Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

Akili nyingi kutambua haki ya mtoto kumtambua na kubainisha mzazi wake. Asipotoa matumizi atapelekwa ustawi wa jamii atoe matumizi kwa % aone kama hajatoa kubwa zaidi ya hiyo.

Kulea ni zaidi ya hela baba ajulikane hata Hamisa akifa mtoto akimbilie kwa babe. Siri ni kama wasingezaa wamezaa mtoto sio siri.
*nasisitiza mimi siyawezi* wanaoweza wakomae.

Mbona Diamond kaweka wazi kabisa kuwa anaendaga kumuona mtoto wake na mpaka mzazi anamjua?
 
Hehehehe na hili ndo lilikuwa tegemeo la wengi ila Domo amewapiga bao la kisigino ...huko walipo hawaamini masikio yao..Namsubilia mange na post yake itakayokuja sijui atazuga nini
Ni ujinga mtupu kutaka Zari na mondi waachane Mimi nlikua nataka mtoto apate public recognition only that
 
Yaan zari atakuwa mwanamke wa ajabu kama ataachana na diamond kisa diamond kazaa na Hamisa.

Hivi ni wanawake wangapi tena wenye ndoa zao haya yanawatokea? Sio ishu kbs wala hamtakiwi kumuwazia kbs. zari anajua anachokitaka

Usiskilize uongo wa way zari mpende baba wa watt wao ili upate kichwa cha mwanaume cha kusimama nyumban kwako kama baba
 
Angalau leo chibu kapata akili.
Kwa hili Zari akamuacha Mondi atakuwa hana akili
 
Nampongeza Hamisa ana akili nyingi sana japo watu wanamuona mjinga. Baba wa mtoto ni huyo na mtoto keshazaliwa na alichofanya ni kuweka wazi tu majina ya baba wa mtoto hajaongeza neno.

Eti hajui kula na kipofu! Kula nini? Ili baadae mtoto amlaumu mama umenificha babangu na baba ajitetee ni mamako alikuwa hataki tujuane vizuri.
Hamisa aendelee kutukanwa kinuka chupi, bitch n.k wakati walikata mauno wote, angejua ana familia angejiheshimu au anunue malaya wa usiku mmoja avae condom ngumu.

Mi siyawezi ya Hamisa ila anayeweza ukizaa na mtu usifiche awajibike kwa mauno yako ova.
Kama alikubaliana toka day one kwamba uhusiano wao ni wa siri hadi anabeba mimba anakuja anavunja makubaliano! Toka anabeba mimba alijua mtoto wao atakua wa kujificha, ana bahati huo mkataba ulikua wa mdomo! Huko walioendelea ni vitu vya kawaida! Watoto wa Ronaldo hawajulikani mama zao na hawaendi Insta ili wamuumize demu wa Ronaldo kwamba sisi ndio mama wa hao watoto same to MJ na watoto wake mama yao alijulikana baadae bila mbinde hizi! Mobeto ndio angemzalia Ronaldo asingekaa kimya
 
Ujinga tena? Publicity kwa msanii au mwanamuziki ni mtaji! Hao watoto wa marais na mawaziri umeona mama zao wanashindana na main chick au wanavujisha info sensitive kama za mama mkwe kuja kuona mtoto! U agombanisha mkwe na main chick na unadhani upo sawa! Akili zako ni kama za Mobeto hakujifunza kwa Majizo!
Eti akili zangu ni kama za mobeto hahaha yaani Mimi ningekua na ujasiri ule wa Mobeto nadhani lingenitokea ingelikua funzo kwa wanaume wapuuzi wanaokubali ndani na kukataa nje ,kwanini mkose misimamo? Diamond sio mwanaume wa kwanza maarufu mwanamziki kuzaa nje ya mahusiano yake (tena sio ndoa) hivyo hakupaswa kuwabagua watoto kua hawa wa kujulikana nje na huyu ni wa kujulikana ndani hapo alikosea sana,ni bora angekaa kimya tangu sakata lilipoanza
 
DIAMOND NI MJINGA SANA. HAKUTAKIWA KUKUBALI HADHARANI HATA KAMA MTOTO NI WAKE. ANGEMTAFUTA TU HAMISA KWA SIRI WANGEYAZUNGUMZA UPYA, WAKAELEWANA. HAYA ALIYOZUNGUMZA REDIONI ANGEYABORESHA NA KUZUNGUMZA NA HAMISA.

AKUMBUKUE KUWA, ZARI INGAWA ALIKUWA ANA WASIWAS KUWA MTOTO NI WA MONDI LAKIN HAKUWA NA UHAKIKA, KUMTHIBITISHIA NI DHARAU, KUMDHALILISHA NA KUMFANYA ASIKUAMINI KABISA.


ILA SIMLAUMU MONDI, ELIMU NDOGO KULIKO ZARI.

DIAMOND, MWANAUME KOROMEO (KUVUMILIA)
Aliamua Kuyafanya Haya Ila Ujinga Wa yule Mwanamke Mwenzetu Ndo Umefikia APA..

Matusi kwa Familia Yake Ndo Yaliyomuudhi Na Kuaamua Hili..Mlitakaa Ilo Koromeo Lijaee Mpaka Kupasuka...\

Mwanamke Ulieshimiwa Ukapewa Na Kusaidiwa Kila Kitu Ila Yote Umeyaweka Kapuni Coz Of Fame Huuu Si Undezi Kabisaa

Alichofanya Dai Ni Sahihi Kabisaa Na Mimi Ningekuwa Zari Uyo Hamisa Leo...

Wanaume Wangapi WanachepukA! Wanaume wangapi Wanawatoto Nje Lakini Mbona Ao Wanawake Wanajiheshimu Na Kupewa Heshima Zote Na Ao Wanaume

Act Like A Woman Think Like A Man....Hii Kitu Ingemfaa Hamisii
 
Nampongeza Hamisa ana akili nyingi sana japo watu wanamuona mjinga. Baba wa mtoto ni huyo na mtoto keshazaliwa na alichofanya ni kuweka wazi tu majina ya baba wa mtoto hajaongeza neno.

Eti hajui kula na kipofu! Kula nini? Ili baadae mtoto amlaumu mama umenificha babangu na baba ajitetee ni mamako alikuwa hataki tujuane vizuri.
Hamisa aendelee kutukanwa kinuka chupi, bitch n.k wakati walikata mauno wote, angejua ana familia angejiheshimu au anunue malaya wa usiku mmoja avae condom ngumu.

Mi siyawezi ya Hamisa ila anayeweza ukizaa na mtu usifiche awajibike kwa mauno yako ova.
Hapo umeongea ukweli siku baba anadanja mtoto anakosa hata mirasi maana si alikua mtoto wa siri halafu wanataka kutudanganya eti bahati mbaya mara shetani lakini ukisikiliza huo mpango wote walipanga huyo demu abebe mimba
 
Duh juzi mpoky kasema si unajua look hanaga break ya mdomo, kumbe majay analalamikaa, siku ya bday hamisa alitaka wakumbushie hehhe ila Lulu anabana kila kona, yani hamisa kula yake ni kupitia wanae lol
Sasa hapa kajiharibia officially.... kaishia kupewa child support ya serikali..... kamalaya tatizo na hajui kutumia umaarufu wake kwa faida. Kakosa yote sasa wanaompa kichwa wakampe sasa hizo laki 5 za kila wiki.... Insta inampa kichwa as if ndo inalea mtoto.
 
Back
Top Bottom