Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu anaitwa Maharage kweli?Hawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa,wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP,wakati si kweli,
Kigoma wamezima majenerata,umeme mdogo, unakatikakatika na kusuasua, katoa majibu ya kibabaishaji akimuingiza Ndalichako kutafuta huruma, nonsense kabisa.
Mkurugenzi hilo la kigoma ni jipya kwakwe,kweli?,pia gesi imeshindwa kusaidia upungufu wa umeme, hapo tanesco wamebinafsisha customer care services, hivi kweli walishindwa kupata watanzania competent kureplace wazembe waliokuwepo customer care?,wakawaboreshea maslahi na mikataba mizuri?, wakaamua kubinafshisha kitengo?,wizi huo,
Hawa acha wamuingize chaka rais Samia,au pengine n na yeye ni mnufaika,
Magufuli aliwezaje?,hawa mbona visingizio vingi sana na kujifanya eti wao hawataongopa,ni wakweli, nonsense!,porojo na lugha laini,wananchi wanateseka,
Hii nchi mpaka mapinduzi ya uongozi yatokee tena ni lazima kabisa , vinginevyo tunasindikiza kundi la wahuni kwa woga wetu.
Kaulizwa mipango yake ya muda mrefu na mfupi,anasema anawaza wa kurithi kazi zake za nonperformance
Tulitakiwa kuona huo usmart kwenye field as long as umeme una katika hivyo wote waliopo kwenye field hiyo kuanzia mfanya maamuzi Rais hadi kwa mtendaji wote ni matatizo.Maharage ni smart guy
Hizo zimeanza kufanyika kuanzia awamu zilizopita.Projects ni priority with time...
1. Ajira zimetolewa ( miaka 5 hakukua na ajira)- afya+ elimu
2. Mashule+ hospitali zimejengwa kila kijiji
3. Mbolea za ruzuku+ masoko kwa wakulima
Hivyo vyote visingeweza kusubiri bwawa likamilike....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwaka 2014 haijafika bado ili tuuze umeme nje.
View attachment 2420541
Hana usmart wote mbabaishaji kama wababaishaji wengineMaharage ni smart guy
Uko tayari kuitwa sukumagang na wale jamaa?Shujaa Magufuli ni mwanasayansi tofauti na zile degree za Sindimba!
Halafu hii nchi nimegundua wanapenda maneno matamu sio kazi na utekelezaji wa majukumu mkurugenzi wa hovyo kabisa kwenye shirika nyeti kwa taifaNimelipia kuunganishiwa Umeme tangu 25/2/2022 Hadi Leo naambiwa hakuna vifaa. Hii nchi mzaa mwingi
Mapinduzi muhimu sana kawa west afrikaTulitakiwa kuona huo usmart kwenye field as long as umeme una katika hivyo wote waliopo kwenye field hiyo kuanzia mfanya maamuzi Rais hadi kwa mtendaji wote ni matatizo.
Huwezi mtoa MTU huko alikuwa anasambaza masidishi ya DSTV na kumleta kuongoza shirika ambalo ndio nguzo ya uchumi Tanzani.Mbaya zaidi watu wote tunakaa kuwaangalia tunategemea walete majibu-poor us.
Sina hakikaMaharage ni mtanzania kweli?
Nilidhani una point kumbe una chuki zako tu binafsi na maharage chande.Upezi San watolewe nduki akauze vingamuzi za DStv
Mkp huyu jamaa anaondoka taifa litakuwa maskini kuliko vipindi vyote
huko West Afrika kwenye mapinduzi kila siku kuna maendeleo gani kuizidi Tanzania?Mapinduzi muhimu sana kawa west afrika
Tupe ushahidi kuwa gharama za kuzalisha umeme ziko chini kuliko gharama za kuuza umeme. Acha kubwabwajaUkiwasikiliza unaweza dhani watu wa maana kweli.
Mie niliukuta mdahalo kati wakati natafuta taarifa ya habari ITV YouTube.
Niliposikia tu analalama unit cost wanauza 33% chini ya production costs, halafu hapo hapo wanawekeza kwenye vyanzo ambavyo unit costs zake ni kubwa mwanzoni, na uwekezaji wenyewe ni private (ndio ubia wenyewe) halafu anasema TANESCO ni 100%, nikaona sina sababu ya kusikiliza upuuzi unaofuata.
Hivi wanadhani Magufuli alikuwa mpuuzi kutoipa miradi mingine yeyote kipaumbele na ku focus kwenye mmoja tu ambao ukiisha ni mwarobaini kwa miaka kama kumi ijayo, wengine waongeze vyanzo vingine ndani ya huo muda wakati tunajimudu.