Mahari sio lazima, ni mila potofu ya kupingwa

Mahari sio lazima, ni mila potofu ya kupingwa

Ukitaka kuoa binti wa kiislam wa unguja, wa maisha ya uchumi wa kati chini. Mara nyingi utaambiwa utoe mahari ya kitanda, kabati na dressing table. Na hivo vitu utavotoa kumpa mke ni kwamba vinakuja nyumbani kwako tena kutumika na wewe mke na watoto wenu.
Kwamba lengo ni kuhakikisha hiyo familia tarajiwa inaishi maisha ya staha.

Kwa mimi hii kwangu haina shida kbs!

Kuna mila ambazo zinatoa n'gombe kama mahari na mke akishindwa maisha huko kwa mumewe basi inabidi warudishe ng'ombe za watu, hii ni biashara ya utumwa kbs!

Pia kuna wale wazee wanaopanga wao mahari ya binti yao bila kumshirikisha binti na hata hawajali anaenda ishije huko, kimsingi wamemuuza kwq bei waliotaka.

Binafsi mahari halali ni ile itakayolenga kusaidia maisha ya familia mpya mke na mume.

Mimi ni mtibeli nikikutana na mwanamke wa tibeli niko tayari kufunga nae ndoa ya heshima" sio hawa wanaouzwa mtu akifika bei hawana hiari!
 
Ukitaka kuoa binti wa kiislam wa unguja, wa maisha ya uchumi wa kati chini. Mara nyingi utaambiwa utoe mahari ya kitanda, kabati na dressing table. Na hivo vitu utavotoa kumpa mke ni kwamba vinakuja nyumbani kwako tena kutumika na wewe mke na watoto wenu.
Kwamba lengo ni kuhakikisha hiyo familia tarajiwa inaishi maisha ya staha.

Kwa mimi hii kwangu haina shida kbs!

Kuna mila ambazo zinatoa n'gombe kama mahari na mke akishindwa maisha huko kwa mumewe basi inabidi warudishe ng'ombe za watu, hii ni biashara ya utumwa kbs!

Pia kuna wale wazee wanaopanga wao mahari ya binti yao bila kumshirikisha binti na hata hawajali anaenda ishije huko, kimsingi wamemuuza kwq bei waliotaka.

Binafsi mahari halali ni ile itakayolenga kusaidia maisha ya familia mpya mke na mume.

Mimi ni mtibeli nikikutana na mwanamke wa tibeli niko tayari kufunga nae ndoa ya heshima" sio hawa wanaouzwa mtu akifika bei hawana hiari!

Umefuzu! Somo limeeleweka.
 
Tatizo ndugu yangu Robert Heriel Mtibeli huwa hatoi maoni yake, au itikadi yake kuwa kwenye jambo flani yeye anasimamia hiki au anaamini hiki bali Mara nyingi yeye hutoa conclusion
 
Kutoa mahari Ni njia ya kuonyesha shukrani na heshima kwa wazazi wa binti anayeolewa.

Tuendelee kupeleka mahari wakuu.
 
Kutoa mahari Ni njia ya kuonyesha shukrani na heshima kwa wazazi wa binti anayeolewa.

Tuendelee kupeleka mahari wakuu.

Wazazi wa mwanaume hawahitaji hizo shukrani na heshima?

Mahari ni biashara ya kuuza au kuuzwa Kwa Mwanamke. Hilo neno "mahari" lisikupofushe
 
Tatizo ndugu yangu Robert Heriel Mtibeli huwa hatoi maoni yake, au itikadi yake kuwa kwenye jambo flani yeye anasimamia hiki au anaamini hiki bali Mara nyingi yeye hutoa conclusion

Ni kweli Mkuu.
Natoa conclusion Kwa jinsi mtazamo na Falsafa yangu. Na watu wenye mtazamo na Falsafa na wanaopenda Kutumia mantiki wanajua nazungumzia nini.
 
Ikiwa Mungu atanijalia kumuoa huyu nimpendae au Mwingine ambae Mungu atakaenipangia, basi plan zangu ni kuweka mahari M 6.

Unaweza kufikiri labda harusi yangu itakuwa bonge la harusi. Hapana, ni mimi kama Bwana harusi, Mke kama Bibi harusi na washiriki. baadae ya kiapo naingia zangu mtaani na maisha mengine yanaendelea.

Uwa sifagilii sana zile kelele.
 
Ikiwa Mungu atanijalia kumuoa huyu nimpendae au Mwingine ambae Mungu atakaenipangia, basi plan zangu ni kuweka mahari M 6.

Unaweza kufikiri labda harusi yangu itakuwa bonge la harusi. Hapana, ni mimi kama Bwana harusi, Mke kama Bibi harusi na washiriki. baadae ya kiapo naingia zangu mtaani na maisha mengine yanaendelea.

Uwa sifagilii sana zile kelele.
Sawasawa
 
Huku Kenya swala la mahari lilisha tatuliwa bungeni,Nyakati zile za Mzee Kibaki,Sheria ikawekwa kua mtu na alipe.kwa hiari yake na Wala lisiwe shuruti.
Wabunge pia wakaipitisha Sheria kwamba ikiwa mtu atatoa mahari kisha akaja kudai irejeshwe basi itakua imekula kwake kwasababu Sheria za nchi hazitotambua wala kusikiliza au kuhukumu kesi za mahari.
Hilo litajikita kwenye tamaduni husika pamoja na wazee wa kimila wa ukoo/tamaduni husika bas.
Pia mme anaweza akalipinga kabisa ulipwaji wa mahari na mahakama kuu /Sheria kuu ikamlinda.
Mnachotakiwa watanzania ni kulipeleka hili jambo bungeni liwe mswada tayari lijadiliwe maxima.

Napinga uuzwaji wa wanadamu kama mifugo.💪💪💪
 
Back
Top Bottom