Mahari sio lazima, ni mila potofu ya kupingwa


Tupo kwenye Giza Nene Mno.
Ukitumia logic utaambiwa unadharau Mila hata kama unachoongea linaingia akilini
 
Mwanaume ni JASIRI.

BORN A HERO!

NI MUWINDAJI!

Hupaswi kuwa mtu mwororo!

You get to be tough and pay dowry!

Men are Naturally Donners.

Women are Naturally recipients!

That is Naturally and it is Nature!!

Mwanaume asiyelipa Mahari ni Dhaifu !!
 
Mwanaume ni JASIRI.

BORN A HERO!

NI MUWINDAJI!

Hupaswi kuwa mtu mwororo!

You get to be tough and pay dowry!

Men are Naturally Donners.

Women are Naturally recipients!

That is Naturally and it is Nature!!

Mwanaume asiyelipa Mahari ni Dhaifu !!
Wewe kwanza jifunze spelling za hiyo lugha ujue tofauti ya donors na donners kabla ya kujifaragua kuwapa watu ushauri kwenye mambo ya kifalsafa ambayo yameukzidi kimo ungumbaru wako.

Hujajua spelling unataka kujifaragua kutoa ushauri kwenye mambo tete ya kifalsafa?
 
Tatizo Waafrika wengi wanapenda kuishi kwa kukariri, ukiwaletea kitu kipya kinachoonesha mapungufu fulani katika jamii, kama kuonesha ubaya kama wa hii habari ya mahari, wengi watakupinga kwa kutumia logical fallacies za argument from tradition na argument from authority.

Ukiondoa hizo logical fallacies mbili, ambazo nazo ni fallacies tu, huna msingi wa kutetea mahari.
 
Katika Mila za Uislamu, mahari ni zawadi apewayo binti kama katika kutathmini na kuutambua mchango wake mkuu kwenye kujenga familia hapo baadae.
Mara nyingi binti anapokaribia kuolewa, basi hufundishwa mbinu mbalimbali za kujenga familia yenye kuleta tija kwenye jamii.

Mwanamke hatolewi mahari kufanywa mtumwa, wala hio mahari haihusiki kabisa na mzazi. Mahari ni yake binti kama ishara ya upendo kwake. Wajibu wa wazazi ni kuhakikisha tu ya kwamba binti yao anapatiwa mahari inayostahiki kwani bado hana uzoefu wa mambo ya ndoa na taratibu zake.

Wewe kama ulioa bila mahari ni sawa, hakuna ubaya katika hilo ila si utumwa na wala katu mwanamke hafanywi kuwa ni biashara kwani huo ni ujima na wala suala la mahari halikuwekwa katika mukusudio hayo.
Haki ya Talaka imetolewa kwa pande zote mbili pale zinapoona hakuna mstakabali wa pamoja ama unyanyasaji wa utu na hadhi yake.
Kadhia hii kiunaonyesha wazi kabisa kuwa mahari si zana ya kudunisha mwanamke kama unavyotaka kutuaminisha.
 
Mwanaume ni JASIRI.

BORN A HERO!

NI MUWINDAJI!

Hupaswi kuwa mtu mwororo!

You get to be tough and pay dowry!

Men are Naturally Donners.

Women are Naturally recipients!

That is Naturally and it is Nature!!

Mwanaume asiyelipa Mahari ni Dhaifu !!

Adam hakulipa Mahari
Nuhu hakulipa Mahari
Ibrahim hakulipa MAHARI
Hao ni wanaume ambao nafikiri majina yao ni makubwa kuliko wanaume wengi Duniani.

Lakini hata kama wangelipa Mahari bado isingemaanisha kuwa Mahari sio biashara ya Utumwa ya binadamu
 
Icho ni kitu gani!?

Spelling?

Suala siyo Spelling ni Hoja!!

Lipa mahari!!
 
Icho ni kitu gani!?

Spelling?

Suala siyo Spelling ni Hoja!!

Lipa mahari!!
Nakwambia hivi, hujui spelling na hoja una vile vile.

Ukiondoa logical fallacy ya argument from tradition na nyingine ya argument from authority, na kujimwambafy kimfumodume tu kwamba mwanamme jasiri kama unaishi kwenye zama za ujima na za hunter gatherers, huna hoja.
 
Icho ni kitu gani!?

Spelling?

Suala siyo Spelling ni Hoja!!

Lipa mahari!!

Kwa nini unafikiri Mahari sio Biashara ya binadamu?
Embu wasikie hawa mabinti wa Labani(Wake wa Yakobo)

Mwanzo 31:14-15
[14]Raheli na Lea wakajibu, wakamwambia, Je! Imetubakia sehemu au urithi katika nyumba ya baba yetu?
And Rachel and Leah answered and said unto him, Is there yet any portion or inheritance for us in our father's house?

[15]Hakutufanya kama wageni, maana ametuuza, naye amekula fedha zetu kabisa?
Are we not counted of him strangers? for he hath sold us, and hath quite devoured also our money.
 
Kijana nina imani thabiti unaijua na kuielewa elimu ya Mantiki vizuri.

Sitashangaa pia wakija kuuliza kwa nini watu wasikutane kisha wakazalishana halafu kila mmoja akashika njia yake ya kwenda. Maana ni kupotezeana muda na unyanyasaji kwa mwanamke kwani anakosa ile nafasi ya kujiachia na faragha yake binafsi.
 
Mjinga wa kiwango cha lami, unatumia nguvu nyiingi kuandika Pumba sijui huoni aibu
 
Wambie hao mkuu wanadhani kuoa mtt wa msusi ndo washatoboa,mtremko miamala kila kuisha wakilia shida..hawajui ukishaoa mzigo lako hilo kwa shida na raha lako hilo
 
Hawana tofauti na wale wanapewa mahari na kaka zao na wazazi wao kwa kuchangishana waoe akati muoaji hana hata Kitanda cha kumlaza bi harusi wala hana kipato,mwanaume komaa tafuta hela hakuna mahari kubwa shua at teling' yu
 
Sijasoma mpaka mwisho lakini una hoja naomba usikilizwe.
 
Kwani mahari nini?tambua kuna mahari na mali watu uchanganya mambo haya,wewe umekusudia nn?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…