Maharage Chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea TANESCO

Maharage Chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea TANESCO

Unajua au unapinga tu, nenda kaulize vizuri, wale madereva wanaobeba manguzo kupeleka maporini na kushusha na winchi, mafundi mpaka wengine wanalipukiwa na transforms, hasa niongee ukweli napata faida gani.
Umeelewa nilichoandika lakini? Hivi unajua kuwa kulikuwa na vijana wanaolipwa kwa mkataba kila mwezi? Toka ameingia yeye wale vijana walipoteza hiyo fursa. Badala yake wakaambiwa waunde vikundi kitu ambacho kazi hawapewi au zinatoka kwa kuungaunga na upendeleo hivi sasa vijana wanaishi bila kuwa na uwakika wa kesho yao.
 
Amini amini nawambieni!

Tangu shirika hili lianzishwe lilikuwa halijawahi kupata mkurugenzi mwenye akili kama MAHARAGE!

Siyo kwamba alikuwa bora asilimia 100% HAPANA! lakini kwa UBOVU wa shirika lenyewe angalau maharage amekuwa mkurugenzi wa kwanza kuliboresha kiutendaji japo kwa asilimia kadhaa ukiringanisha na watangulizi wake wote!

IFAHAMIKE kwamba kwa sera na siasa za kitanzania, MKURUGENZI anayo mipaka ya usimamizi katika shughuli zake,

Majukumu ya kuleta umeme wa uhakika kwa wananchi ni ya wizara na serikali nzima yapo inje kabisa ya uwezo wa mkurugenzi!

Mkurugenzi ni mshauri tu kwa serikali lakini hana maamuzi yoyote ya kupika inje ya bajeti!

mkurugenzi wa shirika ni sawa na mgawaji wa chakula JUKUMU lake ni kugawa kilichopo, kikiwa kingi mtapata wote kikiwa kidogo mtapata wachache na akiamriwa asigawe chakula mnakosa wote!

Hivyo kwa ubora wa mkurugenzi Maharage angalau alijitahidi japo kuboresha baadhi ya mambo yaliyo ndani yake!

MIONGONI MWA MAJUKUMU YA MKURUGENZI tanesco ni
  • kusimamia watendaji wake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa nidhamu Kitu ambacho MAHARAGE kakitetendea haki kajitahidi mno ukiringanisha na huko nyuma
  • Chini ya uongozi wa maharage shirika lilifikiwa mahali wananchi wana haki ya kulitathimini huu ni uungwana mkubwa sana kwa wenye hekima (Assesment)
  • chini ya maharage aliweka lengo kufikia mwishoni mwa mwaka 2023/2024 Maombi yoyote ya umeme yahakikishwe yamefungwa ndani ya masaa 48hrs (nani huko nyuma aliweza haya)
  • Katika uongozi wa maharage alipunguza hasara za uendeshaji wa shirika kwa kupunguza gharama zisizofaa za Ofisi za wilaya kuendelea kupanga majumba bali wakae kwenye ofisi zao wenyewe
  • ndani ya uongozi wa maharage kapunguza gharama za mafuta kwa kuruhusu matumizi ya bajaji jambo ambalo liliwahi kupingwa huko nyuma na wakurugenzi wote!
  • ndani ya uongozi wa maharage alipunguza gharama za stationary na kazi nyingi kuwa online (paperless)
  • ndani ya uongozi wa maharage aliondoa umwinyi kwa watumishi wasiowaadirifu wanaweza kukwamisha maombi kwa hila binafsi.
  • Maharage chande ndiye mkurugenzi pekee aliyeamini siyo lazima kila meneja tanesco (W) aendeshwe na dereva (Unneccesary cost za matumizi ya magari ambayo yangeweza kwenda fild kupunguza kero, Mameneja walistahili wapatiwe alawance pekee watumie magari yao kuja ofisini kuliko kupewa magari ambayo wakati mwingine wana ya abuse kufanyia kazi zao binafsi na kuzurula! N.K


Ni wajinga peke yao wanaoweza kuamini mkurugenzi huyu bora kabisa ametolewa pale kwa sababu kachangia uhaba wa umeme!

Uhaba wa umeme ni jambo la kiserikali (wizara) na huwa lina baraka za wakubwa!

Maharage chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea tanesco.

Waliouza bandari ndiyo walewale wanaotuhadaa na maigizo ya panga pangua ya uongozi!

Magufuli alitoa maelekezo umeme usikatwe HAUKUKATWA, Wamekuja wale wanatoa maelekezo ukatwe NA UNAKATWA!

Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!

MAOMBI; Kama mamlaka za uteuzi zinajali wananchi nashauri waangalie namna ya kumrudisha MAHARAGE TANESCO Hili shirika linahitaji kijana mwenye akili yake shirika lifanye kazi kama taasisi binafsi! Historia ya maharage inafiti sana;
Wana CCM wrnzangu mshaurini Rais Amrejeshe maharage pale TANESCO
Tatizo ni kukata umeme na pia inasemekana eti ulikuwa unaenda kwa Dkt Samia moja kwa moja
 
Umeelewa nilichoandika lakini? Hivi unajua kuwa kulikuwa na vijana wanaolipwa kwa mkataba kila mwezi? Toka ameingia yeye wale vijana walipoteza hiyo fursa. Badala yake wakaambiwa waunde vikundi kitu ambacho kazi hawapewi au zinatoka kwa kuungaunga na upendeleo hivi sasa vijana wanaishi bila kuwa na uwakika wa kesho yao.
Sasa nachozungumzia sio wa mkataba kulipwa kwa mwezi, mkataba ule mkubwa wa madereva, walikuwepo muda mrefu kazini, alivyoingia magu wakafanya interview Mtwara, bado kazi ya mkataba tu, baada ya magu kufariki wanapunguziwa mkataba mpaka leo na wengine wanakata tamaa wanasepa, huyo Maharage ubwabwa hakuwepo au hakuona Kama vijana wanataka kazi ya kudumu, ye alichokuwa anaangalia nguzo zimepelekwa porini, na mafundi wapo site, Bora punda afe mzigo ufike,na sio future ya hao wabeba nguzo na winchi, mpaka roli linataka kuanguka mlimani, ukweli tuseme,nachosema uhakika ninao na ingekuwa ukweli hata wanihoji na wahusika wapo.
 
Sasa nachozungumzia sio wa mkataba kulipwa kwa mwezi, mkataba ule mkubwa wa madereva, walikuwepo muda mrefu kazini, alivyoingia magu wakafanya interview Mtwara, bado kazi ya mkataba tu, baada ya magu kufariki wanapunguziwa mkataba mpaka leo na wengine wanakata tamaa wanasepa, huyo Maharage ubwabwa hakuwepo au hakuona Kama vijana wanataka kazi ya kudumu, ye alichokuwa anaangalia nguzo zimepelekwa porini, na mafundi wapo site, Bora punda afe mzigo ufike,na sio future ya hao wabeba nguzo na winchi, mpaka roli linataka kuanguka mlimani, ukweli tuseme,nachosema uhakika ninao na ingekuwa ukweli hata wanihoji na wahusika wapo.
duh
 
Amini amini nawambieni!

Tangu shirika hili lianzishwe lilikuwa halijawahi kupata mkurugenzi mwenye akili kama MAHARAGE!

Siyo kwamba alikuwa bora asilimia 100% HAPANA! lakini kwa UBOVU wa shirika lenyewe angalau maharage amekuwa mkurugenzi wa kwanza kuliboresha kiutendaji japo kwa asilimia kadhaa ukiringanisha na watangulizi wake wote!

IFAHAMIKE kwamba kwa sera na siasa za kitanzania, MKURUGENZI anayo mipaka ya usimamizi katika shughuli zake,

Majukumu ya kuleta umeme wa uhakika kwa wananchi ni ya wizara na serikali nzima yapo inje kabisa ya uwezo wa mkurugenzi!

Mkurugenzi ni mshauri tu kwa serikali lakini hana maamuzi yoyote ya kupika inje ya bajeti!

mkurugenzi wa shirika ni sawa na mgawaji wa chakula JUKUMU lake ni kugawa kilichopo, kikiwa kingi mtapata wote kikiwa kidogo mtapata wachache na akiamriwa asigawe chakula mnakosa wote!

Hivyo kwa ubora wa mkurugenzi Maharage angalau alijitahidi japo kuboresha baadhi ya mambo yaliyo ndani yake!

