Mahari sio lazima, ni mila potofu ya kupingwa

Mahari sio lazima, ni mila potofu ya kupingwa

Kwa nini unaona mahari ni jambo la wanawake tu?
Wao ndio wanajua kama mahari ni wao wanauzwa au la kama wanaume humunwNa dai mahari ni kugeuza mwanamke bidhaa na slave trade

Let women speak their position jwa hii ya vidume koko maskini ambavyo havitaki kulipa mahari kwa visingizio kibao kuwa ohh maharizimepitwa na wakati ohh ni slave trade ohh ni kama mwanamke anageuzwa kuw bidhaa sokoni kwa bride price nk kumbe vidume vyenyewe vilofa hela havina they free drive

Kutaka free drive ndio vinakuja na concepts za ku justify ulofa wao kibao
 
Haya yote yanaletwa na hali ngumu ya maisha,huwezi ukawa na hela alafu ukaanza kulialia kutozwa 2M.
2M inasaidia kama sio yote inaishia kwenye shughuli za harusi
2M mbona ni shopping ya weekend tu?

A couple of Tom Fords, a couple of dinners, some food shopping, something for the grill to BBQ, some drinks, a new tablet here, full tank of gas (petrol) for the SUV there, 2M inamalizika within a weekend na shopping haijaisha!

2M is not even a thousand dollars. A thousand US dollars is more than 2M.

Sasa mbona wengine tunaishi maisha hayo na bado tunapinga mahari kifalsafa tu?

Kuna watu wanapinga mahari kwa sababu za kifalsafa.

Unaelewa hilo? Falsafa, usomi, usawa wa watu? Kukataa mtu kuuzwa kama kwenye biashara ya utumwa?

Unaelewa kwamba kuna watu wanapinga mahari halafu hiyo hela ya mahari inatumika weekend moja tu kwenye manunuzi, tena mengine ya anasa tu?

Kwa nini jamii masikini zinaona kila tatizo ni la kiuchumi? Hazielewi kabisa ukisema unapinga mahari kwa sababu za kifalsafa, si za kiuchumi kwamba huna pesa.

Ni umasikini wetu umetufanya tuangalie kila tatizo kama tatizo la pesa? Wakati mengine ni matatizo ya itikadi za kifalsafa?

Ni kwa sababu watu masikini hawasomi na wana anxiety kuhusu pesa, hivyo wanaangalia kila kitu kwa kutumia pesa, pesa, pesa tu?
 
2M mbona ni shopping ya weekend tu?

A couple of Tom Fords, a couple of dinners, some food shopping, something for the grill to BBQ, some drinks, a new tablet here, full tank of gas (petrol) for the SUV there, 2M inamalizika within a weekend na shopping haijaisha!

2M is not even a thousand dollars. A thousand US dollars is more than 2M.

Sasa mbona wengine tunaishi maisha hayo na bado tunapinga mahari kifalsafa tu?

Kuna watu wanapinga mahari kwa sababu za kifalsafa.

Unaelewa hilo? Falsafa, usomi, usawa wa watu? Kukataa mtu kuuzwa kama kwenye biashara ya utumwa?

Unaelewa kwamba kuna watu wanapinga mahari halafu hiyo hela ya mahari inatumika weekend moja tu kwenye manunuzi, tena mengine ya anasa tu?

Kwa nini jamii masikini zinaona kila tatizo ni la kiuchumi? Hazielewi kabisa ukisema unapinga mahari kwa sababu za kifalsafa, si za kiuchumi kwamba huna pesa.

Ni umasikini wetu umetufanya tuangalie kila tatizo kama tatizo la pesa? Wakati mengine ni matatizo ya itikadi za kifalsafa?

Ni kwa sababu watu masikini hawasomi na wana anxiety kuhusu pesa, hivyo wanaangalia kila kitu kwa kutumia pesa, pesa, pesa tu?
Achana na hizo sababu,huwezi kuwa na hela alafu ukawa eti nimemnunua mwanamke kwa 2M shida ni hela
 
MAHARI SIO LAZIMA, NI MILA POTOFU YA KUPIGWA VITA.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Moja ya Mila potofu isiyo na maana ni suala la Mahari. Hakuna sababu hata Moja yenye Maana ya MTU kutoa Mahari ndipo akabidhiwe MKE au Mume. Ni ujinga tuu! Na jamii ambayo sio za kiungwana ndio hufanya desturi hizo.

