The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,436
- 10,944
Wewe umeshapiga kiasi gani,kwani hutaki Pesa?😁😁Ukiona hiyo ujue nchi inapigwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umeshapiga kiasi gani,kwani hutaki Pesa?😁😁Ukiona hiyo ujue nchi inapigwa
Kwa hiyo Maji ndio reliable na sustainable kuzidi gas so ndio? Ndo akili zako zimeishia hapo?Hayo mambo unayo ulizia sio size yako, energy mix sio kukariri tu priority zake. Na hata kwenye kuchagua priority ya kwanza ni reliable sources and sustainability ya umeme wa uhakika kwanza kabla ya kufikiria vyanzo vya upuuzi.
Ni hivi hayo mambo strategies ni technical sio kujiropokea na uwezi kuiga wanachofanya wazungu na waafrica kuiga ni ujinga.
Sasa kukuelezea kila kitu how people reason inabidi uanze kuelewa Kyoto protocol inaruhusiwa kufanya nini kama third world country na kwanini ni upuuzi kuacha kutumia hizo fursa kama lengo ni sustainable energy supply kabla ya kukimbilia upuuzi wa renewable sources.
Sikuwa na swali lolote...Kwani tatizo lipo wazi!Mbona nyinyi wenye masuali magumu hamukumuuliza chochote halafu munakuja kulalamika huku?
Sio tu kwamba hajasomea mambo ya umeme hata managerial skills hana.Kwa hiyo Maji ndio reliable na sustainable kuzidi gas so ndio? Ndo akili zako zimeishia hapo?
Sishangai ndio maana mnauliza mbona Chande alikuwa CEO wa DStv kwenye umeme atawezaje kwa vile Hana degree ya umeme?
Kukosa akili Ni mzigo..
Kumbe hoja yako ni ku mprove wrong magufuli na sio suala la umeme. Hapo umeeleweka sasaJifichieni kwenye hoja dhaifu,kipara kasingizia kila aina ya sababu na kaferi pakubwa,kubalini hamuwezi,mmeshindwa kumprove wrong hayati Magufuli
Conveniently utaisha 2024 karibia na uchaguzi....ila after uchaguzi, tunarudi huku tenaTatizo la mgao mpaka liishe kabisa litachukua miezi 36 toka leo hii usiku.
Uvumilivu ni muhimu kwa sasa!
Kurudi nyuma tena itakuwa ngumu kidogo, na hata kama kutakuwa na ukame mwaka huo!Conveniently utaisha 2024 karibia na uchaguzi....ila after uchaguzi, tunarudi huku tena
Ingekuwa Hana saizi Tanesco ingekuwa gizani..Sio tu kwamba hajasomea mambo ya umeme hata managerial skills hana. Nchi nyingine yoyete mkurugenzi kwenda hadharani kama data muhimu za
DahIngekuwa Hana saizi Tanesco ingekuwa gizani..
Aongoze private sector aje kushindwa kuongoza Sekta ya umma mlilojaa nyie vikaza?
Kwani wewe si ulimeikia Jana ,vipi unaweza hata kumfikia robo ya uwezo wake?
Wewe hujaona Miaka mi5 mfululizo hapakuwa na shida na tumerudi Nyuma ndani ya miezi tu baada ya mtawala mpya?Kurudi nyuma tena itakuwa ngumu kidogo, na hata kama kutakuwa na ukame mwaka huo!
Kusema ukweli hadi sasa mgao wa umeme nausikia tu katika mtaa huu ninao ishi! Changamoto kubwa hapa mtaani ni maji! Hayatoki hadi mvua inyeshe!Wewe hujaona Miaka mi5 mfululizo hapakuwa na shida na tumerudi Nyuma ndani ya miezi tu baada ya mtawala mpya?
Honestly hiko ndicho kinachofanyika. Mazingira yanatengenezwa ili wananchi tukapigwe na hawa madalali akina makamba na wenzao.Aliweza,huu mgao unatengezwa na nikuhakikishie The Boss huko mbeleni zinarudishwa Symbion na Agrekko,rejea ziara ya rais wako Marekani
Aah kwasababu hujapata mgao wewe mtaani kwako so it means haupo?Kusema ukweli hadi sasa mgao wa umeme nausikia tu katika mtaa huu ninao ishi! Changamoto kubwa hapa mtaani ni maji! Hayatoki hadi mvua inyeshe!
Aidha kwa taarifa za Tanesco, palikuwepo na matengenezo makubwa ya miundombinu kabla ya ukame kupiga hodi.
Mgao upo na mkurugenzi jana amezungumzia hilo na akasema kipindi Cha world cup watajitahidi muda wa mechi wabalance ili watu waone.Kusema ukweli hadi sasa mgao wa umeme nausikia tu katika mtaa huu ninao ishi! Changamoto kubwa hapa mtaani ni maji! Hayatoki hadi mvua inyeshe!
Aidha kwa taarifa za Tanesco, palikuwepo na matengenezo makubwa ya miundombinu kabla ya ukame kupiga hodi.
Mimi sio uvccm usiongee kitu usichokijua.
Wewe malaya wa Makamba upogo tu?Mimi sio uvccm usiongee kitu usichokijua.
Makini sanaSio tu kwamba hajasomea mambo ya umeme hata managerial skills hana.
Nchi nyingine yoyete mkurugenzi kwenda hadharani kama data muhimu za biashara (finance huna) ni ishara tosha hapo hakuna shughuli.
My god eti 100-33=77 kwa mujibu wake na anaropoka kwenye national TV upuuzi huo.
Magufuli vita yake kubwa ilikuwa ni kushusha unit costs ya umeme kwanza na kufanikisha through large project ili shirika liwe na faida. Halafu mengine baadae.
Huo uwekezaji wao wanao tafuta wa renewables sidhani kama unajua madhara yake kwa average za unit costs huko mbele.
Hamna kitu pale
Good Morning
[emoji112]
Mimi nina miaka 45 nakuwaje Uvccm?