mkuu kwenye clip kahojiwa maswali mazuri sana na amejibu vizuri but hapo mwishoni amemaliza vibaya!..hao waandishi wa TV za kimataifa ni wabobevu sana hakuna ukanjanja kama locals..the best way kudeal nao ni kuwa focused na calm na kutotoa majibu ya kukariri.Nimekaa MFA for several years kabla ya kwenda viwanja na huyo mama ni mbobevu mzuri tu. Kumtendea haki nakushauri isikilize ile clip ya dakika 7 kabla ya kufanya conclusions.
..na pia hiyo interview ukisikiliza kwa umakini mwanahabari ameongea kwa utulivu kabisa..kuna vipindi vya BBC kama hardtalk wanahabari wanawahoji watu powerful zaidi ya mh waziri na maswali very provocative but wanajibiwa bila shida..angeweza kufanya better than that!