Uliwahi kujiuliza Kwa nini unatoa/unatolewa Mahari?
Mahari inamaanisha nini kwenye mahusiano ya ndoa?
Mahari inaongeza au kupunguza nini kwenye mahusiano ya ndoa Mpya?

Utoaji wa Mahari ni Mila na desturi za kizamani zilizopitwa na Wakati. Zimepitwa na Wakati Kwa sababu hazina uhalisia wowote. Na zimelenga kufanya biashara ya kumuuza MTU(Mwanamke) kama Bidhaa Fulani hivi.

Ni marufuku mabinti wa Tibeli kutolewa Mahari. Marufuku! Mimi kama Baba Yao, nimetamka kuwa Binti zangu hawatatolewa Mahari Kamwe. Kwa sababu Watibeli hawatolewi Mahari wala hawatoi Mahari.

Mfumo dume wa kununua Wanawake Kwa kile kiitwacho Mahari umelenga kuwageuza Wanawake kama Bidhaa fulani, kwamba Mahari ya Binti huyu ni milioni 2 au tatu au Ng'ombe nne. Ndio nini sasa, upumbavu tuu!
Unajua haya mambo wamefanya Wazee wetu(tunawaheshimu) lakini lazima tukubali kuwa kuna mambo hayakuwa na maana yoyote Ile.

Matokeo yake wazazi walafi na wenye uroho WA fedha waliwauza mabinti zao Kwa wanaume wenye vipato bila kujali hisia za mabinti zao kama wanawapenda hao wanaume au Laah!

Watumwa ndio wanauzwa, Watu huru hawauzwi. Binti za Tibeli ni Watu Huru. Hawauzwi wala kujiuza. Binti aliyehuru au wazazi wenye Hekima kamwe hawawezi mgeuza Binti Yao mtumwa na kumuuza Kwa mwanaume mwingine Kwa Ile biashara yenye jina la Mahari. Hilo halitotokea.
Binti huru anahaki zote za kuchagua Mume ampendaye, akaolewa na kuanzisha mji wake Kwa Moyo WA mapenzi. Na sio Aolewe Kwa Pesa ili baadaye Huko ndoani kitu kidogo tuu nilikutolea Mahari. Kitu kidogo tuu haukunitolea Mahari. Come on!

Ni jamii ya Watu wajinga wenye Akili za gizani wanaolipishana Mahari. Ujingaujinga tuu!
Yaani wazee wazima mnakaa mnajadili na ku-bargain kiasi cha Pesa za Binti yenu. Huo ni ujinga wa kiwango cha juu Kabisa. Alafu mwishowe ati mmoja anakuwa na deni kisa ameshindwa kumaliza.


Sijui mwingine anatolewa Mahari ya laki mbili, mwingine elfu 80, mwingine milioni tano mwingine milioni kumi. Yaani kama Watu waliochanganyikiwa. Hivi kweli Baba mwenye Akili kabisa unayempenda Binti yako unakubali kabisa kujadili thamani ya Binti yako na Pesa. Wanaume tuweni serious kidogo. Tuache mambo ya kijingajinga.

Binti amepata Mchumba, anayoruhusa ya kuja nyumbani kumtambulisha, kisha taratibu za sherehe za kumuaga Binti zianze huku upande wa pili wa Bwana harusi wakiandaa sherehe ya kumpokea Bibi Harusi. Sio lazima iwe sherehe kubwa Ila ni muhimu kufanyika kulingana na kipato chenu.

Kwa Vijana WA Zama hizi mambo yasiyo na maana yoyote yatazidisha mitafaruku isiyo na maana. Ndio maana Wazungu wao walishaachanaga na mambo ya Mahari miaka mingi iliyopita.

Mwanaume unapoenda kuoa sehemu au kwenda ukweni ni lazima uwe na Zawadi kadiri ya uwezo wako. Sio unaenda mikono mitupu kama mjinga. Halikadhalika na Mwanamke uendapo ukweni lazima uende na Zawadi. Hiyo Zawadi haitahesabika kama Mahari. Kumaanisha Hautapangiwa na yeyote Ila utaifanya Kwa mapenzi na uwezo wako WA Wakati huo.
Hivyo ndivyo Watibeli tunavyoendesha mambo yetu.

Nimemaliza! Mwenye swali aweza kuuliza.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Umeiongelea mahari, sifahamu kwa imani, mila, desturi au utamaduni upi.

