Kenya 2022 MAHESABU YA KURA: Kumbe elimu ya Kenya ipo chini sana na upeo wa wakenya upo chini mnoo!

Kenya 2022 General Election
Kwa maana hiyo sasa, kama walipiga kura watu 14,000,000 manaake kwenye majumuisho wanakuwa 14,001,400
Hao 1400 wametoka wapi?

Japo mwisho wa siku baba apumzike. Imetosha sasa!
Wacha Hustler Ruto aongoze Kenya kwa amani!
Umechanganya vitu viwili kwa wakati mmoja. Hoja za wale makamishina wanne za hesabu ziko mbili.

Hoja yao ya kwanza ni kuwa Jumla ya asilimia ya wagombea wote wanne ni 100.01% badala ya kuwa 100%. Kuwajibu hoja yao hiyo ni kuwa hiyo 100.01% inajitokeza ikiwa umejumlisha asilimia zenye desimali zilizovutwa (Round off decimal), kimahesabu ni jambo linaweza kujitokeza, na linapojitokeza linapaswa kuupuziwa kimahesabu (Neglibible error). Hivyo haipo popote na haijajumuishwa popote kwenye kura
What is 10% ya 14 000,000
What is 1% ya 14,000,000
What is 0.1% ya 14,000,000
What is 0.01% ya 14,000,000
Compare the answers of the above to maths calculations za four commissioner's

Wale makamishna walisema wazi kuwa, asilimia iliyozidi ni 0.01% na wakasema kimahesabu yao hiyo ni sawa na kura 140,000.

Vyote viwili walivyosema hapo kimahesabu ni uongo mtupu. Hakuna mahesabu ya namna hiyo duniani popote.
 
Mahakama ikithibitisha kuwà kuna kura zaidi ya asilimia 100 zilizopigwa hata iwe 0.01 ngoma inarudiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…