Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake


Mbona Diamond kaweka wazi kabisa kuwa anaendaga kumuona mtoto wake na mpaka mzazi anamjua?
 
Hehehehe na hili ndo lilikuwa tegemeo la wengi ila Domo amewapiga bao la kisigino ...huko walipo hawaamini masikio yao..Namsubilia mange na post yake itakayokuja sijui atazuga nini
Ni ujinga mtupu kutaka Zari na mondi waachane Mimi nlikua nataka mtoto apate public recognition only that
 
Yaan zari atakuwa mwanamke wa ajabu kama ataachana na diamond kisa diamond kazaa na Hamisa.

Hivi ni wanawake wangapi tena wenye ndoa zao haya yanawatokea? Sio ishu kbs wala hamtakiwi kumuwazia kbs. zari anajua anachokitaka

Usiskilize uongo wa way zari mpende baba wa watt wao ili upate kichwa cha mwanaume cha kusimama nyumban kwako kama baba
 
We ndo unaamka nini!??

Diamond hakukataa mimba wala mtoto..na amehudumiaa...

We vipi!??

acha uongo wa kijinga bana, aliwahi kuhojiwa clouds akamkana huyo mtoto.

this time Hamisa kamjaza kwenye 18.
 
Angalau leo chibu kapata akili.
Kwa hili Zari akamuacha Mondi atakuwa hana akili
 
Kama alikubaliana toka day one kwamba uhusiano wao ni wa siri hadi anabeba mimba anakuja anavunja makubaliano! Toka anabeba mimba alijua mtoto wao atakua wa kujificha, ana bahati huo mkataba ulikua wa mdomo! Huko walioendelea ni vitu vya kawaida! Watoto wa Ronaldo hawajulikani mama zao na hawaendi Insta ili wamuumize demu wa Ronaldo kwamba sisi ndio mama wa hao watoto same to MJ na watoto wake mama yao alijulikana baadae bila mbinde hizi! Mobeto ndio angemzalia Ronaldo asingekaa kimya
 
Eti akili zangu ni kama za mobeto hahaha yaani Mimi ningekua na ujasiri ule wa Mobeto nadhani lingenitokea ingelikua funzo kwa wanaume wapuuzi wanaokubali ndani na kukataa nje ,kwanini mkose misimamo? Diamond sio mwanaume wa kwanza maarufu mwanamziki kuzaa nje ya mahusiano yake (tena sio ndoa) hivyo hakupaswa kuwabagua watoto kua hawa wa kujulikana nje na huyu ni wa kujulikana ndani hapo alikosea sana,ni bora angekaa kimya tangu sakata lilipoanza
 
Aliamua Kuyafanya Haya Ila Ujinga Wa yule Mwanamke Mwenzetu Ndo Umefikia APA..

Matusi kwa Familia Yake Ndo Yaliyomuudhi Na Kuaamua Hili..Mlitakaa Ilo Koromeo Lijaee Mpaka Kupasuka...\

Mwanamke Ulieshimiwa Ukapewa Na Kusaidiwa Kila Kitu Ila Yote Umeyaweka Kapuni Coz Of Fame Huuu Si Undezi Kabisaa

Alichofanya Dai Ni Sahihi Kabisaa Na Mimi Ningekuwa Zari Uyo Hamisa Leo...

Wanaume Wangapi WanachepukA! Wanaume wangapi Wanawatoto Nje Lakini Mbona Ao Wanawake Wanajiheshimu Na Kupewa Heshima Zote Na Ao Wanaume

Act Like A Woman Think Like A Man....Hii Kitu Ingemfaa Hamisii
 
Hapo umeongea ukweli siku baba anadanja mtoto anakosa hata mirasi maana si alikua mtoto wa siri halafu wanataka kutudanganya eti bahati mbaya mara shetani lakini ukisikiliza huo mpango wote walipanga huyo demu abebe mimba
 
Duh juzi mpoky kasema si unajua look hanaga break ya mdomo, kumbe majay analalamikaa, siku ya bday hamisa alitaka wakumbushie hehhe ila Lulu anabana kila kona, yani hamisa kula yake ni kupitia wanae lol
Sasa hapa kajiharibia officially.... kaishia kupewa child support ya serikali..... kamalaya tatizo na hajui kutumia umaarufu wake kwa faida. Kakosa yote sasa wanaompa kichwa wakampe sasa hizo laki 5 za kila wiki.... Insta inampa kichwa as if ndo inalea mtoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…