Nikaona tukupe darsa dogo la kuifahamu mahari Kiislaam:

Kwanza kabisa ningependa tufahamu kuwa tunaposikia neno "mahari" kwa mila, desturi au imani nyingine yoyote nje ya Uislam wanakuwa wameliazima neno hilo kutoka Kiarabu linalotokana na sharia ya ndoa ya Kiislaam.

Mkataba wa ndoa ya Kiislamu
-Maher (iliyotafsiriwa kama mahari) ni mkataba ambao Waislam huingia kabla ya kufunga ndoa. Hairejelei kwenye mkataba wa ndoa yenyewe, bali mahari ni mkataba ambao mume atalipa kwa mkewe katika tukio la talaka au kifo ikiwa haijatimizwa wakati wa mkataba wa ndoa.

Katika sharia za Kiislam, Mahari ni zawadi au mchango unaotolewa na mume mtarajiwa kwa mke wake mtarajiwa, kwa mali waliyokubaliana, kama ishara ya heshima kwa bi-harusi, na pia inakuwa ni utambuzi wa uhuru wake kutoka kwa wazazi au walezi wake.

Mahari si zawadi kwa njia ya kitamaduni, lakini kwa hakika ni lazima na mke mtarajiwa huipokea kama haki yake.

Mahari inaweza kuwa pesa taslim, au aina yoyote ya mali iliyotolewa kabla ya ndoa au kugawanywa katika malipo ya mapema na yaliyoahirishwa (kopwa). Kiasi na muda wa malipo utategemea mambo ya kimila (kumbuka, mila na desturi za Waislam ni zile zisizokiuka Uislam) chini ya sharia ya Kiislam.

Ikitokea malipo ya mahari yameahirishwa (cheleweshwa au kopwa), sehemu iliyoahirishwa ina athari ya kumtunza mke baada ya talaka au baada ya kifo cha mumewe. Ingawa mke anaweza kusamehe malipo ya Mahari, anastahiki hilo kama suala la kanuni za dini ya Kiislam.

Kila Mahari itafsiriwa kwa masharti yake na kwa kuzingatia nia ya wahusika wakati mkataba ulipofanywa.

Ingawa sharia sheria ya nchi ni lazima iwe kwa maandishi yaliyotiwa saini na pande zote mbili na kushuhudiwa.

Makubaliano ya Mahari Kiislaam yanatambuliwa kuwa ni halali kisheria nchini Tanzania na nchi nyingi Ulimwenguni.

Ndoa ya Kiislam haitimii bila makubaliano ya mahari kwa pande mbili.

Nimejitahidi kuielezea Mahari Kiislaam kwa uchache wake, kama kuna makosa yoyote katika hayo basi ni yangu binafsi. Allah ndiye mjuzi zaidi.
 
MAHARI SIO LAZIMA, NI MILA POTOFU YA KUPIGWA VITA.

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Moja ya Mila potofu isiyo na maana ni suala la Mahari. Hakuna sababu hata Moja yenye Maana ya MTU kutoa Mahari ndipo akabidhiwe MKE au Mume. Ni ujinga tuu! Na jamii ambayo sio za kiungwana ndio hufanya desturi hizo.

Uliwahi kujiuliza Kwa nini unatoa/unatolewa Mahari?
Mahari inamaanisha nini kwenye mahusiano ya ndoa?
Mahari inaongeza au kupunguza nini kwenye mahusiano ya ndoa Mpya?

Utoaji wa Mahari ni Mila na desturi za kizamani zilizopitwa na Wakati. Zimepitwa na Wakati Kwa sababu hazina uhalisia wowote. Na zimelenga kufanya biashara ya kumuuza MTU(Mwanamke) kama Bidhaa Fulani hivi.

Ni marufuku mabinti wa Tibeli kutolewa Mahari. Marufuku! Mimi kama Baba Yao, nimetamka kuwa Binti zangu hawatatolewa Mahari Kamwe. Kwa sababu Watibeli hawatolewi Mahari wala hawatoi Mahari.

Mfumo dume wa kununua Wanawake Kwa kile kiitwacho Mahari umelenga kuwageuza Wanawake kama Bidhaa fulani, kwamba Mahari ya Binti huyu ni milioni 2 au tatu au Ng'ombe nne. Ndio nini sasa, upumbavu tuu!
Unajua haya mambo wamefanya Wazee wetu(tunawaheshimu) lakini lazima tukubali kuwa kuna mambo hayakuwa na maana yoyote Ile.

