Mahari sio lazima, ni mila potofu ya kupingwa

Mahari sio lazima, ni mila potofu ya kupingwa

Attachments

  • Screenshot_2023-06-01-13-50-27-42_61ca5e04d26ef994d414498447da106f.jpg
    Screenshot_2023-06-01-13-50-27-42_61ca5e04d26ef994d414498447da106f.jpg
    27.6 KB · Views: 13
Haya yote yanaletwa na hali ngumu ya maisha,huwezi ukawa na hela alafu ukaanza kulialia kutozwa 2M.
2M inasaidia kama sio yote inaishia kwenye shughuli za harusi
 
Muweke mimba, wazazi watakubali mkae mezani. Unalipaje mahari ya 4m kwa maisha yapi hasa?
Mkuu sio kwamba mimba inaweza ikaleta shida zaidi mfano kutoa faini na mahari kulipa ikabaki pale pale nipe uzoefu mkuu
 
Mahari ni uhuni wa kumdunisha Mwanamke
Kitu ajabu wanaopinga mahari kuwa zinadhalilisha wanawake ni wanaume ukiwemo wewe

Wanawake wenyewe wako kimya
Inashangaza kuona wanaume ndio wanakuwa vinara kama wasemaji wa wanawake

Ee Mungu tunusuru watoto wa kiume wengi kugeuka mashoga na kutwa kuongelea mambo ya wanawakr likiwemo hili la mahari badala ya kuwaachia wanawake wenyewe ndio waseme mahari wanaionaje

Kwa mtoto.wa kuume kuongelea kuwa mahari inadhalilisha wanawake wakati wanawake wenyewe wako kimya na hawaoni shida kuna tatizo kwa watoto wa kiume wasema hayo

Inabidi kuwaangalia kwa jicho la pili kama bado ni watoto wa kiume au wamegeukq kuwa mashoga
Waachiwe wanawake wenyewe wayaongelee kuwa wao binafsi wanaonaje swala la kulipiwa mahari
 
Muweke mimba, wazazi watakubali mkae mezani. Unalipaje mahari ya 4m kwa maisha yapi hasa?
Ukizalisha mahari inaongezeka unapigwa faini kwa kupiga mimba mtoto.wa mtu bila kuoa
 
Nikiamua kutolipa nitapelekwa mahakamani?
Umwambie hayo maneno huyo uliyemtia mimba kuwa silipi mahari usikie atakachokujibu

Usiulize humu Jamii Forums wala hata usihangaike kuuliza wazazi wake muulize yeye kwanza kuwa msimamo wako hutaki kulipa mahari
 
Umwambie hayo maneno huyo uliyemtia mimba kuwa silipi mahari usikie atakachokujibu

Usiulize humu Jamii Forums wala hata usihangaike kuuliza wazazi wake muulize yeye kwanza kuwa msimamo wako hutaki kulipa mahari
Msimamo wangu sio kutolipa mahari, msimamo wangu ni kukataa kulipishwa mahari kubwa kuliko uwezo wangu wakati nampenda binti yao.
 
Nyerere alikuwa anapinga utamaduni wa mahari, akisema ni utamaduni mbaya unaoshusha utu wa mwanamke.

Ukisoma biographies za Nyerere za kina Shivji wameandika kirefu.
Nyerere alikuwa Mwanaume kama mahari mbaya aachie wanawake ndio waseme

Mwanaume kumsemea Mwanamke kuwa ohh mahari zinadhalilisha wanawake si waseme wenyewe.Wao ndio waseme kama zinawadhalilisha.
Shida iko wapi si waachiwe wenyewe waseme Sababu mwanamke una kuta msomi ana PhD akiolewa analipiwa mahari.Wanaolipiwa mahari.wako hadi.maprofesa,wabunge,mawaziri,wakuu wa taasisi wanawake kibao
Hilo.swala la mahari kama inadhalilisha wanawake wanaume wakae mbali awe Nyerere au mwanaume yeyote wawaachie wanawake wenyewe wabaolipiwa mahari walitolee tamko
 
Msimamo wangu sio kutolipa mahari, msimamo wangu ni kukataa kulipishwa mahari kubwa kuliko uwezo wangu wakati nampenda binti yao.
Oa mwanamke saizi yako kuanzia kipato acha kuparamia watoto.wa kike wanaotoka kwenye familia zenye uwezo wakati kwenu maskini wa kutupwa

Kaoe maskini wenzio huko ambako ukilipa mahari elfu hamsini kijiji kizima kinalipuka kwa furaha kuwa kalipa hela nyingi elfu 50

Oa saizi yako kupunguza complications zisizo na lazima kama hizo za ohh wananipangia mahari kubwa wakati mimi maskini Kaoe maskini wenzio

Acha kujipitisha pitisha na kuvizia watoto wa kike watoka familia zenye uwezo
 
Kitu ajabu wanaopinga mahari kuwa zinadhalilisha wanawake ni wanaume ukiwemo wewe

Wanawake wenyewe wako kimya
Inashangaza kuona eanaume ndio wanakuwa vinara kama wasemaji wa wanawake

Ee Mungu tunusuru watoto wa kiume wengi kugeuka mashoga na kutwa kuongelea mambo ya wanawakr likiwemo hili la mahari badala ya kuwaachia wanawake wenyewe ndio waseme mahari wanaionaje

Kwa mtoto.wa kuume kuongelea kuwa mahari inadhalilisha wanawake wakati wanawake wenyewe wako kimya na hawaoni shida kuna tatizo kwa watoto wa kiume wasema hayo

Inabidi kuwaangalia kwa jicho la pili kama bado ni watoto wa kiume au wamegeukq kuwa mashoga
Waachiwe wanawake wenyewe wayaongelee kuwa wai binafsi wanaonaje swala la kulipiwa mahari

Ni Kwa sababu ni mpumbavu ndio maana umeshindwa kujua kinachoelezewa. Kama ulizaliwa na Shoga usidhani kila mwanaume ni shoga.
 
Haya yote yanaletwa na hali ngumu ya maisha,huwezi ukawa na hela alafu ukaanza kulialia kutozwa 2M.
2M inasaidia kama sio yote inaishia kwenye shughuli za harusi

Unafikiri kila Mwanamke ameolewa na hiyo 2m au 1M
Hoja ni kuwa Kwa nini utoe/utolewe Mahari?

Mahari ni biashara ya Watumwa, kununua Wanawake.

Nyerere na watu wote wenye Upeo mkubwa wanajua Mahari ni biashara ya Utumwa ambayo ni ovu.
 
Wanawake ndio waseme kuwa mahari ni biashara ya utumwa na inadhalilisha wanawake or not

Wanaume wakae mbali awe Nyerere au mleta mada au mwanaume yeyote wakae mbali wasubiri kauli za wanawake wenyewe wabaoolewa kwa kulipiwa mahari watoe tamko Maria Nyerere akiwa mmoja wa wanawake waliolipiwa mahari atoe tamko

Ni Kwa sababu wewe ni mpumbavu na umeathiriwa na asili ya ushoga Kutokana na chimbuko lako ndio maana hujui biashara inahusu mnunuzi na muuzaji. Hujui mwanaume anahusika vipi katika biashara ya Mahari

Zaidi Kwa vile unaakili za kishoga hujui kuna jamii Wanawake ndio wanatoa Mahari.
Na Kwa vile huna ufahamu hujui hata mada inazungumzia nini. Suala hapo ni Mahari. Iwe anapewa Mwanamke au Mwanaume. Ni biashara Ovu.

Haya kasalimie mashoga wenzako
 
Back
Top Bottom