Ralph Tyler
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,828
- 3,579
- Thread starter
-
- #101
Kikatiba uchaguzi mwingine utafanyika 2025. Kwa sasa yeyote asiyependa CCM analazimika kuishi na CCM hadi 2025 atakapopata nafasi nyingine ya kujaribu tena.Yaani Chadema bwana wakati huo huo hawaitaki CCM na wakati huo huo wanawataka watu fulani wa CCM.
So pathetic
Mzee Kayanza Peter Pinda atafaa sana kwa hii transitionIli afanikiwe na chama chake kisirudi ktk zama za kutumia pesa kushinda uchaguzi inabidi apate mtu asie wa makundi.
Mtu anaweka maslahi ya nchi mbele kuliko maslahi yake binafsi au ya kundi lake.
JPM hakuingia na kundi so hakuwa na muda wa kurudisha fadhila kwa mtu yoyote.
Jeshi limesha ona likifuata hawa wanasiasa watapoteza nchi maana wote wana maslahi yao binafsiHakuna kitu kama hicho kitatokea,jeshi liko nyuma ya Raisi Samia suluhu Hassan.Unafikiri rahisi kihivyoo eeeh.
Rejea hotuba ya General Mabeyo jana.
No rejea issue ya water gate na mrithi wakeRais akiondolewa na Bunge, na VP naye anaondoka kwa sababu unaitishwa uchaguzi mpya
Rais halazimiki kuvunja baraza la mawaziri. Ni hiari yake kufanya hivyo, katiba haijamlazimisha. Hivyo akiamua kuendelea na baraza hilohilo ni sawa tu, hatakuwa amevunja katiba popote.Baada ya kuapisha VP, Rais atavunja baraza la mawaziri asubuhi na mida ya mchana atapeleka jina la PM (Majaliwa) bungeni na kesho yake bunge litamthibitisha.
Hapa Rais atakuwa ameondoa minong'ono ya kwamba amevunja katiba ya kuendelea na baraza lile lile la Magufuli
Mawaziri wa sasa walio wengi watarudi na baadhi yao watabadilishwa wizara.
Mwana mpotevu a.k.a mtabiri atapelekwa ofisi ya VP kama kifuta machozi akashughulike na mazingira ambako sauti yake itakuwa ikisikika kwa nadra!
Niliwaza sana kauli ile ya JK ni kuwa aliteleza au Ndio mambo ya Long term planKama ulimsikia kiongozi mmoja wakati anatoa salamu za kumuaga JPM akitamka mwaka 2022, ilihali akizungumzia tukio la mwaka 2020 hebu na anyooshe mkono.
Ni uhuru wa mawazo na wa kujieleza. Hayo ni mawazo yako, na wengine pia wana mawazo yao. Karibu.Wapinzani katika ubora wenu mmeanza tena kutuletea ramli zenu chonganishi!!!
FYI utabiri wako will never come to pass - Serikali ya CHAMA tawala na Wabunge wake hawawezi kuruhusu mpasuko wowote ndani ya Serikali na kwenye CHAMA,wana inbuilt mechanisms za kuhakikisha hilo halitokei hasilani - kama ulisikiliza vizuri rai ya CDF jana kuna kitu alipaswa kujifunza i.e ungefikiri mara mbili kabla hujatuletea bandiko lako hapa. Good day.
Spika mwenyewe wakati wa kutoa rambirambi, nilishindwa kumuelewa ni kama mtu aliyestukizwa!Sequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Bunge hili kutokuwa na imani na Rais!!! hakuna kitu hicho kutokea karibuni...kumbuka wabunge hawa wengi wameingi bungeni kwa "fadhila" ya alieondoka...Sequence of events:
Nyie bisheni.
- Suppose Kundi mojawapo katika wanaotaka nafasi hiyo wana mshikamano na Spika.
- Halafu mtu wao anateuliwa kuwa makamu wa rais.
- Bunge linampitisha kwa kauli moja, anaapishwa kuwa makamu wa rais
- Baada ya miezi michache wabunge wanaanza kuhoji ufanisi wa rais.
- Hoja ya kutokuwa na imani na rais inaletwa kwa mujibu wa ibara ya 46 ya katiba, spika anakubali ijadiliwe, na inapita kwa kauli moja na azimio la bunge kuwa limekosa imani na rais.
- Katiba inafuatwa tena, makamu huyo anakuwa rais, anaapishwa, duara linarudi lilipoanzia.
Huna mamlaka ya kuninyamazisha. Kama unafahamu ibara ya katiba inayosema tofauti na nilivyosema iweke hapa tuelimishane.Huijui Katiba ya JMT nyamaza!!
Umenena vema, "aliyeondoka", siyo "aliyepo"Bunge hili kutokuwa na imani na Rais!!! hakuna kitu hicho kutokea karibuni...kumbuka wabunge hawa wengi wameingi bungeni kwa "fadhila" ya alieondoka...
Weka vifungu mkubwa. Ibara ya ngapi hiyo?Kwahiyo unadhani kutokuwa na imani na Rais ni kwamba makamu ndio atakuwa Rais?
Hakuna kitu kama hicho. Soma katiba vizuri.
Kuna mazingira ambayo makamu anaweza kuwa Rais kwenye Ibara ya 37 ya katiba yetu.
Mkimuondoa kwa kura ya kutokuwa na imani anakuja na kulivunja bunge na tunarejea kwenye uchaguzi.