miss charming
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 910
- 905
[emoji1] [emoji1] mkuu unamaanisha mond kala kuku na mayai yakeHuyo hamisa ni mrahisi kuliko maelezo yani mnyama mkali yeye na maza wke,ticket ya ndege go n return unapewa mbunye na mengineo.
Mwanamke wa hivyo hafugiki kma kunguru wa dar,istoshe mama yke nae mrahisi kinoma yani unapiga mama na mtoto ngoja niishie hpa
Mtoto hawezi kuwa wa sirini milele, akikua then itafahamika ila sio busara kuleta migogoro isio na msingiSasa hivi ndo ameweka mazingira mazuri kati ya baba na mtoto na hata ndugu zake wa south, kila kitu kiko wazi mtoto analelewa kwa raha zake. Kwani kipi ni kibaya dai kumuweka mtoto wake wazi, me siwaelewi ujue? Hivi mtoto akikua akijua yeye ni wa sirini na akijua yeye ni wa public pia, kipi ni kizuri kwake?
Hama ya jiji ndio nini alaaa huku ni kupatwa kwa kiswahiliHama ya jiji
Kabisa yani na Zari sijui kama ata take more shit from this one...toka mapenzi yao yachanue ni dramas tu kila uchao, maisha yao yametawaliwa na umbea na chuki binafsi za wabongo wakuda instagram.Ndo shida kuchukua viroboto, huyu bwana standard na high class yote zari aliyomuweka kaipukutisha km majani. Ye kazoea vya Tandaleeeee
Dongo kwa zari hilo Hawa nao cjui walichukuliana mabwanaView attachment 591654 hehehehe hudaaa
hahahahah thanks, una kichwa chepesi sana sina doubt hata shule ulifanya vizuri sanaTuishie hapa hatutaweza kuelewana. Motive ya Hamisa ipo clear kabisa why alitaka mtoto awe public which was not malezi ni ujinga tu wa Instagram. As a matter of fact hakuna mtoto wa maarufu na maarufu atafichika forever rather wangeagree diplomatic way ya kusolve issues for the baby na sio huu ujinga alofanya.
Mtoto atatunzwa kama mwanzo na muda ukifika baba eke atamchukua, afanye hima kuzaa mtoto wa tatu child support itop up...
Uterus yake mtaji wake tatizo hana nyota ya kuekwa ndani. Aendelee tu kudanga.
Nice dayyyyy.
Sio mond mkuu ni habari ya mwaka juzi arusha hiyo,dem waluwalu mama nae waluwalu anakuuliza sasa unamrudisha lini mwanangu akija nletee nyama choma ya arusha[emoji1] [emoji1] mkuu unamaanisha mond kala kuku na mayai yake
Kama mnaijua migogoro basi mfungage zipu zenu huko nje. Afu hiyo migogoro angeileta kwa nani kama familia yake walishamsamehe?Mtoto hawezi kuwa wa sirini milele, akikua then itafahamika ila sio busara kuleta migogoro isio na msingi
Hahaha asanteHa
hahahahah thanks, una kichwa chepesi sana sina doubt hata shule ulifanya vizuri sana
kdc, kumbe wewe ni kaka?! Kama ni kaka basi utakuwa kavulana fulani hivi ambae bado hujakua!!!Dah haya bhana mie ni kaka sijui wewe.ila nasikia uchungu sana pale mbele za watu unakana mimba ukitoka hapo unanitumia pesa ya matumizi.ningekua Hamisa nisingezipokea hadi asafishe jina langu kwenye jamii.Dhambi hii tumefanya wawili kwanini mimi nidhalilishwe kisa ndoa yako kwani wakati tunafanya kujua Zari yupo?
Yani ile ilikuwa kula na kipofu. Mama mtoto wetu asiteseke gari ya clinic,,,70k kila siku about 500k a week...Labour private dola 3500 akakabidhiwa kwa specialist akajifungue salama...Haya kama haitoshi mtoto kashazaliwa akaambiwa mama angalia basi biashara gani itafaa uweze endesha maisha yako na mtoto vizuri nitakupa mtaji. Japo yalitokea bila kuwa planned ila jamaa aliomba privacy tu ili asivuruge image yake ikiwa ana mwanamke official tayari ndani bi.Zarina hassan.Mm nimemuelewa vizur mond kasema alimwambia hamisa abuni mradi wa biashara kwa ajili ya mtoto wao lkn kutokana na ujinga wa hamisa kaona et amkomoe zari wakati mond amesema kabisa ye hawezi achana na zari, mwishowe kaonekana mjinga yeye
Wanawake wenye akili za hamisa ndo watakubali huu upuuzi aloufanyaYani ile ilikuwa kula na kipofu. Mama mtoto wetu asiteseke gari ya clinic,,,70k kila siku about 500k a week...Labour private dola 3500 akakabidhiwa kwa specialist akajifungue salama...Haya kama haitoshi mtoto kashazaliwa akaambiwa mama angalia basi biashara gani itafaa uweze endesha maisha yako na mtoto vizuri nitakupa mtaji. Japo yalitokea bila kuwa planned ila jamaa aliomba privacy tu ili asivuruge image yake ikiwa ana mwanamke official tayari ndani bi.Zarina hassan.
Hivi ni ubinadamu na uwajibikaji kiasi gani jamaa amefanya kama mzazi wa mtoto hapo mpaka kufikia kuona kuwa eti kuna haja ya ku expose privacy alioomba ummpe kama sio kukosa akili.?
afu mshikaji we zwazwa kweli..Ulitaka aache mali za wanawe zichukuliwe na watu wengine??? zari ni mwanamke strong na ndio maana amekuwa imara kuilea familia yake na hata wale watoto wake wakubwakitu muhimu kwake zilikuwa ni details za bank na waliotaka kukorofishana naye ni waliozidai
Malaya haridhika wala hafugiki,hawara nae anataka jamii imjue sijui ndio maajabu wa mwanamke wa kiswahili.kauzi kanakimbia kweli mondi nizaidi ya baba jesca,,,hamisa ni mrembo asiyekuwa na akili tho, kwani mtoto familia ya mondi ikishamjua si inatosha kwani sisi watanzania au the rest tunachangia matumizi fala kweli yule mwanamke atakula umaarufu wake kama mange umaarufu bila hela