MIONGONI MWA MAJUKUMU YA MKURUGENZI tanesco ni
  • kusimamia watendaji wake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa nidhamu Kitu ambacho MAHARAGE kakitetendea haki kajitahidi mno ukiringanisha na huko nyuma
  • Chini ya uongozi wa maharage shirika lilifikiwa mahali wananchi wana haki ya kulitathimini huu ni uungwana mkubwa sana kwa wenye hekima (Assesment)
  • chini ya maharage aliweka lengo kufikia mwishoni mwa mwaka 2023/2024 Maombi yoyote ya umeme yahakikishwe yamefungwa ndani ya masaa 48hrs (nani huko nyuma aliweza haya)
  • Katika uongozi wa maharage alipunguza hasara za uendeshaji wa shirika kwa kupunguza gharama zisizofaa za Ofisi za wilaya kuendelea kupanga majumba bali wakae kwenye ofisi zao wenyewe
  • ndani ya uongozi wa maharage kapunguza gharama za mafuta kwa kuruhusu matumizi ya bajaji jambo ambalo liliwahi kupingwa huko nyuma na wakurugenzi wote!
  • ndani ya uongozi wa maharage alipunguza gharama za stationary na kazi nyingi kuwa online (paperless)
  • ndani ya uongozi wa maharage aliondoa umwinyi kwa watumishi wasiowaadirifu wanaweza kukwamisha maombi kwa hila binafsi.
  • Maharage chande ndiye mkurugenzi pekee aliyeamini siyo lazima kila meneja tanesco (W) aendeshwe na dereva (Unneccesary cost za matumizi ya magari ambayo yangeweza kwenda fild kupunguza kero, Mameneja walistahili wapatiwe alawance pekee watumie magari yao kuja ofisini kuliko kupewa magari ambayo wakati mwingine wana ya abuse kufanyia kazi zao binafsi na kuzurula! N.K


Ni wajinga peke yao wanaoweza kuamini mkurugenzi huyu bora kabisa ametolewa pale kwa sababu kachangia uhaba wa umeme!

Uhaba wa umeme ni jambo la kiserikali (wizara) na huwa lina baraka za wakubwa!

Maharage chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea tanesco.

Waliouza bandari ndiyo walewale wanaotuhadaa na maigizo ya panga pangua ya uongozi!

Magufuli alitoa maelekezo umeme usikatwe HAUKUKATWA, Wamekuja wale wanatoa maelekezo ukatwe NA UNAKATWA!

Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!

MAOMBI; Kama mamlaka za uteuzi zinajali wananchi nashauri waangalie namna ya kumrudisha MAHARAGE TANESCO Hili shirika linahitaji kijana mwenye akili yake shirika lifanye kazi kama taasisi binafsi! Historia ya maharage inafiti sana;
Wana CCM wrnzangu mshaurini Rais Amrejeshe maharage pale TANESCO
Mental slavery is the worst form of slavery.
It gives u the illusion of freedom, makes u trust, love and defend your oppressors while making an enemy of those who are trying to free u[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Amini amini nawambieni!

Tangu shirika hili lianzishwe lilikuwa halijawahi kupata mkurugenzi mwenye akili kama MAHARAGE!

Siyo kwamba alikuwa bora asilimia 100% HAPANA! lakini kwa UBOVU wa shirika lenyewe angalau maharage amekuwa mkurugenzi wa kwanza kuliboresha kiutendaji japo kwa asilimia kadhaa ukiringanisha na watangulizi wake wote!

IFAHAMIKE kwamba kwa sera na siasa za kitanzania, MKURUGENZI anayo mipaka ya usimamizi katika shughuli zake,

Majukumu ya kuleta umeme wa uhakika kwa wananchi ni ya wizara na serikali nzima yapo inje kabisa ya uwezo wa mkurugenzi!

Mkurugenzi ni mshauri tu kwa serikali lakini hana maamuzi yoyote ya kupika inje ya bajeti!

mkurugenzi wa shirika ni sawa na mgawaji wa chakula JUKUMU lake ni kugawa kilichopo, kikiwa kingi mtapata wote kikiwa kidogo mtapata wachache na akiamriwa asigawe chakula mnakosa wote!

Hivyo kwa ubora wa mkurugenzi Maharage angalau alijitahidi japo kuboresha baadhi ya mambo yaliyo ndani yake!

