Dah pole unaupeo mdogo sana wa kufikirikwani zari ni mke? yeye alivoamuacha mume wake na watoto watatu ? unaeona mahusiano ya zari na diamond yapo sawa sijui tukuiteje
Hahaha hapo siongezi neno,napenda tu kusifia wanawake wenzangu, so usishikilie sana hizi sifa ninazompaKwakweli mimi hata uzuri wake siuoni namwona wakawaida sana,au macho yangu ndo yanashida?
Hapa napata picha tifu aliloanzisha Faiza kwa Sugu.Atajuta sana na kama kweli mtoto ni wa Mondi ameathiri uhusiano wa baba na mtoto! Asikudanganye mtu watoto wengi wanaotelekezwa kwa huduma na baba zao na mama zao wanachangia kwa fujo wanazowafanyia baba zao. Mwanamke mzuri akiwa hana akili zinazoumia ni sehemu za Siri.
Muache aishi anavyotaka yeye.Kama atathibitisha kuzaa na Hamisa nadhani ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kuporomoka kisanii. Watu wengi sana wameumizwa na hili suala. Na wengi sana walimpenda Diamond alivyokuwa na msimamo juu ya Zari. Lakini kuzaa na Hamisa ni kama kumtusi Zari. Binafsi nitakuwa hater wa Diamond endapo atathibitisha kuzaa na Hamisa.
Naona ndo anakoelekeaKama atathibitisha kuzaa na Hamisa nadhani ndio utakuwa mwanzo wa kuanza kuporomoka kisanii. Watu wengi sana wameumizwa na hili suala. Na wengi sana walimpenda Diamond alivyokuwa na msimamo juu ya Zari. Lakini kuzaa na Hamisa ni kama kumtusi Zari. Binafsi nitakuwa hater wa Diamond endapo atathibitisha kuzaa na Hamisa.
Pesa +umaarufu ndicho kinachowavutia wanawake na si vinginevyo.Haha siamn uyu jamaa inaonekana ana mkuyenge wa maana,,...si kwa kugonga huku na mitoto anayopiga kumlilia aisee huyu dogo anatumia mcongo si kawaida
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]kiLa siku alikuwa anampa elfu sabini..
Msamehe bure tu huyohaya yamekujaje hapa mzee mama