Mahojiano ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO ni usanii mtupu

Mahojiano ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO ni usanii mtupu

Hayo mambo unayo ulizia sio size yako, energy mix sio kukariri tu priority zake. Na hata kwenye kuchagua priority ya kwanza ni reliable sources and sustainability ya umeme wa uhakika kwanza kabla ya kufikiria vyanzo vya upuuzi.

Ni hivi hayo mambo strategies ni technical sio kujiropokea na uwezi kuiga wanachofanya wazungu na waafrica kuiga ni ujinga.

Sasa kukuelezea kila kitu how people reason inabidi uanze kuelewa Kyoto protocol inaruhusiwa kufanya nini kama third world country na kwanini ni upuuzi kuacha kutumia hizo fursa kama lengo ni sustainable energy supply kabla ya kukimbilia upuuzi wa renewable sources.
Kwa hiyo Maji ndio reliable na sustainable kuzidi gas so ndio? Ndo akili zako zimeishia hapo?

Sishangai ndio maana mnauliza mbona Chande alikuwa CEO wa DStv kwenye umeme atawezaje kwa vile Hana degree ya umeme?

Kukosa akili Ni mzigo..
 
Kwa hiyo Maji ndio reliable na sustainable kuzidi gas so ndio? Ndo akili zako zimeishia hapo?

Sishangai ndio maana mnauliza mbona Chande alikuwa CEO wa DStv kwenye umeme atawezaje kwa vile Hana degree ya umeme?

Kukosa akili Ni mzigo..
Sio tu kwamba hajasomea mambo ya umeme hata managerial skills hana.

Nchi nyingine yoyete mkurugenzi kwenda hadharani kama data muhimu za biashara (finance huna) ni ishara tosha hapo hakuna shughuli.

My god eti 100-33=77 kwa mujibu wake na anaropoka kwenye national TV upuuzi huo.

Magufuli vita yake kubwa ilikuwa ni kushusha unit costs ya umeme kwanza na kufanikisha through large project ili shirika liwe na faida. Halafu mengine baadae.

Huo uwekezaji wao wanao tafuta wa renewables sidhani kama unajua madhara yake kwa average za unit costs huko mbele.

Hamna kitu pale

Good Morning

👋
 
Sio tu kwamba hajasomea mambo ya umeme hata managerial skills hana. Nchi nyingine yoyete mkurugenzi kwenda hadharani kama data muhimu za
Ingekuwa Hana saizi Tanesco ingekuwa gizani..

Aongoze private sector aje kushindwa kuongoza Sekta ya umma mlilojaa nyie vikaza?

Kwani wewe si ulimeikia Jana ,vipi unaweza hata kumfikia robo ya uwezo wake?
 
Wewe hujaona Miaka mi5 mfululizo hapakuwa na shida na tumerudi Nyuma ndani ya miezi tu baada ya mtawala mpya?
Kusema ukweli hadi sasa mgao wa umeme nausikia tu katika mtaa huu ninao ishi! Changamoto kubwa hapa mtaani ni maji! Hayatoki hadi mvua inyeshe!
Aidha kwa taarifa za Tanesco, palikuwepo na matengenezo makubwa ya miundombinu kabla ya ukame kupiga hodi.
 
Aliweza,huu mgao unatengezwa na nikuhakikishie The Boss huko mbeleni zinarudishwa Symbion na Agrekko,rejea ziara ya rais wako Marekani
Honestly hiko ndicho kinachofanyika. Mazingira yanatengenezwa ili wananchi tukapigwe na hawa madalali akina makamba na wenzao.

Nchi inaumizwa sana na hawa walafi.
 
Kusema ukweli hadi sasa mgao wa umeme nausikia tu katika mtaa huu ninao ishi! Changamoto kubwa hapa mtaani ni maji! Hayatoki hadi mvua inyeshe!
Aidha kwa taarifa za Tanesco, palikuwepo na matengenezo makubwa ya miundombinu kabla ya ukame kupiga hodi.
Aah kwasababu hujapata mgao wewe mtaani kwako so it means haupo?
 
Kusema ukweli hadi sasa mgao wa umeme nausikia tu katika mtaa huu ninao ishi! Changamoto kubwa hapa mtaani ni maji! Hayatoki hadi mvua inyeshe!
Aidha kwa taarifa za Tanesco, palikuwepo na matengenezo makubwa ya miundombinu kabla ya ukame kupiga hodi.
Mgao upo na mkurugenzi jana amezungumzia hilo na akasema kipindi Cha world cup watajitahidi muda wa mechi wabalance ili watu waone.

Kuwa na mgao haimaanishi kila sehemu utakatika, Kuna sehemu ni exceptional.

Muhimu kasema watazingatia ratiba maana watu wa moshi walilalamika sana Jana kuwa ratiba haifuatwi
 
Sio tu kwamba hajasomea mambo ya umeme hata managerial skills hana.

Nchi nyingine yoyete mkurugenzi kwenda hadharani kama data muhimu za biashara (finance huna) ni ishara tosha hapo hakuna shughuli.

My god eti 100-33=77 kwa mujibu wake na anaropoka kwenye national TV upuuzi huo.

Magufuli vita yake kubwa ilikuwa ni kushusha unit costs ya umeme kwanza na kufanikisha through large project ili shirika liwe na faida. Halafu mengine baadae.

Huo uwekezaji wao wanao tafuta wa renewables sidhani kama unajua madhara yake kwa average za unit costs huko mbele.

Hamna kitu pale

Good Morning

[emoji112]
Makini sana
 
Back
Top Bottom