Matokeo yake wazazi walafi na wenye uroho WA fedha waliwauza mabinti zao Kwa wanaume wenye vipato bila kujali hisia za mabinti zao kama wanawapenda hao wanaume au Laah!

Watumwa ndio wanauzwa, Watu huru hawauzwi. Binti za Tibeli ni Watu Huru. Hawauzwi wala kujiuza. Binti aliyehuru au wazazi wenye Hekima kamwe hawawezi mgeuza Binti Yao mtumwa na kumuuza Kwa mwanaume mwingine Kwa Ile biashara yenye jina la Mahari. Hilo halitotokea.
Binti huru anahaki zote za kuchagua Mume ampendaye, akaolewa na kuanzisha mji wake Kwa Moyo WA mapenzi. Na sio Aolewe Kwa Pesa ili baadaye Huko ndoani kitu kidogo tuu nilikutolea Mahari. Kitu kidogo tuu haukunitolea Mahari. Come on!

Ni jamii ya Watu wajinga wenye Akili za gizani wanaolipishana Mahari. Ujingaujinga tuu!
Yaani wazee wazima mnakaa mnajadili na ku-bargain kiasi cha Pesa za Binti yenu. Huo ni ujinga wa kiwango cha juu Kabisa. Alafu mwishowe ati mmoja anakuwa na deni kisa ameshindwa kumaliza.


Sijui mwingine anatolewa Mahari ya laki mbili, mwingine elfu 80, mwingine milioni tano mwingine milioni kumi. Yaani kama Watu waliochanganyikiwa. Hivi kweli Baba mwenye Akili kabisa unayempenda Binti yako unakubali kabisa kujadili thamani ya Binti yako na Pesa. Wanaume tuweni serious kidogo. Tuache mambo ya kijingajinga.

Binti amepata Mchumba, anayoruhusa ya kuja nyumbani kumtambulisha, kisha taratibu za sherehe za kumuaga Binti zianze huku upande wa pili wa Bwana harusi wakiandaa sherehe ya kumpokea Bibi Harusi. Sio lazima iwe sherehe kubwa Ila ni muhimu kufanyika kulingana na kipato chenu.

Kwa Vijana WA Zama hizi mambo yasiyo na maana yoyote yatazidisha mitafaruku isiyo na maana. Ndio maana Wazungu wao walishaachanaga na mambo ya Mahari miaka mingi iliyopita.

Mwanaume unapoenda kuoa sehemu au kwenda ukweni ni lazima uwe na Zawadi kadiri ya uwezo wako. Sio unaenda mikono mitupu kama mjinga. Halikadhalika na Mwanamke uendapo ukweni lazima uende na Zawadi. Hiyo Zawadi haitahesabika kama Mahari. Kumaanisha Hautapangiwa na yeyote Ila utaifanya Kwa mapenzi na uwezo wako WA Wakati huo.
Hivyo ndivyo Watibeli tunavyoendesha mambo yetu.

Nimemaliza! Mwenye swali aweza kuuliza.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Sumu zako dhidi ya Watanzania zishamaliza watu wako.

Nishasema na nitaendelea kusema kuwa wewe ni Mkimbari. Kuwa,wewe ni mkereketwa wa mfumo dume, mfumo wa kibeberu na wa kikaburu.

Robert Heriel embraces a Mysoginist, Racist and bigoted Ideas.


Naona genge lenu limeamka tena kumwaga sumu zenu tena Tanzania. Mlaaniwe
 
Achana na hizo sababu,huwezi kuwa na hela alafu ukawa eti nimemnunua mwanamke kwa 2M shida ni hela
Katika dunia yako.

Katika dunia yangu, naenda dinner moja weekend ya watu wawili ya 500,000.

Kabla sijafanya shopping 2M nishamaliza robo.

Najua unaona hatari kwa sababu unaendekeza umasikini.

Mimi na Nyerere tumepinga mahari kwa falsafa kubwa. Nyerere hakuwa masik8ni, lak8ni alipinga mahari.

Wewe huwezi kuona zaidi ya 2M katika hili.

Kwa sababu ndiyo mwisho wa uwezo wako.
 
Haya yote yanaletwa na hali ngumu ya maisha,huwezi ukawa na hela alafu ukaanza kulialia kutozwa 2M.
2M inasaidia kama sio yote inaishia kwenye shughuli za harusi
Harusi kwa Waafrika huwa ni mzigo wa mwanaume.
 
