Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni ELIMU juu ya Mtu Mume na Mtu Mke.
Mtu Mke ni Zawadi kwa Mtu Mume tangu siku ya Kwanza.
Mwanaume asiyemchukulia Mwanamke kama Kitu cha Zawadi bado hajajua kwa nini anamuhitaji Mwanamke.
Mahari ni ishara ya ku appreciate Zawadi unayotarajia kupewa na wazazi husika!
Binti hutunzwa na wazazi tangu akiwa Mdogo akifundishwa kwamba atakuwa mtu wa Mtu Siku moja...
Atatolewa kuwa Mtu wa Mtu Mume siku moja!
Hiyo tu kwa mwanamume ni wake up call kwamba ameandaliwa mtu wa kuishi naye...ampende na Kumtunza kwa usitawi wa familia anayotarajia kuianza!
Kwanza kwa tamaduni za Kiafrika ndo na watoto wote wanatajwa kwa jina la Mwanamume..!Bado tu huoni Sababu ya kulipa Mahari?
Mahari yako kwenye jamii zote!!
Usijidanganye
Mwanamume shurti ujiandae kumpata Mke kwa kuonesha Ishara ya UPENDO na KUTHAMINI MATUNZO YA MKEWE MTARAJIWA KUTOKA KWA WAZAZI WAKE.
Upuuzi.
Kwa utamu ule wa mbususu nalipa mahari kwa moyo mmoja alimradi mbususu ipo
Kama umezaliwa na single mother, mahari ni kitu kibaya sana. Kama unaoa vyangudoa kama wale kutoka karibu na mlima mrefu sana Afrika, basi una hoja. Ila kama unaoa mke mke kweli mahari ni tunu
Aaah hapa umezingua sasa, ushoga unaingiaje hapo...? Njoo na hoja za msingi kwanini mahari ilipwe au isilipweEe Mungu tunusuru watoto wa kiume wengi kugeuka mashoga na kutwa kuongelea mambo ya wanawakr likiwemo hili la mahari badala ya kuwaachia wanawake wenyewe ndio waseme mahari wanaionaje
😂🤔, Mahari ni sufuria ya ngun'yani na kipomeSpika wa bunge mama Tulia Ackson,
Unaongea Pumba as usual!Waliozoea kuuzwa na kununuliwa hamwezi elewa kinachosemwa
HongereniWatibeli hatutoi Mahari wala Binti zetu hawatolewi Mahari.
Hahah nilijua lazima uunge mkono.Nyerere describes bride price as ‘evil’ in Posthumous Bio
Few people know that the father of the Nation Divorced his 'First Wife' in Tabora, in 1945 even before their arranged 'Marriage!'tanzaniatimes.net
Nyerere describes bride price as evil in posthumous bio.
Akili ndogo haiwezi kuelewa somo linalotaka akili kubwa.
Brother wasisitize walipe mahari hao vijana.Muweke mimba, wazazi watakubali mkae mezani. Unalipaje mahari ya 4m kwa maisha yapi hasa?
Unaongea Pumba as usual!
Hongereni
Hahah nilijua lazima uunge mkono.
Lipa mahari mkuu acheni janja janja.
Sio kila Jambo lazima ufanye with reason.
Sent using Jamii Forums mobile app
Waafrika wengi wamewauza hata ndugu zao wanaume kwenye utumwa. Miaka 150 tu iliyopita.Wala sio Jambo la kupewa hongera, ni kama useme Watoto wetu hawakeketwi. Hapo hakuna haja ya Hongera.
Watibeli tunachoangalia ni Mantiki ya kila desturi, Mila na utamaduni pamoja na sheria za Dini.
Jambo lolote ambalo halina mantiki kwetu sio lazima/ no hiyari ya MTU kufanya au asifanye.
Ila kumuuza Mwanamke/mwanaume Kwa kile kiitwacho Mahari. Kwetu Hilo haliwezekaniki.
You have been brainwashed my brother, ila wewe unajiona umekuwa educated/wiser.
Unapinga mahari kwa kuita ujinga, lakini unasisitiza umuhimu wa sherehe na zawadi, kwanini kama wapenzi wamekubaliana wasiende tu wakaanze maisha yao? Huoni kama hata hiyo sherehe na zawadi ni ujinga na kupotezeana tu muda? If you start thinking in that line then you can see how vague is your argument.