Mahojiano ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO ni usanii mtupu

Mahojiano ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO ni usanii mtupu

Hawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa,wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP,wakati si kweli,
Kigoma wamezima majenerata,umeme mdogo unakatika na kusuasua,katoa majibu ya kibabaishaji akimuingiza Ndalichako kutafuta huruma, nonsense kabisa.

Mkurugenzi hilo ni jipya kwakwe, gesi imeshindwa kusaidia upungufu wa umeme,wamebinafsisha customer care services, walishindwa kupata watanzania competent kureplace wazembe waliokuwepo?,wakaamua kubinafshisha kitengo?,wizi huo,

Hawa acha wamuingize chaka rais Samia,au pengine ni mnufaika,

Magufuli aliwezaje?,hawa mbona visingizio vingi sana na kujifanya eti wao hawataongopa,ni wakweli, nonsense!,porojo na lugha laini,wananchi wanateseka,

Hii nchi mpaka mapinduzi ya uongozi yatokee tena ni lazima kabisa , vinginevyo tunasindikiza kundi la wahuni kwa woga wetu.
Inasikitisha sana
Hawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa,wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP,wakati si kweli,
Kigoma wamezima majenerata,umeme mdogo unakatika na kusuasua,katoa majibu ya kibabaishaji akimuingiza Ndalichako kutafuta huruma, nonsense kabisa.

Mkurugenzi hilo ni jipya kwakwe, gesi imeshindwa kusaidia upungufu wa umeme,wamebinafsisha customer care services, walishindwa kupata watanzania competent kureplace wazembe waliokuwepo?,wakaamua kubinafshisha kitengo?,wizi huo,

Hawa acha wamuingize chaka rais Samia,au pengine ni mnufaika,

Magufuli aliwezaje?,hawa mbona visingizio vingi sana na kujifanya eti wao hawataongopa,ni wakweli, nonsense!,porojo na lugha laini,wananchi wanateseka,

Hii nchi mpaka mapinduzi ya uongozi yatokee tena ni lazima kabisa , vinginevyo tunasindikiza kundi la wahuni kwa woga wetu.
Inasikitisha sana hasa pale mjinga mmoja anapodanganya wenye Akili bila kujua kuwa anajidanganya mwenyewe.
 
Yaan kuna swali ameulizwa namna ambavyo gesi inaweza kusaidia umeme wa maji unaokabiliwa na changamoto lukuki
Yaan CEO maharage alivyojibu nilitulia kwanza nikasema is this the man au tutarajie mwingine?? lakini baadae nikaanza kuona kama anaanza kuenea kwenye kiti lakini mmh Mr. CEO
Bado Sana DStv na tanesco wapi na wapi. Shirika lilipazwa kupata injinia kbsa wa fani. Hyo ya umeme siyo mtu wa masoko
 
Hawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa,wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP,wakati si kweli,
Kigoma wamezima majenerata,umeme mdogo unakatika na kusuasua,katoa majibu ya kibabaishaji akimuingiza Ndalichako kutafuta huruma, nonsense kabisa.

Mkurugenzi hilo ni jipya kwakwe, gesi imeshindwa kusaidia upungufu wa umeme,wamebinafsisha customer care services, walishindwa kupata watanzania competent kureplace wazembe waliokuwepo?,wakaamua kubinafshisha kitengo?,wizi huo,

Hawa acha wamuingize chaka rais Samia,au pengine ni mnufaika,

Magufuli aliwezaje?,hawa mbona visingizio vingi sana na kujifanya eti wao hawataongopa,ni wakweli, nonsense!,porojo na lugha laini,wananchi wanateseka,

Hii nchi mpaka mapinduzi ya uongozi yatokee tena ni lazima kabisa , vinginevyo tunasindikiza kundi la wahuni kwa woga wetu.
Presentatio ni njia nzuri ya kufikisha ujumbe.... tuwape muda... mambo mazuri hayataki haraka..
 