Sumu zako dhidi ya Watanzania zishamaliza watu wako.

Nishasema na nitaendelea kusema kuwa wewe ni Mkimbari. Kuwa,wewe ni mkereketwa wa mfumo dume, mfumo wa kibeberu na wa kikaburu.

Robert Heriel embraces a Mysoginist, Racist and bigoted Ideas.


Naona genge lenu limeamka tena kumwaga sumu zenu tena Tanzania. Mlaaniwe

Ninyi mnaoona binti zenu ni Watumwa endeleeni kuwauza kama Ng'ombe.
Narudia hakuna Baba mwenye Akili timamu ambaye amepata Nuru na kuutambua ukweli atakayethubutu kukubali Mahari(kumuuza Binti yake).

Kweli unaweza kuishi miaka mingi na bado ukawa kama Umezaliwa Jana. Na unaweza kusoma Sana lakini ukawa mjinga
 
Achana na hizo sababu,huwezi kuwa na hela alafu ukawa eti nimemnunua mwanamke kwa 2M shida ni hela

Haujamuelewa Kiranga Mkuu.

Anachojaribu kukueleza ni kuwa Pesa sio tatizo, Ila lengo la hiyo Pesa ndio utata ulipo.
Kwa nini ukienda kuoa utoe Mahari, na usipotoa Mahari unaonekana hujaoa? Hiyo ndio Hoja. Je Mahari ndio bei ya kumpata Mwanamke ili awe Mkeo(logically Ipo hivyo).

Zingati Mahari pia hata wanaume wanatolewa baadhi ya jamii. Lakini haina maana yoyote Ile.
 
Kuna kauli maarufu inasema ukienda Roma ishi kama Waroma.

Huwezi kushindana na mila na desturi zako na ukazishinda.

Unachopaswa kusimamia msimamo wako kwenye familia yako kwamba hutaki hadithi za mahari lakini huna uwezo wa kuibadiri jamii kwa kitu ambacho ni cha kimila.

Kila kabila Luna wazee wa kimila hata uwe na degree ngapi wale ndio waamuzi wa kimila huna ujanja labda uwe kizazi cha Le Mutuz mtoto wa kumzaa anakwambia sack my dini, wale ndio hawajui wala hawajali lolote kuhusu mila.

Ni Kweli Kabisa. Nilichoandika ni maoni na mtazamo wangu wa kifalsafa ambao Watu wa Aina yangu na wanaopenda Kutumia Logic wataungana na Mimi.
Na wale conservative watapingana na Mimi. Huu NI mjadala.
Watu wajadili Kwa Hoja.

Mahari haitakuwepo Karne chache zijazo na hii ni Kutokana na kuwa kundi la Watu wenye fikra za Giza linazidi kutoweka.
 
Mahara yana wenyewe wewe nenda uwanja wa fisi kajitwalie mke wa bule

Biashara ni biashara.
Mmoja ananunuliwa uwanja wa fisi Kwa kujiuza mwenyewe rejareja. Mwingine anauzwa na Wazazi na ukoo wake Kwa bei ya jumla. Tofauti iko wapi?
 
Usiache mbachao ......
Hata baba ako alitoa , toa tu

Sio kila alichofanya Baba yako kilikuwa sahihi. Na sio kila utakachofanya wewe ni Sahihi hivyo Watoto wako wafanye.
Vingine ni Kutokana na Akili za Wakati huo zilikuwa za kitumwa.

MTU Huru hanunuliwi. MTU Huru hatolewi MAHARI.

Siku ukiujua ukweli utakuwa Huru kwelikweli.
 
Mkuu kule India wanaume ndio wanalipiwa mahari vip hapo wanaume pia tunafanywa bidhaa?

Ndio maana nikamuambia mpuuzi mmoja hapo mwenye athari Mbaya za ushoga wa kiasili kuwa Mahari haimhusu Mwanamke pekee Bali inahusu mnunuaji na muuzaji. Mwanamke na Mwanaume. Ni biashara.

Lakini Akili zake za kishoga akabaki kuleta upumbavu wake aliofundishwa Huko kwao
 
Acha makasiriko lipa mahari mkuu
 
Umeiongelea mahari, sifahamu kwa imani, mila, desturi au utamaduni upi.

