Baba wa Mapaka
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 1,827
- 1,655
Very bright womanDah nilikua tayari hata kwa mahari ya mbuzi 1 tu, wewe una laki 2 yote hiyo, njoo tuyajenge mkuu pesa hiyo unapata wake 2 mimi na rafiki yangu tupo hapa[emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Very bright womanDah nilikua tayari hata kwa mahari ya mbuzi 1 tu, wewe una laki 2 yote hiyo, njoo tuyajenge mkuu pesa hiyo unapata wake 2 mimi na rafiki yangu tupo hapa[emoji23]
Kwani uliko hakuna wake wa kuoaHio hela iko fixed, nahitaji mwanamke mwenye akili timamu tuanze maisha kabla mwaka haujaisha.
Umri ule ule wa kiserikali, top iwe 30.
Mimi ni mkazi wa jiji la miamba, mvuvi wa samaki aina ya sato na sangala.
Elimu yangu ya kuokoteza, ila najitambua na akili timamu
Mahari ipo tayari narudia tena hata kesho asubuhi natoa na kubeba mke sisubiri harusi
Inbox iko wazi karibu.
Nipe ramani father of cats na mimi nijipatie shombe shombe from singidani..Kwani uliko hakuna wake wa kuoa
Uende Musoma hapo Dodoma au Singida wapo tele nimeepua mmoja juzi kati hapa bei sawa na bure
Yaan we andaa zawadi linanukiaLazima tule pilau mwaka huu sio 😂😂
Dah nilikua tayari hata kwa mahari ya mbuzi 1 tu, wewe una laki 2 yote hiyo, njoo tuyajenge mkuu pesa hiyo unapata wake 2 mimi na rafiki yangu tupo hapa😂
Jf ina pisi kali sana. Niko na mmoja inbox tunajadiliana. Kumbe hata kwa elfu 50 unaoa kabisa aisee.Hadi sasa ushaoa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haaa! Mama anaupiga mwingi watu wamedata.
Kila la heriJf ina pisi kali sana. Niko na mmoja inbox tunajadiliana. Kumbe hata kwa elfu 50 unaoa kabisa aisee.
Kumbe watu "walipindua meza"[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Siku hizi ni cc Shunie bana
Njoo Villa Park hapa nakusubiri nina mkongo vikopo viwili just for youJaman mmefikia wapi
[emoji23][emoji23][emoji23]Njoo Villa Park hapa nakusubiri nina mkongo vikopo viwili just for you
😎😎😎Hebu tulia kule we mtoto
wabheja sana brother.Mkuu swala la harusi mimi nina mchango wako hapa