MIONGONI MWA MAJUKUMU YA MKURUGENZI tanesco ni
  • kusimamia watendaji wake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa nidhamu Kitu ambacho MAHARAGE kakitetendea haki kajitahidi mno ukiringanisha na huko nyuma
  • Chini ya uongozi wa maharage shirika lilifikiwa mahali wananchi wana haki ya kulitathimini huu ni uungwana mkubwa sana kwa wenye hekima (Assesment)
  • chini ya maharage aliweka lengo kufikia mwishoni mwa mwaka 2023/2024 Maombi yoyote ya umeme yahakikishwe yamefungwa ndani ya masaa 48hrs (nani huko nyuma aliweza haya)
  • Katika uongozi wa maharage alipunguza hasara za uendeshaji wa shirika kwa kupunguza gharama zisizofaa za Ofisi za wilaya kuendelea kupanga majumba bali wakae kwenye ofisi zao wenyewe
  • ndani ya uongozi wa maharage kapunguza gharama za mafuta kwa kuruhusu matumizi ya bajaji jambo ambalo liliwahi kupingwa huko nyuma na wakurugenzi wote!
  • ndani ya uongozi wa maharage alipunguza gharama za stationary na kazi nyingi kuwa online (paperless)
  • ndani ya uongozi wa maharage aliondoa umwinyi kwa watumishi wasiowaadirifu wanaweza kukwamisha maombi kwa hila binafsi.
  • Maharage chande ndiye mkurugenzi pekee aliyeamini siyo lazima kila meneja tanesco (W) aendeshwe na dereva (Unneccesary cost za matumizi ya magari ambayo yangeweza kwenda fild kupunguza kero, Mameneja walistahili wapatiwe alawance pekee watumie magari yao kuja ofisini kuliko kupewa magari ambayo wakati mwingine wana ya abuse kufanyia kazi zao binafsi na kuzurula! N.K


Ni wajinga peke yao wanaoweza kuamini mkurugenzi huyu bora kabisa ametolewa pale kwa sababu kachangia uhaba wa umeme!

Uhaba wa umeme ni jambo la kiserikali (wizara) na huwa lina baraka za wakubwa!

Maharage chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea tanesco.

Waliouza bandari ndiyo walewale wanaotuhadaa na maigizo ya panga pangua ya uongozi!

Magufuli alitoa maelekezo umeme usikatwe HAUKUKATWA, Wamekuja wale wanatoa maelekezo ukatwe NA UNAKATWA!

Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!

MAOMBI; Kama mamlaka za uteuzi zinajali wananchi nashauri waangalie namna ya kumrudisha MAHARAGE TANESCO Hili shirika linahitaji kijana mwenye akili yake shirika lifanye kazi kama taasisi binafsi! Historia ya maharage inafiti sana;
Wana CCM wrnzangu mshaurini Rais Amrejeshe maharage pale TANESCO
Sasa Dogo Mimi sijakuelewa. Nilitegemea uoneshe namna gani Maharage Chande amekuwa Mkurugenzi Bora wa TANESCO ukilinganisha na wakurugenzi wengine. Mfano, tuoneshe namna Maharage Chande alivyo Bora kuliko Mkurugenzi Mwaituka ambaye kwa miaka yake minne au mitano umeme ulikuwa haukatiki ovyo.
 
Aliposema kuna upungufu wa umeme mama na January wakasema kuna marekebisho ya miundombinu ya umeme.
 
Mimi mwenyewe nimechukia sana

Jamaa kichwa sana.. binafsi nilifungiwa luku ndani ya 72 hours baada ya kufanya maombi
Kufungiwa LUKU huku unalala gizani kwa uhaba wa umeme Kuna faida gani? Kwanza uhakika wa umeme then ndio mambo ya LUKU yafuate
 
Amini amini nawambieni!

Tangu shirika hili lianzishwe lilikuwa halijawahi kupata mkurugenzi mwenye akili kama MAHARAGE!

Siyo kwamba alikuwa bora asilimia 100% HAPANA! lakini kwa UBOVU wa shirika lenyewe angalau maharage amekuwa mkurugenzi wa kwanza kuliboresha kiutendaji japo kwa asilimia kadhaa ukiringanisha na watangulizi wake wote!

IFAHAMIKE kwamba kwa sera na siasa za kitanzania, MKURUGENZI anayo mipaka ya usimamizi katika shughuli zake,

Majukumu ya kuleta umeme wa uhakika kwa wananchi ni ya wizara na serikali nzima yapo inje kabisa ya uwezo wa mkurugenzi!

Mkurugenzi ni mshauri tu kwa serikali lakini hana maamuzi yoyote ya kupika inje ya bajeti!

mkurugenzi wa shirika ni sawa na mgawaji wa chakula JUKUMU lake ni kugawa kilichopo, kikiwa kingi mtapata wote kikiwa kidogo mtapata wachache na akiamriwa asigawe chakula mnakosa wote!

Hivyo kwa ubora wa mkurugenzi Maharage angalau alijitahidi japo kuboresha baadhi ya mambo yaliyo ndani yake!

