Mahojiano ya Godbless Lema na Clouds FM yamehairishwa

Mahojiano ya Godbless Lema na Clouds FM yamehairishwa

Ameingia mitini...😂😂
Lema nilikuwa nashiriki nae mjadala kule Clubhouse, Jamaa huwa hana hoja zaidi ya kupayuka tu, Juzi kati aliitwa tena Star Tv yule Odemba kambana maswali akabaki anajiuma uma tu


hapo ameona angebanwa na kuishia kujisemea hawa Clouds ni wakala wa CCM, wanatumiwa ....
🤣🤣🤣
 
Hiyo picha ya Lema inaonyesha mmeamua,hakuna picha nzuri ya huyu mtu zaidi ya hiyo dah.Oyeee
 
Ameingia mitini...😂😂
Lema nilikuwa nashiriki nae mjadala kule Clubhouse, Jamaa huwa hana hoja zaidi ya kupayuka tu, Juzi kati aliitwa tena Star Tv yule Odemba kambana maswali akabaki anajiuma uma tu


hapo ameona angebanwa na kuishia kujisemea hawa Clouds ni wakala wa CCM, wanatumiwa ....
Kwa akili Yako hii hata kuku anaefugwa na Lema anakuzidi maarifa Kwa maelfu ya Km
 
Kama vile ambavyo babako hamuamini bi mkubwa ndoaana. Hajui wewe mwanae au siyo mwanae
Tatizo mimba yako uliyozaliwa ilitungwa kwenye mbio za mwenge mimba mama akiwa mtoto alipokuzaa ukakosa malezi baba yako alikuwa ni mlinzi wa uwanja kifupi ni mwanaharamu ndio maana huna cha kupoteza!
 
Back
Top Bottom