Maharage Chande kutoka Ukurugenzi TANESCO hadi Postamasta - amepanda au ameshuka?

Maharage Chande kutoka Ukurugenzi TANESCO hadi Postamasta - amepanda au ameshuka?

Umofia kwenu

Uteuzi uliofanywa na Rais Samia kwa kumtoa Maharage Chande TANESCO na kumpeleka kuwa Mkurugenzi TTCL na hatimaye ndani ya siku mbili akamteua kuwa PostaMasta inaleta tafakuri jadidifu kidogo.

Sisi wanaNzengo tunaweza kuwa na maswali yanayosumbua bongo zetu

  1. Cheo cha Postamsta kina nafasi gani kwenye madaraja ya utumishi wa umma?
  2. Sababu zilizosababisha aondolewe TANESCO zinafanana na zilizopelekea aondolewe TTCL?
  3. Mteuzi yaani Rais, anatuma ujumbe gani kwa umma kwa teuzi hizi kanganyifu? Yaani leo unamteua huyu unamuweka mahala fulani lakini kesho yake unamuondoa hapo kumpeleka kwingine
  4. PostaMasta anafanyakazi chini ya Mkurugenzi wa Posta. Je kwa level aliyofikia Maharage Chande inampa hadhi hiyo ama inamshusha hadhi awe hivyo?
  5. Kama endapo kuna sababu zinazoligharimu Taifa kwa kumuondoa Chande TANESCO, je aendelee kuligharimu Taifa huko aendako au alipata ajali ta kiutendaji?
  6. Je tuendelee kuamini kwamba Rais yupo makini kusimamia utumishi wa umma au anatekeleza matakwa ya waliomzunguka bila kuzingatia manufaa ya Umma?
  7. Je, CCM sasa inatapatapa kulazimisha maji kupanda mlima baada ya kukosa kuungwa mkono na wananchi ambapo kupitia kauli za makada waandamizi kwamba hata ikishindwa uchaguzi haiondoki madarakani?
  8. Kwa utendaji huu wenye mashaka mengi wa marais wa CCM l, je ni mara ngapi CCM imeipindua serikali kwa kuiba matokeo ya chaguzi mbalimbali nchini?
  9. Mkeka wa teuzi wa jana, umeonesha uwepo wa ombwe la utumishi wa umma. Tutarajie nini kwenye utendaji wenye kuleta matokeo?
CC: Pascal Mayalla Erythrocyte Retired Mshana Jr johnthebaptist Kidu52 Money Penny Dr Akeelah masa2000 Kigogo333 raraa reree Extrovert FaizaFoxy ChoiceVariable Lucas mwashambwa
Unaonesha huelewi mipango inayoendelea sasa hivi ya kuifanya posta kuwa taasisi kubwa sana kuliko unavyofikiria.

Posta inakwenda kuwa ni kituo cha huduma zote za jamii zinazotolewa na serikali. Itafanya kazi na itakuwa na mambo yote muhimu, mfano kupata kitambulisho cha taifa, kupata passport, kupata leseni, kupata vyeti vyote vinavyohusu RITA. Mpaka sim card za simu itafikia wakati ni posta tu watakaozitowa, ili kukomesha wizi wa matapeli wanaotumia simu.

Kusambaziwa barua na vifurushi mpaka mlangoni kwako. Kuuziwa chochote kupitia mfumo wa posta na kufikishiwa ulipo, kuanzia vya ndani ya Tanzania mpaka vya nje ya Tanzania. Na mengine mengi sana.

Katazame uzinduzi wa makao makuu ya posta yaliyofanyika Arusha ujionee na kujisikilizia posta inakuwaje.

Hilo ni bonge la promotion, jamaa hapo sasa aoneshe uwezo wake.
 
." Sababu ni zile zile. Watu wengi waliomba asiendelee kuwepo pale TTCL kwa sababu zile zile zilizomtoa TANESCO.

Huko Posta hakuna kukuru kakara zilizoko TTCL na TANESCO. Sasa amepangiwa eneo la kazi linaloonekana kwendana na uwezo wake wa kufikiri, kuhukumu na kutenda.

