Mahojiano ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO ni usanii mtupu

Mahojiano ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO ni usanii mtupu

Tulitakiwa kuona huo usmart kwenye field as long as umeme una katika hivyo wote waliopo kwenye field hiyo kuanzia mfanya maamuzi Rais hadi kwa mtendaji wote ni matatizo.

Huwezi mtoa MTU huko alikuwa anasambaza masidishi ya DSTV na kumleta kuongoza shirika ambalo ndio nguzo ya uchumi Tanzani.Mbaya zaidi watu wote tunakaa kuwaangalia tunategemea walete majibu-poor us.
Itoshe kusema wewe Ni mjinga
 
18 November 2022
Mradi wa Line Kubwa ya Umeme KV400 Wasuasua


Kampuni yenye makao yake bara la ulaya ya kusini nchini Bosnia-Herzegovina yamkasirisha mkuu wa mkoa wa Arusha baada ya kampuni hiyo kuchelewesha mradi wa njia kubwa ya umeme KV400 toka Singida kwenda Arusha hadi Kenya na ungesaidia kukunua umeme wa ziada toka Kenya na Ethiopia hivyo kupunguza makali ya mgao wa umeme


Source : wasafi media

Mradi wa Kenya – Tanzania Power Interconnector Project (KTPIP) kukamilika mwezi February 2020
Mradi huo wa kusafirisha umeme wa kV400 kutoka Singida hadi Namanga utaunganisha nchi za Tanzania na Kenya na unafahamika kama (Kenya – Tanzania Power Interconnector Project), (KTPIP).

Naibu waziri wa Nishati, Subira Mgalu alisema hayo alipotembelea eneo la kuhifadhia vifaa vya mradi huo (yard) katika kijiji cha Nangwa wilayani Hanang mkoani Manyara, mwishoni mwa wiki, ili kukagua vifaa hivyo vitakavyotumika katika ujenzi wa miundombinu ya umeme.

Mgalu alisema kuwa, kazi za awali za utekelezaji wa mradi huo zilikwishaanza na kinachosubiriwa sasa ni kukamisha zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi waliopisha mradi husika ili wakandarasi waanze rasmi kazi ya ujenzi.

Mgalu aliweka wazi kuwa, katika utekelezaji wa mradi huo, vijiji 14 vilivyopitiwa na mradi vitapata umeme ambapo vijiji 7 ni vya Mkoa wa Singida, 2 kutoka Mkoa wa Manyara na 5 ni vya Mkoa wa Arusha.

Alisema kuwa, mradi huo, pia utawezesha ujenzi wa kituo kipya cha kupoza umeme mjini Arusha na kupanua kituo cha kupoza umeme mkoani Singida.

Alisema kukamilika kwa mradi huo kutatimiza azma ya Serikali ya kuwa na umeme mwingi na wa kutosha ifikapo 2020, na pia kuuza umeme katika nchi za Afrika Mashariki zitakazokuwa zina uhitaji, kupitia Ushirikiano wa pamoja katika Sekta ya Nishati ujulikanao kama East African Power Pool, (EAPP) unaoshirikisha nchi za Uganda, Ethiopia, Rwanda, Burundi, Sudan Kusini pamoja na Kenya.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya na Hanang, John Mkirikiti alisisitiza kuwa utekelezaji wa mradi huo uzingatie na kutoa kipaumbele cha ajira kwa vijana wenye nguvu walio katika maeneo yanayopitiwa na mradi.

Pia aliahidi kutoa ushirikiano wakati wa utekelezaji wa mradi huo hususan kuimarisha ulinzi na usalama, na kuwataka vijana watakaopata fursa ya kufanya kazi katika mradi kuwa waaminifu na wakazi wa maeneo ya mradi kuwa walinzi wa miundombinu hiyo ya umeme.

