Mahojiano ya Diamond katika kipindi cha leo tena, amkubali mtoto wa Hamisa kuwa wake

kila zama na watu wake...
ngoja nirejee zama za nature na sinta.....
 
Mama kama Like zingekua zinarudiwa rudiwa kwa maneno haya ningerudia hata Mara 1000 umeongea vyote,Diamond ashukuru alipewa jina na Mzee Adbudl mpaka nyota ya Naseeb ikang'aa.
Tatizo watu wanawaza Material things badala ya utu wa mtu kuheshimiwa yaani utasema kabla ya mimba ya Dully Hamisa alikua hali,havai wala hanywi
 
Ilo swala la kuelewana na zarina hassani kama lina ukakasi kidogo ebu tuone maana watu wa bongo fleva washakua waongo km wazee wa kudeal na makinikia ila diamond ana pesa asee wadada wanaleta mzaha sana kwnn hamisa ujapewa ubongo wangu aseee saivi ningekua namalizia nyumba ya mtoto huku biashara zikiendelea vzr nasubiria mwezi ujao niende dubai kupumzika na mtt tu daaah
 
Kwenye mgao angesahaulika! Sasa waliliona hilo wakaamua kama mbwai iwe mbwai.Hahahahahaha!
Kabisa yani huyo asinge kuwa na chake huyo aise mm nimeona watoto kama hao walivyo kuja kuteseka kwa ajili ya siri
 
sasa ushujaa wake ni nini hapo????
Kila mtanzania na mtu yeyote popote Leo hii anajua mtoto wa Hamisa ni Abdul Naseeb na sio Abdul asiyejulikana. Huo tu ni ushujaa baada ya kukataliwa hadharani na hayo Mengineyo ya matunzo sheria itachukua mkondo wake pale Diamond ataposhindwa kufanya hivyo maana Ustawi wa jamii wapo kwa ajili yao
 
My Dear Hs,

vuta pumzi, kunywa maji.
Mahusiano ya Diamond na Zari yapo public. Mtu aliyekubali kuwa side chick akubali matokeo yote.
 
Waooo this is new.

Kwa hiyo watoto aliozaa na Diamond ni wa Lokole pia. ?
siki zote watoto hufuata dini ya baba...tiffah na nillan wamechukua dini ya baba yao mond muislam.

wale watatu walichukua dini ya baba yao ivan..mkristo!
na zari alifunha ndoa ya kimila na ivan mda huo akiwa muislamu.
basda ya kuachana na ivan zati akaokoka na kuwa mkristo.

na hata watoto wakifuata dini tofauti haimpi shida cz dini zote kapitia na anazijua vema.
Hata tifa na nillan wanalelewa kikristo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…