MIONGONI MWA MAJUKUMU YA MKURUGENZI tanesco ni
  • kusimamia watendaji wake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa nidhamu Kitu ambacho MAHARAGE kakitetendea haki kajitahidi mno ukiringanisha na huko nyuma
  • Chini ya uongozi wa maharage shirika lilifikiwa mahali wananchi wana haki ya kulitathimini huu ni uungwana mkubwa sana kwa wenye hekima (Assesment)
  • chini ya maharage aliweka lengo kufikia mwishoni mwa mwaka 2023/2024 Maombi yoyote ya umeme yahakikishwe yamefungwa ndani ya masaa 48hrs (nani huko nyuma aliweza haya)
  • Katika uongozi wa maharage alipunguza hasara za uendeshaji wa shirika kwa kupunguza gharama zisizofaa za Ofisi za wilaya kuendelea kupanga majumba bali wakae kwenye ofisi zao wenyewe
  • ndani ya uongozi wa maharage kapunguza gharama za mafuta kwa kuruhusu matumizi ya bajaji jambo ambalo liliwahi kupingwa huko nyuma na wakurugenzi wote!
  • ndani ya uongozi wa maharage alipunguza gharama za stationary na kazi nyingi kuwa online (paperless)
  • ndani ya uongozi wa maharage aliondoa umwinyi kwa watumishi wasiowaadirifu wanaweza kukwamisha maombi kwa hila binafsi.
  • Maharage chande ndiye mkurugenzi pekee aliyeamini siyo lazima kila meneja tanesco (W) aendeshwe na dereva (Unneccesary cost za matumizi ya magari ambayo yangeweza kwenda fild kupunguza kero, Mameneja walistahili wapatiwe alawance pekee watumie magari yao kuja ofisini kuliko kupewa magari ambayo wakati mwingine wana ya abuse kufanyia kazi zao binafsi na kuzurula! N.K


Ni wajinga peke yao wanaoweza kuamini mkurugenzi huyu bora kabisa ametolewa pale kwa sababu kachangia uhaba wa umeme!

Uhaba wa umeme ni jambo la kiserikali (wizara) na huwa lina baraka za wakubwa!

Maharage chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea tanesco.

Waliouza bandari ndiyo walewale wanaotuhadaa na maigizo ya panga pangua ya uongozi!

Magufuli alitoa maelekezo umeme usikatwe HAUKUKATWA, Wamekuja wale wanatoa maelekezo ukatwe NA UNAKATWA!

Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!

MAOMBI; Kama mamlaka za uteuzi zinajali wananchi nashauri waangalie namna ya kumrudisha MAHARAGE TANESCO Hili shirika linahitaji kijana mwenye akili yake shirika lifanye kazi kama taasisi binafsi! Historia ya maharage inafiti sana;
Wana CCM wrnzangu mshaurini Rais Amrejeshe maharage pale TANESCO
Chawa promax
 
Amini amini nawambieni!

Tangu shirika hili lianzishwe lilikuwa halijawahi kupata mkurugenzi mwenye akili kama MAHARAGE!

Siyo kwamba alikuwa bora asilimia 100% HAPANA! lakini kwa UBOVU wa shirika lenyewe angalau maharage amekuwa mkurugenzi wa kwanza kuliboresha kiutendaji japo kwa asilimia kadhaa ukiringanisha na watangulizi wake wote!

IFAHAMIKE kwamba kwa sera na siasa za kitanzania, MKURUGENZI anayo mipaka ya usimamizi katika shughuli zake,

Majukumu ya kuleta umeme wa uhakika kwa wananchi ni ya wizara na serikali nzima yapo inje kabisa ya uwezo wa mkurugenzi!

Mkurugenzi ni mshauri tu kwa serikali lakini hana maamuzi yoyote ya kupika inje ya bajeti!

mkurugenzi wa shirika ni sawa na mgawaji wa chakula JUKUMU lake ni kugawa kilichopo, kikiwa kingi mtapata wote kikiwa kidogo mtapata wachache na akiamriwa asigawe chakula mnakosa wote!

Hivyo kwa ubora wa mkurugenzi Maharage angalau alijitahidi japo kuboresha baadhi ya mambo yaliyo ndani yake!

