OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Mlio soma hechikunani naona hamuelewi somo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umechanganya vitu viwili kwa wakati mmoja. Hoja za wale makamishina wanne za hesabu ziko mbili.Kwa maana hiyo sasa, kama walipiga kura watu 14,000,000 manaake kwenye majumuisho wanakuwa 14,001,400
Hao 1400 wametoka wapi?
Japo mwisho wa siku baba apumzike. Imetosha sasa!
Wacha Hustler Ruto aongoze Kenya kwa amani!
What is 10% ya 14 000,000
What is 1% ya 14,000,000
What is 0.1% ya 14,000,000
What is 0.01% ya 14,000,000
Compare the answers of the above to maths calculations za four commissioner's
Mahakama ikithibitisha kuwà kuna kura zaidi ya asilimia 100 zilizopigwa hata iwe 0.01 ngoma inarudiwa.Kituko kikubwa cha karne kuhusu hesabu leo kimeonekana huko Kenya baada ya makamishina wanne wa tume ya uchaguzi waliotangaza kujitoa kwenye mchakato wa kutangaza matokeo ya urais kuja na hoja finyu za ukilaza wa mahesabu.
Mbali na sababu zingine walizozitoa, kubwa lilikuwa ni wao kujenga hoja kwenye mahesabu ya matokeo kwenye mambo mawili.
-Wao kushangaa hesabu ya jumla ya kura zilizovutwa (round off) kuwa 100.01% (Kitu ambacho kimahesabu kiko sahihi)
-Kudai kuwa hiyo 0.01% iliyozidi wao wanaitafsiri katika kura zote (milioni 14) ni sawa na kura 140,000. (Kitu ambacho sio sahihi, usahihi ni kura 1400)
Ajabu ni kuwa, wahusika waliojenga hoja hizo walijitamba kuwa wao ni wasomi na karibu kila mtu kwa Kenya ni msomi wa kuweza kuchambua hayo mahesabu. Na mwisho hoja zao zikachukuliwa na kupigiwa debe na mamilioni ya wakenya wanaomuunga mkono upande wa Raila Odinga.
Hizo hesabu za desimali na makadirio huwa zinazofundishwa watoto wa darasa la nne hapa Tanzania na nyingine kurejewa kwa kina kidato cha kwanza.
Ni aibu kubwa kwa taifa la Kenya, ukilaza unaposhabikiwa na kuungwa mkono.
Poleni Wakenya kwa hii aibu.