Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,729
- 10,500
Hebu tuwekee hapa hiyo convo ya mwandishi na waziri katika style yaHakuna kitu kibaya alichojibu huyo waziri sikiliza tena kama hujui English sema tukusaidie. Ukute unajadili hapa kwa ushabiki tu kama mlivyo hovyo sana wengi wenu pasi na kujua kilichojiri.
Waziri kamjibu kwa hekima sana huyo mwandishi shida ni kwamba mwandishi alitaka ajibiwe anayopenda kuyasikia.
Sema wewe shida ya waziri iko wapi katika hiyo clip? Unataka waziri ajibizane kwa ule utoto? Angemtukana au kumdharau si mngekuja na ujinga mwingine?
Mwandishi:
Wazuri:
Mwandishi:
Waziri
Ikikupendeza itafsiri kanisa kuwa Kiswahili