MIONGONI MWA MAJUKUMU YA MKURUGENZI tanesco ni
  • kusimamia watendaji wake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa nidhamu Kitu ambacho MAHARAGE kakitetendea haki kajitahidi mno ukiringanisha na huko nyuma
  • Chini ya uongozi wa maharage shirika lilifikiwa mahali wananchi wana haki ya kulitathimini huu ni uungwana mkubwa sana kwa wenye hekima (Assesment)
  • chini ya maharage aliweka lengo kufikia mwishoni mwa mwaka 2023/2024 Maombi yoyote ya umeme yahakikishwe yamefungwa ndani ya masaa 48hrs (nani huko nyuma aliweza haya)
  • Katika uongozi wa maharage alipunguza hasara za uendeshaji wa shirika kwa kupunguza gharama zisizofaa za Ofisi za wilaya kuendelea kupanga majumba bali wakae kwenye ofisi zao wenyewe
  • ndani ya uongozi wa maharage kapunguza gharama za mafuta kwa kuruhusu matumizi ya bajaji jambo ambalo liliwahi kupingwa huko nyuma na wakurugenzi wote!
  • ndani ya uongozi wa maharage alipunguza gharama za stationary na kazi nyingi kuwa online (paperless)
  • ndani ya uongozi wa maharage aliondoa umwinyi kwa watumishi wasiowaadirifu wanaweza kukwamisha maombi kwa hila binafsi.
  • Maharage chande ndiye mkurugenzi pekee aliyeamini siyo lazima kila meneja tanesco (W) aendeshwe na dereva (Unneccesary cost za matumizi ya magari ambayo yangeweza kwenda fild kupunguza kero, Mameneja walistahili wapatiwe alawance pekee watumie magari yao kuja ofisini kuliko kupewa magari ambayo wakati mwingine wana ya abuse kufanyia kazi zao binafsi na kuzurula! N.K


Ni wajinga peke yao wanaoweza kuamini mkurugenzi huyu bora kabisa ametolewa pale kwa sababu kachangia uhaba wa umeme!

Uhaba wa umeme ni jambo la kiserikali (wizara) na huwa lina baraka za wakubwa!

Maharage chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea tanesco.

Waliouza bandari ndiyo walewale wanaotuhadaa na maigizo ya panga pangua ya uongozi!

Magufuli alitoa maelekezo umeme usikatwe HAUKUKATWA, Wamekuja wale wanatoa maelekezo ukatwe NA UNAKATWA!

Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!

MAOMBI; Kama mamlaka za uteuzi zinajali wananchi nashauri waangalie namna ya kumrudisha MAHARAGE TANESCO Hili shirika linahitaji kijana mwenye akili yake shirika lifanye kazi kama taasisi binafsi! Historia ya maharage inafiti sana;
Wana CCM wrnzangu mshaurini Rais Amrejeshe maharage pale TANESCO
Tangu lini ccm inataka mtu mzuri awawekee ka uzibe?
 
Ila watanzania 🙌
Mbona hamkuyasema haya kabla, Zaidi mlikua mnasema kua maharagwe kawekwa na January ,Mara sijui call centre ya tanesco Ni mradi wake wa upigaji
Aisee ,hii nchi ndio maana watawala wanaiendesha wanavyotaka maana Sisi wananchi tunaonekana hatujui tunachokitaka
Haya yote yanawezekana.
Ukiwekwa mahali na mkubwa lazima utii maagizo yake.

Pili huyu jamamaa hakosi mazuri yake, mengi yaliyoorodheshwa ni kweli pia
 
bahati mbaya mwajiri ni mteuaji siyo mwananchi kama ulivyosema!

kwa hayo uliyosema MAHARAGE tayali alikuwa anayafanyia kazi, nilitembelea banda la sabasaba mwaka huu Tanesco mita zote mpya zinazofungwa ni Smart meter! yaani ni mita ambazo zinasapoti hiyo automatation Ambayo wana mpango kuunganisha taarifa na simu ili ukiweka umeme uchague uingie moja kwa moja au bdae!

Yote hayo huyu jamaa mkurugenzi kafanya,
kuhusu ishu ya taarifu tayali kaweka one stop center ya kupiga simu ukiwa nyumbani au kupitia application yao mpya ya nikonekt ambayo unaweza kutoa taarifa ya maombi na malalamiko na taarifa zikafika!

huyu jamaa kusema ukweli mimi sijui kusifu ila alikuwa mkurugenzi bora sana ningekuwa naweza Namshauri Rais Amrudishe huyu jamaa TANESCO
Hebu tusaidie na hili swala kwamba anafanya biashara na TTCL ni biashara gani hiyo mkuu?
 
Kipindi Maja anatoa hotuba nkamuona mandondo kakunja sura huyo anatamani amrukie mwamba afu mwamba yuko karelax tu anawanyoosha tu hawa watoto wa kota.
 
Amini amini nawambieni!

Tangu shirika hili lianzishwe lilikuwa halijawahi kupata mkurugenzi mwenye akili kama MAHARAGE!

