Maharage wa TANESCO atimuliwa kwenye kikao cha Waziri Mkuu Majaliwa na Naibu Waziri Mkuu Biteko. Apewa siku tatu


Ngoja tumwambie Rais amrudishe Kalemani.

-Kaveli-
 
Hao wasukuma waliojaa Tanesco ndio chanzo cha matatizo.
 
Makamba si alisema ni miundo mbinu chakafu jamani ,maana alikuwa haish visingizio
 
Huyo ni rafiki yake na Makamba ni mjinga mwenzie,uwezo hakuna na ndio maana anaitwa maharage.Sijui huwa wanawatoa wapi watu wa hovyo hovyo kama akina maharage.Nchi kubwa kama hii inatakiwa ipate watu serious sana na sio mazwazwa.
 
Makamba anasemaje?
 
Mambo ya kupeana nafasi,kwa kuangalia technical know who badala ya technical know how, ndiyo matokeo yake.Hii taasisi ni kubwa au pana kwa CEO ambaye hakuandaliwa au kukulia ndani ya taasisi hiyo.Serikali iwe inaandaa Watendaji,ilipaswa ipeleke management trainee kwenye taasisi za nje zinazotoa huduma ya umeme kwa mafanikio kwenda kujifunza kwa mwaka mmoja au miwili,halafu baadae wanarejeshwa ku jifunza kwa Watendaji wakongwe wa ndani , kabla ya kupishwa kuongoza taasisi
 
Kwa nchi hii ilivyo haihitaji mtu kama SAMIA inahitaji kiongozi mwenye maamuzi magumu ili mambo yaende hebu fikiria watu wanapanga mgao wa umeme ili waziri mteule aonekana hafai ila yule kilaza aliyeondoka ndio bora na ndio mchezo uliopo hapo,hii michezo ni ya siku nyingi na inajulikana toka enzi za kikwete.JPM aliimaliza sasa imerudi kwa kasi.Na waendelee kuwafukuza kwenye vikao hivyo hivyo maana huweza kukaa na mtu mpumbavu mezani anayefanya KAZI ya kupanga ujinga tu.
 
Maharage Chande anawaaminisha Kamati ya Bunge kuwa bila mvua lazima mgao unakuja.

Upuuzi huu ni jadi yao. Sisi siyo wajinga
 
Unaongea upuuzi tuu na blaa blaa zisizo na msingi.

Kwa akili Yako unadhani Umeme haupo Kwa sababu ya MD?
Waliokuwepo kabla ya maharage walikuwa na miundombinu hiyo hiyo na ukame huu huu na hatukuambiwa kuna mgao. Of course wameshindwa ku manage. Jibu hii hoja ndo uoneshe hiyo blah
Kwani sababu tunayopewa ya kuwapa DPW bandari si ndo hiyo hiyo ya mismanagement na wizi? Kila shirika linapofeli, kitaalamu md lazima ahusike
 
Ivi aliyeboresha Bima ya afya Kwa wafanyakazi wa tanesco ni kelimali AU January
January kwa za ndani hakuwa na tatizo kabisa, ni kiongozi mzuri, ila shida ni kuwa maharage anawasiliana moja kwa moja na Dkt Samia, na ndiyo maana kawekewa kigingi kikubwa lazima ajikwae, ndiyo maana January alikuwa anaonekana anapwaya dogo mahara moja kwa moja kwa rais akijipendekeza kumbe hajui mkubwa wako ni bosi wako tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…