Rais amefanya uamuzi sahihi na kwa wakati sahihi. Pia, Rais amejisahihisha haraka.
NAUNGA MKONO HOJA
 
Sio kwamba sababu "zinafanana." Sababu ni zile zile. Watu wengi waliomba asiendelee kuwepo pale TTCL kwa sababu zile zile zilizomtoa TANESCO.

Huko Posta hakuna kukuru kakara zilizoko TTCL na TANESCO. Sasa amepangiwa eneo la kazi linaloonekana kwendana na uwezo wake wa kufikiri, kuhukumu na kutenda.

Rais amefanya uamuzi sahihi na kwa wakati sahihi. Pia, Rais amejisahihisha haraka.

Kwangu naona hatua zote mbili za sasa ni za kupongezwa.

TTCL is dying my friend!

It needs a strategic-cum-micro-manager, which Maharage is not and has never been!
He is a right person pale TTCL kwa uzoefu wake aliopata akiwa private sector! Lakini mamlaka inajua tusiyojua. Namtakia heri kwenye majukumu yake mapya.
 
Unaonesha huelewi mipango inayoendelea sasa hivi ya kuifanya posta kuwa taasisi kubwa sana kuliko unavyofikiria.

Posta inakwenda kuwa ni kituo cha huduma zote za jamii zinazotolewa na serikali. Itafanya kazi na itakuwa na mambo yote muhimu, mfano kupata kitambulisho cha taifa, kupata passport, kupata leseni, kupata vyeti vyote vinavyohusu RITA. Mpaka sim card za simu itafikia wakati ni posta tu watakaozitowa, ili kukomesha wizi wa matapeli wanaotumia simu.

Kusambaziwa barua na vifurushi mpaka mlangoni kwako. Kuuziwa chochote ku[pitia mfumo wa posta na kugfikishiwa ulipo, kuanzia vya ndani ya Tanzania mpa vya nje ya Tanzania. Na mengone mengi sana.

Katazame uzinduzi wa makao makuu ya posta yaliyofanyika Arusha ujionee na kujisikilizia posta inakuwaje.

Hilo ni bonge la promotion, jamaa hapo sasa aoneshe uwezo wake.
Ni mpumbavu tu anaweza amini hiki unachokisema..hapo walipo kwa majukumu hayo waliyo nayo posta wameshindwa kuleta tija, biashara ndogo kabisa ya kusafirisha vifurushi na vitu vidogo vidogo mtu anaona bora awape wenye mabasi kuliko kupeleka posta..hayo yoooote uliyoorodhesha watayaweza???
 
Unaonesha huelewi mipango inayoendelea sasa hivi ya kuifanya posta kuwa taasisi kubwa sana kuliko unavyofikiria.

Posta inakwenda kuwa ni kituo cha huduma zote za jamii zinazotolewa na serikali. Itafanya kazi na itakuwa na mambo yote muhimu, mfano kupata kitambulisho cha taifa, kupata passport, kupata leseni, kupata vyeti vyote vinavyohusu RITA. Mpaka sim card za simu itafikia wakati ni posta tu watakaozitowa, ili kukomesha wizi wa matapeli wanaotumia simu.

Kusambaziwa barua na vifurushi mpaka mlangoni kwako. Kuuziwa chochote kupitia mfumo wa posta na kufikishiwa ulipo, kuanzia vya ndani ya Tanzania mpaka vya nje ya Tanzania. Na mengine mengi sana.

Katazame uzinduzi wa makao makuu ya posta yaliyofanyika Arusha ujionee na kujisikilizia posta inakuwaje.

Hilo ni bonge la promotion, jamaa hapo sasa aoneshe uwezo wake.
kabisa bi dada nilikuwepo chuga wakati wa uzinduz4 endapo yote yaliyopo kwenxe makaratasi yatfanyiwa kazi.
 
Umofia kwenu

Uteuzi uliofanywa na Rais Samia kwa kumtoa Maharage Chande TANESCO na kumpeleka kuwa Mkurugenzi TTCL na hatimaye ndani ya siku mbili akamteua kuwa PostaMasta inaleta tafakuri jadidifu kidogo.