Siyo kwamba alikuwa bora asilimia 100% HAPANA! lakini kwa UBOVU wa shirika lenyewe angalau maharage amekuwa mkurugenzi wa kwanza kuliboresha kiutendaji japo kwa asilimia kadhaa ukiringanisha na watangulizi wake wote!

IFAHAMIKE kwamba kwa sera na siasa za kitanzania, MKURUGENZI anayo mipaka ya usimamizi katika shughuli zake,

Majukumu ya kuleta umeme wa uhakika kwa wananchi ni ya wizara na serikali nzima yapo inje kabisa ya uwezo wa mkurugenzi!

Mkurugenzi ni mshauri tu kwa serikali lakini hana maamuzi yoyote ya kupika inje ya bajeti!

mkurugenzi wa shirika ni sawa na mgawaji wa chakula JUKUMU lake ni kugawa kilichopo, kikiwa kingi mtapata wote kikiwa kidogo mtapata wachache na akiamriwa asigawe chakula mnakosa wote!

Hivyo kwa ubora wa mkurugenzi Maharage angalau alijitahidi japo kuboresha baadhi ya mambo yaliyo ndani yake!

MIONGONI MWA MAJUKUMU YA MKURUGENZI tanesco ni
  • kusimamia watendaji wake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa nidhamu Kitu ambacho MAHARAGE kakitetendea haki kajitahidi mno ukiringanisha na huko nyuma
  • Chini ya uongozi wa maharage shirika lilifikiwa mahali wananchi wana haki ya kulitathimini huu ni uungwana mkubwa sana kwa wenye hekima (Assesment)
  • chini ya maharage aliweka lengo kufikia mwishoni mwa mwaka 2023/2024 Maombi yoyote ya umeme yahakikishwe yamefungwa ndani ya masaa 48hrs (nani huko nyuma aliweza haya)
  • Katika uongozi wa maharage alipunguza hasara za uendeshaji wa shirika kwa kupunguza gharama zisizofaa za Ofisi za wilaya kuendelea kupanga majumba bali wakae kwenye ofisi zao wenyewe
  • ndani ya uongozi wa maharage kapunguza gharama za mafuta kwa kuruhusu matumizi ya bajaji jambo ambalo liliwahi kupingwa huko nyuma na wakurugenzi wote!
  • ndani ya uongozi wa maharage alipunguza gharama za stationary na kazi nyingi kuwa online (paperless)
  • ndani ya uongozi wa maharage aliondoa umwinyi kwa watumishi wasiowaadirifu wanaweza kukwamisha maombi kwa hila binafsi.
  • Maharage chande ndiye mkurugenzi pekee aliyeamini siyo lazima kila meneja tanesco (W) aendeshwe na dereva (Unneccesary cost za matumizi ya magari ambayo yangeweza kwenda fild kupunguza kero, Mameneja walistahili wapatiwe alawance pekee watumie magari yao kuja ofisini kuliko kupewa magari ambayo wakati mwingine wana ya abuse kufanyia kazi zao binafsi na kuzurula! N.K


Ni wajinga peke yao wanaoweza kuamini mkurugenzi huyu bora kabisa ametolewa pale kwa sababu kachangia uhaba wa umeme!

Uhaba wa umeme ni jambo la kiserikali (wizara) na huwa lina baraka za wakubwa!

Maharage chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea tanesco.

Waliouza bandari ndiyo walewale wanaotuhadaa na maigizo ya panga pangua ya uongozi!

Magufuli alitoa maelekezo umeme usikatwe HAUKUKATWA, Wamekuja wale wanatoa maelekezo ukatwe NA UNAKATWA!

Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!

MAOMBI; Kama mamlaka za uteuzi zinajali wananchi nashauri waangalie namna ya kumrudisha MAHARAGE TANESCO Hili shirika linahitaji kijana mwenye akili yake shirika lifanye kazi kama taasisi binafsi! Historia ya maharage inafiti sana;
Wana CCM wrnzangu mshaurini Rais Amrejeshe maharage pale TANESCO
Bora kwa kununua software India ya bilioni 70 na Bado haijaleta tija?
 
Ukianza kufuatilia huyu Maharage anakitu ndani yake mbona jamaa wanampiga vita sana
 
Ukianza kufuatilia huyu Maharage anakitu ndani yake mbona jamaa wanampiga vita sana
Brother huyu maharage ni moja ya C:E:O Bora sana , Kazi zake zinajieleza bayana sema kazungukwa na watu wa hovyo!
na i bet wakimwachia taaasisi za inje kimataifa zitamchukua fasta!
 
Amini amini nawambieni!

Tangu shirika hili lianzishwe lilikuwa halijawahi kupata mkurugenzi mwenye akili kama MAHARAGE!