Aliweza,huu mgao unatengezwa na nikuhakikishie The Boss huko mbeleni zinarudishwa Symbion na Agrekko,rejea ziara ya rais wako Marekani
Sasa sumbion siwamesha inunua mitambo irejeshwe Mara ngapi
 
Huu mgao wa Umeme unatuathiri sana kiuchumi hasa sisi tunaoendesha Biashara zetu kwa kutegemea Umeme, Mimi binafsi uchumi wangu umeshuka sana kwa kipindi hiki cha mgao wa Umeme, ifike sehemu Mamlaka ya Mapato(TRA) watupunguzie Kodi kwa kipindi hiki, la sivyo tunakwenda kuua Mitaji ya Biashara.
 
Tumepigwa na kitu chenye ncha kali kichwani na shingoni
Nchaa Kali snaa hakuna md pale Ni maharage matupu haswa eti anasema hata south Africa kuna mgaho alfu anataka kuleta hoja za kupandisha Bei ya tarif pumbavu Sana

Jmn magu, magu magufuli pmj na ukatili wako ila kazi zilionekana huu upuzi haukuwepo kwa miak mitano mfululizo
 
Presentatio ni njia nzuri ya kufikisha ujumbe.... tuwape muda... mambo mazuri hayataki haraka..
Sikatai,ila ni kwanini alianza kuikingia kifua?,eti hiyo ni automatic,hakuna aliyeitengeneza,hasa pale kwenye kale kamfumo e_connect

Kuhusu bwawa la Nyerere pale alijua ni pagumu akaamua kuweka presentation kuonyesha mambo huko ni shwari,yasiwepo maswali Magumu,kifupi hatoshi hapo,yeye na bodi nzima ya Tanesco,waondolewe haraka sana
 
Sikatai,ila ni kwanini alianza kuikingia kifua?,eti hiyo ni automatic,hakuna aliyeitengeneza,hasa pale kwenye kale kamfumo e_connect

Kuhusu bwawa la Nyerere pale alijua ni pagumu akaamua kuweka presentation kuonyesha mambo huko ni shwari,yasiwepo maswali Magumu,kifupi hatoshi hapo,yeye na bodi nzima ya Tanesco,waondolewe haraka sana
Upezi San watolewe nduki akauze vingamuzi za DStv

Mkp huyu jamaa anaondoka taifa litakuwa maskini kuliko vipindi vyote
 
Ukiwasikiliza unaweza dhani watu wa maana kweli.

Mie niliukuta mdahalo kati wakati natafuta taarifa ya habari ITV YouTube.

Niliposikia tu analalama unit cost wanauza 33% chini ya production costs, halafu hapo hapo wanawekeza kwenye vyanzo ambavyo unit costs zake ni kubwa mwanzoni, na uwekezaji wenyewe ni private (ndio ubia wenyewe) halafu anasema TANESCO ni 100%, nikaona sina sababu ya kusikiliza upuuzi unaofuata.

Hivi wanadhani Magufuli alikuwa mpuuzi kutoipa miradi mingine yeyote kipaumbele na ku focus kwenye mmoja tu ambao ukiisha ni mwarobaini kwa miaka kama kumi ijayo, wengine waongeze vyanzo vingine ndani ya huo muda wakati tunajimudu.
 
Nimecheleewa kujiunga ila nimejiunga saa nne HV

Naona jamaa kajipanga na kameza tanesco jinsi inavyo fanya kazi
Mm goroko nimewai ajiriwa tanesco naijuwa ndani nnje Hilo shirika muda mwingii ni upigaji ndio wanawaza tu jamaa anasema itachukwa miaka mkp 3 changamoto hzi za kukatika kwa umeme

Sijui Kama taifa tunaelekea wapi kwa taarifa hzi umasikini utakadhiri vilivyo
We kila sehemu umeshawahi kuajiriwa!
 
Back
Top Bottom