekima (Assesment)
  • chini ya maharage aliweka lengo kufikia mwishoni mwa mwaka 2023/2024 Maombi yoyote ya umeme yahakikishwe yamefungwa ndani ya masaa 48hrs (nani huko nyuma aliweza haya)
  • Katika uongozi wa maharage alipunguza hasara za uendeshaji wa shirika kwa kupunguza gharama zisizofaa za Ofisi za wilaya kuendelea kupanga majumba bali wakae kwenye ofisi zao wenyewe
  • ndani ya uongozi wa maharage kapunguza gharama za mafuta kwa kuruhusu matumizi ya bajaji jambo ambalo liliwahi kupingwa huko nyuma na wakurugenzi wote!
  • ndani ya uongozi wa maharage alipunguza gharama za stationary na kazi nyingi kuwa online (paperless)
  • ndani ya uongozi wa maharage aliondoa umwinyi kwa watumishi wasiowaadirifu wanaweza kukwamisha maombi kwa hila binafsi.
  • Maharage chande ndiye mkurugenzi pekee aliyeamini siyo lazima kila meneja tanesco (W) aendeshwe na dereva (Unneccesary cost za matumizi ya magari ambayo yangeweza kwenda fild kupunguza kero, Mameneja walistahili wapatiwe alawance pekee watumie magari yao kuja ofisini kuliko kupewa magari ambayo wakati mwingine wana ya abuse kufanyia kazi zao binafsi na kuzurula! N.K


Ni wajinga peke yao wanaoweza kuamini mkurugenzi huyu bora kabisa ametolewa pale kwa sababu kachangia uhaba wa umeme!

Uhaba wa umeme ni jambo la kiserikali (wizara) na huwa lina baraka za wakubwa!

Maharage chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea tanesco.

Waliouza bandari ndiyo walewale wanaotuhadaa na maigizo ya panga pangua ya uongozi!

Magufuli alitoa maelekezo umeme usikatwe HAUKUKATWA, Wamekuja wale wanatoa maelekezo ukatwe NA UNAKATWA!

Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!

MAOMBI; Kama mamlaka za uteuzi zinajali wananchi nashauri waangalie namna ya kumrudisha MAHARAGE TANESCO Hili shirika linahitaji kijana mwenye akili yake shirika lifanye kazi kama taasisi binafsi! Historia ya maharage inafiti sana;
Wana CCM wrnzangu mshaurini Rais Amrejeshe maharage pale TANESCO
Kitengo cha mawasiliano si mlikivunja, mkampa DG anatoa taarifa mwenyewe
 
Mm niliwahi kupiga sim kutokea kwa hitilafu ndani ya nusu saa wakafika kutatua nikashangaa sikuamini ni ile Tanesco ninayoijua maana nilijua nalala Giza labda kw siku mbili hv.

Then biashara ya kuambiwa luku zimeisha ukiomba kuunganishwa umeme ilikuwa haipo na ndani siku mbili unaunganishwa.
ili eneo lilitesa Sana watu na mafundi wa Tanesco walikuwa wanatengeza delay ili wapate rushwa wanakumbia Kuna watu 1000 wanasubiri luku upo kwenye foleni tuliopata baraka za kuona awamu zote sita za utawala wa nchi hii tunalijua hili shirika la Tanesco vizuri
 
Amini amini nawambieni!

Tangu shirika hili lianzishwe lilikuwa halijawahi kupata mkurugenzi mwenye akili kama MAHARAGE!

Siyo kwamba alikuwa bora asilimia 100% HAPANA! lakini kwa UBOVU wa shirika lenyewe angalau maharage amekuwa mkurugenzi wa kwanza kuliboresha kiutendaji japo kwa asilimia kadhaa ukiringanisha na watangulizi wake wote!

IFAHAMIKE kwamba kwa sera na siasa za kitanzania, MKURUGENZI anayo mipaka ya usimamizi katika shughuli zake,

Majukumu ya kuleta umeme wa uhakika kwa wananchi ni ya wizara na serikali nzima yapo inje kabisa ya uwezo wa mkurugenzi!

Mkurugenzi ni mshauri tu kwa serikali lakini hana maamuzi yoyote ya kupika inje ya bajeti!

mkurugenzi wa shirika ni sawa na mgawaji wa chakula JUKUMU lake ni kugawa kilichopo, kikiwa kingi mtapata wote kikiwa kidogo mtapata wachache na akiamriwa asigawe chakula mnakosa wote!

Hivyo kwa ubora wa mkurugenzi Maharage angalau alijitahidi japo kuboresha baadhi ya mambo yaliyo ndani yake!