Siyo kwamba alikuwa bora asilimia 100% HAPANA! lakini kwa UBOVU wa shirika lenyewe angalau maharage amekuwa mkurugenzi wa kwanza kuliboresha kiutendaji japo kwa asilimia kadhaa ukiringanisha na watangulizi wake wote!

IFAHAMIKE kwamba kwa sera na siasa za kitanzania, MKURUGENZI anayo mipaka ya usimamizi katika shughuli zake,

Majukumu ya kuleta umeme wa uhakika kwa wananchi ni ya wizara na serikali nzima yapo inje kabisa ya uwezo wa mkurugenzi!

Mkurugenzi ni mshauri tu kwa serikali lakini hana maamuzi yoyote ya kupika inje ya bajeti!

mkurugenzi wa shirika ni sawa na mgawaji wa chakula JUKUMU lake ni kugawa kilichopo, kikiwa kingi mtapata wote kikiwa kidogo mtapata wachache na akiamriwa asigawe chakula mnakosa wote!

Hivyo kwa ubora wa mkurugenzi Maharage angalau alijitahidi japo kuboresha baadhi ya mambo yaliyo ndani yake!

MIONGONI MWA MAJUKUMU YA MKURUGENZI tanesco ni
  • kusimamia watendaji wake kuhakikisha wanatoa huduma bora kwa nidhamu Kitu ambacho MAHARAGE kakitetendea haki kajitahidi mno ukiringanisha na huko nyuma
  • Chini ya uongozi wa maharage shirika lilifikiwa mahali wananchi wana haki ya kulitathimini huu ni uungwana mkubwa sana kwa wenye hekima (Assesment)
  • chini ya maharage aliweka lengo kufikia mwishoni mwa mwaka 2023/2024 Maombi yoyote ya umeme yahakikishwe yamefungwa ndani ya masaa 48hrs (nani huko nyuma aliweza haya)
  • Katika uongozi wa maharage alipunguza hasara za uendeshaji wa shirika kwa kupunguza gharama zisizofaa za Ofisi za wilaya kuendelea kupanga majumba bali wakae kwenye ofisi zao wenyewe
  • ndani ya uongozi wa maharage kapunguza gharama za mafuta kwa kuruhusu matumizi ya bajaji jambo ambalo liliwahi kupingwa huko nyuma na wakurugenzi wote!
  • ndani ya uongozi wa maharage alipunguza gharama za stationary na kazi nyingi kuwa online (paperless)
  • ndani ya uongozi wa maharage aliondoa umwinyi kwa watumishi wasiowaadirifu wanaweza kukwamisha maombi kwa hila binafsi.
  • Maharage chande ndiye mkurugenzi pekee aliyeamini siyo lazima kila meneja tanesco (W) aendeshwe na dereva (Unneccesary cost za matumizi ya magari ambayo yangeweza kwenda fild kupunguza kero, Mameneja walistahili wapatiwe alawance pekee watumie magari yao kuja ofisini kuliko kupewa magari ambayo wakati mwingine wana ya abuse kufanyia kazi zao binafsi na kuzurula! N.K


Ni wajinga peke yao wanaoweza kuamini mkurugenzi huyu bora kabisa ametolewa pale kwa sababu kachangia uhaba wa umeme!

Uhaba wa umeme ni jambo la kiserikali (wizara) na huwa lina baraka za wakubwa!

Maharage chande atabakia kuwa ndiye mkurugenzi bora zaidi kuwahi kutokea tanesco.

Waliouza bandari ndiyo walewale wanaotuhadaa na maigizo ya panga pangua ya uongozi!

Magufuli alitoa maelekezo umeme usikatwe HAUKUKATWA, Wamekuja wale wanatoa maelekezo ukatwe NA UNAKATWA!

Hongereni TTCL kwa kuletewa jembe maharage chande, Pamoja na mapungufu madogo ya kibinadamu huyu jamaa ni mbunifu na msikivu!

MAOMBI; Kama mamlaka za uteuzi zinajali wananchi nashauri waangalie namna ya kumrudisha MAHARAGE TANESCO Hili shirika linahitaji kijana mwenye akili yake shirika lifanye kazi kama taasisi binafsi! Historia ya maharage inafiti sana;
Wana CCM wrnzangu mshaurini Rais Amrejeshe maharage pale TANESCO
Umeandika mambo meengi sana, lakini haujatuambia Maharage ameboresha nini na nini pale Ofisini hadi kuwa bora kuliko watangulizi wake!,?
 
Back
Top Bottom