Akizungumzia ujenzi wa mradi huo, Meneja Msimamizi mkuu wa Utekelezaji wa Mradi huo, kutoka Shirika la Umeme Tanzania ( TANESCO) Mhandisi Oscar Kanyama alisema kuwa upande wa Tanzania mradi huo utajengwa kwa urefu wa kilometa 414 na kwa upande wa Kenya utajengwa kwa urefu wa kilometa 96 kutoka kituo cha kupoza umeme Isinya hadi Namanga.

Mhandisi Kanyama alisema mapema mwezi ujao kazi za kuchimba mashimo pamoja mitaro kwa ajili ya kujenga misingi ya mradi huo itaanza.

Aliweka wazi kuwa mradi huo umefadhiliwa na Serikali ya Tanzania iliyotoa Dola za Marekani milioni 44, Wadau wa Maendeleo ikiwemo Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) iliyotoa Dola za Marekani milioni 258 na Shirika la Mandeleo la Japani ( JICA) lililotoa Dola za Marekani milioni 89, mradi huo unatarajia kukamilika mwezi Februari 2020. Source: TANESCO - Wananchi waliopisha mradi umeme wa kV400 kutoka Singida hadi Namanga waanza kulipwa fidia.

Pesa mumemlipa? Sio kupayuka tuu kampuni iko hapo kufanya biashara sio kutoa Huduma.
 
Hawa washukuru Mungu Magufuli hayupo Angekuwepo Asingengekuwepo Maharage wala choroko.

Mama Wameshamjua udhaifu wake hivyo hawana cha kupoteza.

Magufuli Alitengeneza njia nzuri sana ya kujenga nidhamu ya kazi na sio kuleta mazoea kwenye utendaji.

Mama Akapuuza badala Angekazia pale pale kwenye kufurusha wazembe kazini.

Nature ya watanzania punda Aendi bila mjeledi. Sasa matunda ya kuchekeana na kubembelezana kazini ndio ugonjwa unao itafuna Awamu 6

Na Mama akizidi kuzubaa Atavuna Alichopanda maana huku mtaani watu Hawamuelewi kabisa.
 
Hawa washukuru Mungu Magufuli hayupo Angekuwepo Asingengekuwepo Maharage wala choroko.

Mama Wameshamjua udhaifu wake hivyo hawana cha kupoteza.

Magufuli Alitengeneza njia nzuri sana ya kujenga nidhamu ya kazi na sio kuleta mazoea kwenye utendaji.

Mama Akapuuza badala Angekazia pale pale kwenye kufurusha wazembe kazini.

Nature ya watanzania punda Aendi bila mjeledi. Sasa matunda ya kuchekeana na kubembelezana kazini ndio ugonjwa unao itafuna Awamu 6

Na Mama akizidi kuzubaa Atavuna Alichopanda maana huku mtaani watu Hawamuelewi kabisa.
Magufuli angeleta mvua? Mbona kipindi chake kwa Dar Mbezi na Kimara umeme ulikuwa unakatika sana? ilikuwaje?
 
Tupe ushahidi kuwa gharama za kuzalisha umeme ziko chini kuliko gharama za kuuza umeme. Acha kubwabwaja
Si ukasikilize na wewe alichoropoka kipindi chote kipo ITV social media uone huyo mkurugenzi wako alivyo kilaza ni maneno yake wanauza unit 33% less ya production costs.

Mie sijapata kuona mtu wa ovyo kama yule jamaa miezi michache nyuma wakati wanazima generator Kigoma walisema inawagharimu tsh 22.4 billion kwa mwaka kununua diesel, jana gharama zimebadilika kuwa tsh 6 billion kwa mwezi, worst yeye na timu yake hawajui hizo hela ni sawa tsh 200 kwa siku wanasema ni tsh 36 millioni kwa siku.

Kama alivyosema mwenyewe njia ya mtu muongo ni fupi. Hapo hapo anadai ya kuwa sio tu umeme wanauza chini ya production cost, bali ata meter gharama zake ni laki saba wao wanatoa kwa nusu bei na vijijini karibu bure.

