Mahojiano ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO ni usanii mtupu

Mahojiano ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO ni usanii mtupu

Kwa hiyo Kama hamna leta mvua basi au kavune kwenye bwawa la yule Rais wa mataahira
Hivi katika gridi ya Taifa kwa sasa ni asilimia ngapi ya umeme unazalishwa kwa kutumia gesi na asilimia ngapi inazalishwa na maji? na vipi tuna gas ya kutosha ya kuongeza uzalishaji wa umeme kwenye gridi ya Taifa? serious question nijibu tafadhari
 
Hivi katika gridi ya Taifa kwa sasa ni asilimia ngapi ya umeme unazalishwa kwa kutumia gesi na asilimia ngapi inazalishwa na maji? na vipi tuna gas ya kutosha ya kuongeza uzalishaji wa umeme kwenye gridi ya Taifa? serious question nijibu tafadhari
Energy mix ratio hii hapa 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20221102-180120.png
    Screenshot_20221102-180120.png
    138.6 KB · Views: 1
Hawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa, wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP, wakati si kweli.

Kigoma wamezima majenerata, umeme mdogo, unakatikakatika na kusuasua, katoa majibu ya kibabaishaji akimuingiza Ndalichako kutafuta huruma, nonsense kabisa.

Mkurugenzi hilo la kigoma ni jipya kwakwe, kweli? Pia gesi imeshindwa kusaidia upungufu wa umeme, hapo Tanesco wamebinafsisha customer care services, hivi kweli walishindwa kupata watanzania competent kureplace wazembe waliokuwepo customer care?,wakawaboreshea maslahi na mikataba mizuri?, wakaamua kubinafshisha kitengo?,wizi huo,

Hawa acha wamuingize chaka rais Samia, au pengine n na yeye ni mnufaika,

Magufuli aliwezaje?,hawa mbona visingizio vingi sana na kujifanya eti wao hawataongopa,ni wakweli, nonsense!,porojo na lugha laini,wananchi wanateseka,

Hii nchi mpaka mapinduzi ya uongozi yatokee tena ni lazima kabisa , vinginevyo tunasindikiza kundi la wahuni kwa woga wetu.
ila hapo kwa magufuli umekosea
 
Nimecheleewa kujiunga ila nimejiunga saa nne HV

Naona jamaa kajipanga na kameza tanesco jinsi inavyo fanya kazi
Mm goroko nimewai ajiriwa tanesco naijuwa ndani nnje Hilo shirika muda mwingii ni upigaji ndio wanawaza tu jamaa anasema itachukwa miaka mkp 3 changamoto hzi za kukatika kwa umeme

Sijui Kama taifa tunaelekea wapi kwa taarifa hzi umasikini utakadhiri vilivyo
Mkuu Ni sahih kbsa shiriki limepoteza focus wamrudishe kalemani yey alikuwa na mbinu zake aliweza kufanya Kaz na mjomba wake vzr sana
 
Back
Top Bottom