MIONGONI MWA MAJUKUMU YA MKURUGENZI tanesco ni
  • kusimamia watendaji wake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa nidhamu Kitu ambacho MAHARAGE kakitetendea haki kajitahidi mno ukiringanisha na huko nyuma
  • Chini ya uongozi wa maharage shirika lilifikiwa mahali wananchi wana haki ya kulitathimini huu ni uungwana mkubwa sana kwa wenye hekima (Assesment)
  • chini ya maharage aliweka lengo kufikia mwishoni mwa mwaka 2023/2024 Maombi yoyote ya umeme yahakikishwe yamefungwa ndani ya masaa 48hrs (nani huko nyuma aliweza haya)
  • Katika uongozi wa maharage alipunguza hasara za uendeshaji wa shirika kwa kupunguza gharama zisizofaa za Ofisi za wilaya kuendelea kupanga majumba bali wakae kwenye ofisi zao wenyewe
  • ndani ya uongozi wa maharage kapunguza gharama za mafuta kwa kuruhusu matumizi ya bajaji jambo ambalo liliwahi kupingwa huko nyuma na wakurugenzi wote!
  • ndani ya uongozi wa maharage alipunguza gharama za stationary na kazi nyingi kuwa online (paperless)
  • ndani ya uongozi wa maharage aliondoa umwinyi kwa watumishi wasiowaadirifu wanaweza kukwamisha maombi kwa hila binafsi.
  • Maharage chande ndiye mkurugenzi pekee aliyeamini siyo lazima kila meneja tanesco (W) aendeshwe na dereva (Unneccesary cost za matumizi ya magari ambayo yangeweza kwenda fild kupunguza kero, Mameneja walistahili wapatiwe alawance pekee watumie magari yao kuja ofisini kuliko kupewa magari ambayo wakati mwingine wana ya abuse kufanyia kazi zao binafsi na kuzurula! N.K


Ni wajinga peke yao wanaoweza kuamini mkurugenzi huyu bora kabisa ametolewa pale kwa sababu kachangia uhaba wa umeme!

Uhaba wa umeme ni jambo la kiserikali (wizara) na huwa lina baraka za wakubwa!

Maharage chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea tanesco.

Waliouza bandari ndiyo walewale wanaotuhadaa na maigizo ya panga pangua ya uongozi!

Magufuli alitoa maelekezo umeme usikatwe HAUKUKATWA, Wamekuja wale wanatoa maelekezo ukatwe NA UNAKATWA!

Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!

MAOMBI; Kama mamlaka za uteuzi zinajali wananchi nashauri waangalie namna ya kumrudisha MAHARAGE TANESCO Hili shirika linahitaji kijana mwenye akili yake shirika lifanye kazi kama taasisi binafsi! Historia ya maharage inafiti sana;
Wana CCM wrnzangu mshaurini Rais Amrejeshe maharage pale TANESCO
Wewe ndiye Maharage mwenyewe au ndugu wa karibu wa Maharage. Kwa taarifa yako isibgekuwa ni ukaribu wa Maharage na JAKAYA basi yeye na Januari Makamba walipaswa kuwa Mahakamani au jela tayari kwa ufisadi walioufanya TANESCO
 
Mm niliwahi kupiga sim kutokea kwa hitilafu ndani ya nusu saa wakafika kutatua nikashangaa sikuamini ni ile Tanesco ninayoijua maana nilijua nalala Giza labda kw siku mbili hv.

Then biashara ya kuambiwa luku zimeisha ukiomba kuunganishwa umeme ilikuwa haipo na ndani siku mbili unaunganishwa.
ili eneo lilitesa Sana watu na mafundi wa Tanesco walikuwa wanatengeza delay ili wapate rushwa wanakumbia Kuna watu 1000 wanasubiri luku upo kwenye foleni tuliopata baraka za kuona awamu zote sita za utawala wa nchi hii tunalijua hili shirika la Tanesco vizuri
Hujawapigia kuhusu tatizo la kukatika kwa umeme?
 
Amini amini nawambieni!

Tangu shirika hili lianzishwe lilikuwa halijawahi kupata mkurugenzi mwenye akili kama MAHARAGE!

Siyo kwamba alikuwa bora asilimia 100% HAPANA! lakini kwa UBOVU wa shirika lenyewe angalau maharage amekuwa mkurugenzi wa kwanza kuliboresha kiutendaji japo kwa asilimia kadhaa ukiringanisha na watangulizi wake wote!

IFAHAMIKE kwamba kwa sera na siasa za kitanzania, MKURUGENZI anayo mipaka ya usimamizi katika shughuli zake,

Majukumu ya kuleta umeme wa uhakika kwa wananchi ni ya wizara na serikali nzima yapo inje kabisa ya uwezo wa mkurugenzi!

Mkurugenzi ni mshauri tu kwa serikali lakini hana maamuzi yoyote ya kupika inje ya bajeti!

mkurugenzi wa shirika ni sawa na mgawaji wa chakula JUKUMU lake ni kugawa kilichopo, kikiwa kingi mtapata wote kikiwa kidogo mtapata wachache na akiamriwa asigawe chakula mnakosa wote!

