Maharage Chande kutoka Ukurugenzi TANESCO hadi Postamasta - amepanda au ameshuka?

Fvc
Fvck "utumishi wa umma"

Anybody helping government with anything got no respect atleast from me!
 
Je Magufuli aliwezaje bila kuleta mgao na wakati huo huo mvua dusko zilikuwa zinaleta ukavu?

Je Magu alitudanganya kuwa wanafungulia maji ili kutengeneza punguzo la maji kwenye mabwawa kwa minajili ya biashara zao?
Kipindi kile mambo mengi " hasi" yalikuwa hayafiki magazetini. Nyakati hazifanani kukiwa na mvua mabwawa ya umeme yanakuwa hayana shida, kama vyanzo vyetu vya umeme vitabaki kutegemea maji ya mvua hatuwezi kusonga mbele, matatizo ya umeme yatazidi kuongezeka kwakuwa, viwanda vipya vinajengwa na matreni ya umeme karibu yataanza kazi.
 
Wewe na Rais nani mkweli? I mean rais Magu
 
Wewe unadhani kwanini Yuda Iskarioti japo Mitume wote walimjua kuwa ni mwizi lakini Yesu hakumtumbua hadi mwisho wa Utumishi wake hapa Duniani?
 
Kuna yule aliyeteuliwa sijui ilikuwa ni nafasi gani hakuingia hata ofisini akahamishwa tena

Sent using Jamii Forums mobile app
Alirudishwa kutoka U.N office New York akateuliwa na kuapishwa siku ja ijumaa kama katibu mkuu wa Foreign na jumatatu kabla ya kuingia ofisini mambo ya nje akatenguliwa na kupewa kazi ya naibu mwanasheria mkuu!!
Ni dhahiri Samia hawajui anaowateua hivyo hupelekewa majina na kuteua bila kuhakiki kuwa. Wamefanyiwa thorough vetting!
Samia anasema amemuhamisha Maharage kutoka TTCL kwenda Posta kuepusha “conflict of interest “ ya Maharage na biashara zake! Je ana uhakika gani kuwa hatakuwa na conflict of interest huko Posta?
Mama Abdul hiyo kazi imemzidi nguvu akubali yaishe tu hao wapambe wanalinda maslahi yao na sio ya nchi!
 
Huyo alitakiwa awe gerezani kwa ufisadi waliofanya Tanesco ila kwasababu ngao yao kikwete maana wanapangiwa tu
Maharage na January wanatakiwa wahojiwe kuhusu mkataba wa software worth billions of shillings waliosaini na kampuni ya kihindi!
Mkataba ule unanuka rushwa ya dhahiri kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…