Sasa jiulize kama umeme unapata hasara on unit cost, meter unatoa below buying price, serikali aikupi ruzuku; halafu unadai unapata faida, unajiuliza hiyo faida inatokana na income gani sasa.

Sijawahi kuona management ya watu wajinga kama wale jamaa TANESCO ni aibu tupu.
 
Of course alikuwa mpuuzi ndio,Hakunaga Umeme wa chanzo kimoja haupo..

Ukomae na Maji afu Uje ukame uanze Tena kuhangaika? China Ukame umepiga bwawa kubwa kabisa na kusababisha Mgao,huo Ni upuuzi..

Go expensive but reliable..Hapo Kenya umeme 90% Ni renewable na Hakuna Cha Maji na Mambo yanaenda..

Kimsingi wewe Ni mjinga,Tanesco wameaema watawekeza kwenye vyanzo vya uhakika hasa gas na joto ardhi ili wawe na umeme mwingi na wauze huko SADC ambako Bei Ni Juu na pesq watakazopata huko ndio zije kuendeshwa shirika kwa faida na kukusaidia wewe maskini unaedhani 230,000 yako na 27,000 Ni Bei kubwa..

This is big brain
Hayo mambo unayo ulizia sio size yako, energy mix sio kukariri tu priority zake. Na hata kwenye kuchagua priority ya kwanza ni reliable sources and sustainability ya umeme wa uhakika kwanza kabla ya kufikiria vyanzo vya upuuzi.

Ni hivi hayo mambo strategies ni technical sio kujiropokea na uwezi kuiga wanachofanya wazungu na waafrica kuiga ni ujinga.

Sasa kukuelezea kila kitu how people reason inabidi uanze kuelewa Kyoto protocol inaruhusiwa kufanya nini kama third world country na kwanini ni upuuzi kuacha kutumia hizo fursa kama lengo ni sustainable energy supply kabla ya kukimbilia upuuzi wa renewable sources.
 
Si ukasikilize na wewe alichoropoka kipindi chote kipo ITV social media uone huyo mkurugenzi wako alivyo kilaza ya kuwa umeme wanauza 33% less ya production costs.

Mie sijapata kuona mtu wa ovyo kama yule jamaa miezi michache nyuma wakati wanazima generator Kigoma walisema inawagharimu tsh 22.4 billion kwa mwaka kununua diesel, jana gharama zimebadilika kuwa tsh 6 billion kwa mwezi, worst yeye na timu yake hawajui hizo hela ni sawa tsh 200 kwa siku wanasema ni tsh 36 millioni kwa siku.

Kama alivyosema mwenyewe njia ya mtu muongo ni fupi. Hapo hapo anadai ya kuwa sio tu umeme wanauza chini ya production cost, bali ata meter gharama zake ni laki saba wao wanatoa kwa nusu bei na vijijini karibu bure.

Sasa jiulize kama umeme unapata hasara on unit cost, meter unatoa below buying price, serikali aikupi ruzuku; halafu unadai unapata faida, unajiuliza hiyo faida inatokana na income gani sasa.

Sijawahi kuona management ya watu wajinga kama wale jamaa TANESCO ni aibu tupu.
Uchambuzi bora wa siku, thanks a lot
 
Magufuli angeleta mvua? Mbona kipindi chake kwa Dar Mbezi na Kimara umeme ulikuwa unakatika sana? ilikuwaje?
Jifichieni kwenye hoja dhaifu,kipara kasingizia kila aina ya sababu na kaferi pakubwa,kubalini hamuwezi,mmeshindwa kumprove wrong hayati Magufuli
 
Watuachie Tanesco Yetu..., Badala ya Serikali liwe kweli Shirika la UMMA na sio KIbubu cha Serikali

 
Back
Top Bottom