Hivyo kwa ubora wa mkurugenzi Maharage angalau alijitahidi japo kuboresha baadhi ya mambo yaliyo ndani yake!

MIONGONI MWA MAJUKUMU YA MKURUGENZI tanesco ni
  • kusimamia watendaji wake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa nidhamu Kitu ambacho MAHARAGE kakitetendea haki kajitahidi mno ukiringanisha na huko nyuma
  • Chini ya uongozi wa maharage shirika lilifikiwa mahali wananchi wana haki ya kulitathimini huu ni uungwana mkubwa sana kwa wenye hekima (Assesment)
  • chini ya maharage aliweka lengo kufikia mwishoni mwa mwaka 2023/2024 Maombi yoyote ya umeme yahakikishwe yamefungwa ndani ya masaa 48hrs (nani huko nyuma aliweza haya)
  • Katika uongozi wa maharage alipunguza hasara za uendeshaji wa shirika kwa kupunguza gharama zisizofaa za Ofisi za wilaya kuendelea kupanga majumba bali wakae kwenye ofisi zao wenyewe
  • ndani ya uongozi wa maharage kapunguza gharama za mafuta kwa kuruhusu matumizi ya bajaji jambo ambalo liliwahi kupingwa huko nyuma na wakurugenzi wote!
  • ndani ya uongozi wa maharage alipunguza gharama za stationary na kazi nyingi kuwa online (paperless)
  • ndani ya uongozi wa maharage aliondoa umwinyi kwa watumishi wasiowaadirifu wanaweza kukwamisha maombi kwa hila binafsi.
  • Maharage chande ndiye mkurugenzi pekee aliyeamini siyo lazima kila meneja tanesco (W) aendeshwe na dereva (Unneccesary cost za matumizi ya magari ambayo yangeweza kwenda fild kupunguza kero, Mameneja walistahili wapatiwe alawance pekee watumie magari yao kuja ofisini kuliko kupewa magari ambayo wakati mwingine wana ya abuse kufanyia kazi zao binafsi na kuzurula! N.K


Ni wajinga peke yao wanaoweza kuamini mkurugenzi huyu bora kabisa ametolewa pale kwa sababu kachangia uhaba wa umeme!

Uhaba wa umeme ni jambo la kiserikali (wizara) na huwa lina baraka za wakubwa!

Maharage chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea tanesco.

Waliouza bandari ndiyo walewale wanaotuhadaa na maigizo ya panga pangua ya uongozi!

Magufuli alitoa maelekezo umeme usikatwe HAUKUKATWA, Wamekuja wale wanatoa maelekezo ukatwe NA UNAKATWA!

Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!

MAOMBI; Kama mamlaka za uteuzi zinajali wananchi nashauri waangalie namna ya kumrudisha MAHARAGE TANESCO Hili shirika linahitaji kijana mwenye akili yake shirika lifanye kazi kama taasisi binafsi! Historia ya maharage inafiti sana;
Wana CCM wrnzangu mshaurini Rais Amrejeshe maharage pale TANESCO
Sasa nimeelewa fitina imetokea pale pale pale.. 🤔🤔 Kama mameneja alipewa allowance badala ya kubebwa na Dereva... Kwetu siebtunaopenda mtaani wajue Mi meneja tanesco siwezi kufurahi kamweeee...
Mama embu fanya utaratibu kijana arudi Tanesco bana!!
 
Mtoa mada ni ushuziii tu huyo beans ameliendesha shirika kwa hasara kubwa kafukuza jamaa zetu kule kule then ameintroduce call center ambayo imeprove failure ni kitu kimoja tu alichoweza kufaulu kuanzisha viunga
 
Mm niliwahi kupiga sim kutokea kwa hitilafu ndani ya nusu saa wakafika kutatua nikashangaa sikuamini ni ile Tanesco ninayoijua maana nilijua nalala Giza labda kw siku mbili hv.

Then biashara ya kuambiwa luku zimeisha ukiomba kuunganishwa umeme ilikuwa haipo na ndani siku mbili unaunganishwa.
ili eneo lilitesa Sana watu na mafundi wa Tanesco walikuwa wanatengeza delay ili wapate rushwa wanakumbia Kuna watu 1000 wanasubiri luku upo kwenye foleni tuliopata baraka za kuona awamu zote sita za utawala wa nchi hii tunalijua hili shirika la Tanesco vizuri
Hakika
 
Mtoa mada ni ushuziii tu huyo beans ameliendesha shirika kwa hasara kubwa kafukuza jamaa zetu kule kule then ameintroduce call center ambayo imeprove failure ni kitu kimoja tu alichoweza kufaulu kuanzisha viunga
Hatq magufuli alitumbua wasiofaa
 
Back
Top Bottom