Sisi wanaNzengo tunaweza kuwa na maswali yanayosumbua bongo zetu

  1. Cheo cha Postamsta kina nafasi gani kwenye madaraja ya utumishi wa umma?
  2. Sababu zilizosababisha aondolewe TANESCO zinafanana na zilizopelekea aondolewe TTCL?
  3. Mteuzi yaani Rais, anatuma ujumbe gani kwa umma kwa teuzi hizi kanganyifu? Yaani leo unamteua huyu unamuweka mahala fulani lakini kesho yake unamuondoa hapo kumpeleka kwingine
  4. PostaMasta anafanyakazi chini ya Mkurugenzi wa Posta. Je kwa level aliyofikia Maharage Chande inampa hadhi hiyo ama inamshusha hadhi awe hivyo?
  5. Kama endapo kuna sababu zinazoligharimu Taifa kwa kumuondoa Chande TANESCO, je aendelee kuligharimu Taifa huko aendako au alipata ajali ta kiutendaji?
  6. Je tuendelee kuamini kwamba Rais yupo makini kusimamia utumishi wa umma au anatekeleza matakwa ya waliomzunguka bila kuzingatia manufaa ya Umma?
  7. Je, CCM sasa inatapatapa kulazimisha maji kupanda mlima baada ya kukosa kuungwa mkono na wananchi ambapo kupitia kauli za makada waandamizi kwamba hata ikishindwa uchaguzi haiondoki madarakani?
  8. Kwa utendaji huu wenye mashaka mengi wa marais wa CCM l, je ni mara ngapi CCM imeipindua serikali kwa kuiba matokeo ya chaguzi mbalimbali nchini?
  9. Mkeka wa teuzi wa jana, umeonesha uwepo wa ombwe la utumishi wa umma. Tutarajie nini kwenye utendaji wenye kuleta matokeo?
CC: Pascal Mayalla Erythrocyte Retired Mshana Jr johnthebaptist Kidu52 Money Penny Dr Akeelah masa2000 Kigogo333 raraa reree Extrovert FaizaFoxy ChoiceVariable Lucas mwashambwa
mama is a total failure in all aspects
 
Unaonesha huelewi mipango inayoendelea sasa hivi ya kuifanya posta kuwa taasisi kubwa sana kuliko unavyofikiria.

Posta inakwenda kuwa ni kituo cha huduma zote za jamii zinazotolewa na serikali. Itafanya kazi na itakuwa na mambo yote muhimu, mfano kupata kitambulisho cha taifa, kupata passport, kupata leseni, kupata vyeti vyote vinavyohusu RITA. Mpaka sim card za simu itafikia wakati ni posta tu watakaozitowa, ili kukomesha wizi wa matapeli wanaotumia simu.

Kusambaziwa barua na vifurushi mpaka mlangoni kwako. Kuuziwa chochote kupitia mfumo wa posta na kufikishiwa ulipo, kuanzia vya ndani ya Tanzania mpaka vya nje ya Tanzania. Na mengine mengi sana.

Katazame uzinduzi wa makao makuu ya posta yaliyofanyika Arusha ujionee na kujisikilizia posta inakuwaje.

Hilo ni bonge la promotion, jamaa hapo sasa aoneshe uwezo wake.
Kama kawa
Kama dawa
Viwanda vya kuupaka rangi uongo vinaendeleza legacy
 
mama is a total failure in all aspects
Kuna hawa Watanzania wenzetu wanajifanya kusifia hata uozo unaofanyika badala ya kumshauri kwa haki.

Nchi ni kama inaongozwa kupitia maabara yaani tunafanya majaribio kila sekta
 
POSTA ipo kwenye TRANSFORMATION na bora POSTA kuliko TTCL iliyojifia na yenye MADUDU mengi.

Jamaa kapata sehemu ambayo anaanza nayo from scratch yan strategically wise jamaa anaenda kuipika Posta.

Sasa ni yeye kuamua kuiua au kuiweka vizuri zaidi.

Posta ni ya Kimataifa zaidi.
 
Ulitaka upewe wewe wadhifa wa Maharage?
Sina hata ndoto hiyo.

Nchi inaendeshwa kama tupo maabara tunafantiwa majaribio.

Imefika mahala sasa kila kitu lazima itoke idhini ya Rais. Umeme aidhinishe, maji aidhinishe itafika mahala hata ndoa zitasubiri idhini yake.
 
Back
Top Bottom