Mahojiano ya BBC na Waziri Tax yalipokwenda mrama

Mahojiano ya BBC na Waziri Tax yalipokwenda mrama

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Hii ilikuwa interview ikisikilizwa duniani kuhusu ujio wa makamu wa rais wa Marekani:



Ama kwa hakika shughuli ipo.

Labda itabidi kuomba mwongozo kufahamu ni sehemu ipi kama ipo tunayofanya vizuri.

Ya CAG nani hajayasikia?
 
Hii ilikuwa interview ikisikilizwa duniani kuhusu ujio wa makamu wa rais wa Marekani:

View attachment 2571442

Ama kwa hakika shughuli ipo.
Sifa kuu ya kwanza kwa mwana diplomasia ni kuwa diplomatic!.
One doesn't have to be rude without just cause!. Being very confident is always good in diplomatic relations.
P
 
Sifa kuu ya kwanza kwa mwana diplomasia ni kuwa diplomatic!.
One doesn't have to be rude without just cause!. Being very confident is always good in diplomatic relations.
P
Huyo muuliza maswali alionesha utoto wa hali ya juu sana licha ya huyo waziri kuwa calm na very focused kwenye alichoulizwa.

Mtu anafanya repetition zisizo na msingi na anaukiza maswali katika njia ya kutaka kusikia unayopenda au uliyopanga!

Waziri ni mtu mzito sana huwezi kumwekea maneno mdomoni.. huyo mama alifikia hadi kumwambia hawezi predict boss wake angejibu nini bado akaendelea kufanya utoto mbaya zaidi ni kama alikua akifanya mashindano flani na kudhamiria kumu outsmart waziri. Hivi waziri alivyo na ishu nyingi za kushughulikia unamfanyia utoto kiasi kile?

Huyo mwandishi ni wa hovyo sana
 
Huyo muuliza maswali alionesha utoto wa hali ya juu sana licha ya huyo waziri kuwa calm na very focused kwenye alichoulizwa.

Mtu anafanya repetition zisizo na msingi na anaukiza maswali katika njia ya kutaka kusikia unayopenda au uliyopanga!

Waziri ni mtu mzito sana huwezi kumwekea maneno mdomoni.. huyo mama alifikia hadi kumwambia hawezi predict boss wake angejibu nini bado akaendelea kufanya utoto mbaya zaidi ni kama alikua akifanya mashindano flani na kudhamiria kumu outsmart waziri. Hivi waziri alivyo na ishu nyingi za kushughulikia unamfanyia utoto kiasi kile?

Huyo mwandishi ni wa hovyo sana
Nitaitafute niisikilize nione kama nami nitakuja na conclussions kama hizi
 
Huyo muuliza maswali alionesha utoto wa hali ya juu sana licha ya huyo waziri kuwa calm na very focused kwenye alichoulizwa.

Mtu anafanya repetition zisizo na msingi na anaukiza maswali katika njia ya kutaka kusikia unayopenda au uliyopanga!

Waziri ni mtu mzito sana huwezi kumwekea maneno mdomoni.. huyo mama alifikia hadi kumwambia hawezi predict boss wake angejibu nini bado akaendelea kufanya utoto mbaya zaidi ni kama alikua akifanya mashindano flani na kudhamiria kumu outsmart waziri. Hivi waziri alivyo na ishu nyingi za kushughulikia unamfanyia utoto kiasi kile?

Huyo mwandishi ni wa hovyo sana
Una conclusion mbovu sana, utadhani alikuwa anaongea na mume wake...
Unajua maana ya diplomacy? Angekuwa anawakilisha Russia si angeongea upumbavu wa kijinga kabisa...

This is bad, and she should take responsibility.
 
Una conclusion mbovu sana, utadhani alikuwa anaongea na mume wake...
Unajua maana ya diplomacy? Angekuwa anawakilisha Russia si angeongea upumbavu wa kijinga kabisa...

This is bad, and she should take responsibility.
Jamaa alikua anatulisha tangopori. Nimesikiliza sijaona sehemu katika hiko kipande kilichowekwa kinacho reflect hiyo conclusion yake.
 
Huyo muuliza maswali alionesha utoto wa hali ya juu sana licha ya huyo waziri kuwa calm na very focused kwenye alichoulizwa.

Mtu anafanya repetition zisizo na msingi na anaukiza maswali katika njia ya kutaka kusikia unayopenda au uliyopanga!

Waziri ni mtu mzito sana huwezi kumwekea maneno mdomoni.. huyo mama alifikia hadi kumwambia hawezi predict boss wake angejibu nini bado akaendelea kufanya utoto mbaya zaidi ni kama alikua akifanya mashindano flani na kudhamiria kumu outsmart waziri. Hivi waziri alivyo na ishu nyingi za kushughulikia unamfanyia utoto kiasi kile?

Huyo mwandishi ni wa hovyo sana

Hiyo interview ilikuwa live kwa kila mwenye masikio yake duniani akisikiliza.

Hivi ni vituko. Hakuna credit hapo.
 
Huyo muuliza maswali alionesha utoto wa hali ya juu sana licha ya huyo waziri kuwa calm na very focused kwenye alichoulizwa.

Mtu anafanya repetition zisizo na msingi na anaukiza maswali katika njia ya kutaka kusikia unayopenda au uliyopanga!

Waziri ni mtu mzito sana huwezi kumwekea maneno mdomoni.. huyo mama alifikia hadi kumwambia hawezi predict boss wake angejibu nini bado akaendelea kufanya utoto mbaya zaidi ni kama alikua akifanya mashindano flani na kudhamiria kumu outsmart waziri. Hivi waziri alivyo na ishu nyingi za kushughulikia unamfanyia utoto kiasi kile?

Huyo mwandishi ni wa hovyo sana

Hiyo interview ilikuwa live kwa kila mwenye masikio yake duniani akisikiliza.

Hivi ni vituko. Hakuna credit hapo.
 
Huyo muuliza maswali alionesha utoto wa hali ya juu sana licha ya huyo waziri kuwa calm na very focused kwenye alichoulizwa.

Mtu anafanya repetition zisizo na msingi na anaukiza maswali katika njia ya kutaka kusikia unayopenda au uliyopanga!

Waziri ni mtu mzito sana huwezi kumwekea maneno mdomoni.. huyo mama alifikia hadi kumwambia hawezi predict boss wake angejibu nini bado akaendelea kufanya utoto mbaya zaidi ni kama alikua akifanya mashindano flani na kudhamiria kumu outsmart waziri. Hivi waziri alivyo na ishu nyingi za kushughulikia unamfanyia utoto kiasi kile?

Huyo mwandishi ni wa hovyo sana
Hapana PR lazima itumike unapojibu maswali under pressure. Angeweza kurudia tu majibu yale Yale yaliyo "nyutro" mpaka mjadala uishe. Kupanic panic hivyo hakufai kwenye diplomasia
 
Back
Top Bottom