Nikaona tukupe darsa dogo la kuifahamu mahari Kiislaam:

Kwanza kabisa ningependa tufahamu kuwa tunaposikia neno "mahari" kwa mila, desturi au imani nyingine yoyote nje ya Uislam wanakuwa wameliazima neno hilo kutoka Kiarabu linalotokana na sharia ya ndoa ya Kiislaam.

Mkataba wa ndoa ya Kiislamu
-Maher (iliyotafsiriwa kama mahari) ni mkataba ambao Waislam huingia kabla ya kufunga ndoa. Hairejelei kwenye mkataba wa ndoa yenyewe, bali mahari ni mkataba ambao mume atalipa kwa mkewe katika tukio la talaka au kifo ikiwa haijatimizwa wakati wa mkataba wa ndoa.

Katika sharia za Kiislam, Mahari ni zawadi au mchango unaotolewa na mume mtarajiwa kwa mke wake mtarajiwa, kwa mali waliyokubaliana, kama ishara ya heshima kwa bi-harusi, na pia inakuwa ni utambuzi wa uhuru wake kutoka kwa wazazi au walezi wake.

Mahari si zawadi kwa njia ya kitamaduni, lakini kwa hakika ni lazima na mke mtarajiwa huipokea kama haki yake.

Mahari inaweza kuwa pesa taslim, au aina yoyote ya mali iliyotolewa kabla ya ndoa au kugawanywa katika malipo ya mapema na yaliyoahirishwa (kopwa). Kiasi na muda wa malipo utategemea mambo ya kimila (kumbuka, mila na desturi za Waislam ni zile zisizokiuka Uislam) chini ya sharia ya Kiislam.

Ikitokea malipo ya mahari yameahirishwa (cheleweshwa au kopwa), sehemu iliyoahirishwa ina athari ya kumtunza mke baada ya talaka au baada ya kifo cha mumewe. Ingawa mke anaweza kusamehe malipo ya Mahari, anastahiki hilo kama suala la kanuni za dini ya Kiislam.

Kila Mahari itafsiriwa kwa masharti yake na kwa kuzingatia nia ya wahusika wakati mkataba ulipofanywa.

Ingawa sharia sheria ya nchi ni lazima iwe kwa maandishi yaliyotiwa saini na pande zote mbili na kushuhudiwa.

Makubaliano ya Mahari Kiislaam yanatambuliwa kuwa ni halali kisheria nchini Tanzania na nchi nyingi Ulimwenguni.

Ndoa ya Kiislam haitimii bila makubaliano ya mahari kwa pande mbili.

Nimejitahidi kuielezea Mahari Kiislaam kwa uchache wake, kama kuna makosa yoyote katika hayo basi ni yangu binafsi. Allah ndiye mjuzi zaidi.

Yes Umeeleza vizuri Kwa Hoja za kiimani, hasa dini ya uislam. Hata Biblia inaeleza kuhusu Mahari lakini haielezi kama Sheria au amri ya Mungu Bali inaeleza kama Mapokeo (Mila na desturi za mababu) ambazo hazipo kwenye amri na sheria za Mungu, Torati ya Musa.

Kwenye misahafu iwe ni Biblia au Quran zipo sheria za Mungu ambazo Mungu mwenyewe amezitanabaisha na nyingi zilishushwa kwenye Torati ya Musa. Na yapo Mapokeo ambayo ni maelekezo ya mitume, manabii na Wazee waliotangulia. Hayo Mapokeo sio lazima kuyafuata ni Mtazamo na Maoni Yao kulingana na nyakati zile jinsi Maisha Yao yalivyokuwa.

Sheria za Mungu hazibadiliki Kwa sababu zimefungamanishwa na Nature. Lakini Mapokeo ya wanadamu yanabadilka.

Marko 7
7 Kuniabudu kwao ni bure. Wanafundisha watu amri zao badala ya sheria yangu.’ 8 Ninyi mmeziacha amri za Mungu na kushikilia desturi za watu.”9 Akawaambia, “Mnaepuka kwa ujanja amri za Mungu ili mpate kutimiza desturi zenu!

Mathayo 15:
7Enyi wanafiki! Isaya alitabiri sawa kabisa juu yenu:
8‘Mungu asema: Watu hawa huniheshimu kwa maneno tu,
lakini mioyoni mwao wako mbali nami.
9Kuniabudu kwao hakufai,
maana mambo wanayofundisha ni maagizo ya kibinadamu tu.’”
 
Back
Top Bottom