goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,845
- 13,072
Ni smarter Kweli haropoki Wala nn ilaMaharage ni smart guy
Dstv na tanesco Ni quite different hili shirika lilipazwa mtu wa field ya uhandisi wa fani ya umeme typical
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni smarter Kweli haropoki Wala nn ilaMaharage ni smart guy
Upuuzi sana HV Ana asili gani Kwanza Mbna Kama msambaa hvYaani ndio kaaminiwa na utawala,wakiweka wabobezi wa fani pembeni
Inasikitisha sanaHawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa,wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP,wakati si kweli,
Kigoma wamezima majenerata,umeme mdogo unakatika na kusuasua,katoa majibu ya kibabaishaji akimuingiza Ndalichako kutafuta huruma, nonsense kabisa.
Mkurugenzi hilo ni jipya kwakwe, gesi imeshindwa kusaidia upungufu wa umeme,wamebinafsisha customer care services, walishindwa kupata watanzania competent kureplace wazembe waliokuwepo?,wakaamua kubinafshisha kitengo?,wizi huo,
Hawa acha wamuingize chaka rais Samia,au pengine ni mnufaika,
Magufuli aliwezaje?,hawa mbona visingizio vingi sana na kujifanya eti wao hawataongopa,ni wakweli, nonsense!,porojo na lugha laini,wananchi wanateseka,
Hii nchi mpaka mapinduzi ya uongozi yatokee tena ni lazima kabisa , vinginevyo tunasindikiza kundi la wahuni kwa woga wetu.
Inasikitisha sana hasa pale mjinga mmoja anapodanganya wenye Akili bila kujua kuwa anajidanganya mwenyewe.Hawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa,wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP,wakati si kweli,
Kigoma wamezima majenerata,umeme mdogo unakatika na kusuasua,katoa majibu ya kibabaishaji akimuingiza Ndalichako kutafuta huruma, nonsense kabisa.
Mkurugenzi hilo ni jipya kwakwe, gesi imeshindwa kusaidia upungufu wa umeme,wamebinafsisha customer care services, walishindwa kupata watanzania competent kureplace wazembe waliokuwepo?,wakaamua kubinafshisha kitengo?,wizi huo,
Hawa acha wamuingize chaka rais Samia,au pengine ni mnufaika,
Magufuli aliwezaje?,hawa mbona visingizio vingi sana na kujifanya eti wao hawataongopa,ni wakweli, nonsense!,porojo na lugha laini,wananchi wanateseka,
Hii nchi mpaka mapinduzi ya uongozi yatokee tena ni lazima kabisa , vinginevyo tunasindikiza kundi la wahuni kwa woga wetu.
Bado Sana DStv na tanesco wapi na wapi. Shirika lilipazwa kupata injinia kbsa wa fani. Hyo ya umeme siyo mtu wa masokoYaan kuna swali ameulizwa namna ambavyo gesi inaweza kusaidia umeme wa maji unaokabiliwa na changamoto lukuki
Yaan CEO maharage alivyojibu nilitulia kwanza nikasema is this the man au tutarajie mwingine?? lakini baadae nikaanza kuona kama anaanza kuenea kwenye kiti lakini mmh Mr. CEO
Presentatio ni njia nzuri ya kufikisha ujumbe.... tuwape muda... mambo mazuri hayataki haraka..Hawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa,wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP,wakati si kweli,
Kigoma wamezima majenerata,umeme mdogo unakatika na kusuasua,katoa majibu ya kibabaishaji akimuingiza Ndalichako kutafuta huruma, nonsense kabisa.
Mkurugenzi hilo ni jipya kwakwe, gesi imeshindwa kusaidia upungufu wa umeme,wamebinafsisha customer care services, walishindwa kupata watanzania competent kureplace wazembe waliokuwepo?,wakaamua kubinafshisha kitengo?,wizi huo,
Hawa acha wamuingize chaka rais Samia,au pengine ni mnufaika,
Magufuli aliwezaje?,hawa mbona visingizio vingi sana na kujifanya eti wao hawataongopa,ni wakweli, nonsense!,porojo na lugha laini,wananchi wanateseka,
Hii nchi mpaka mapinduzi ya uongozi yatokee tena ni lazima kabisa , vinginevyo tunasindikiza kundi la wahuni kwa woga wetu.
Sasa sumbion siwamesha inunua mitambo irejeshwe Mara ngapiAliweza,huu mgao unatengezwa na nikuhakikishie The Boss huko mbeleni zinarudishwa Symbion na Agrekko,rejea ziara ya rais wako Marekani
Magufuli aliweza nini?sasa kama aliweza mbona tuna mgao sasa hivi?
Mpumbavu mno yaani anawza jinsi Nani atakuja kuwa meneja tanesco Mbna jmaa ametukozea HV badal afikirie yey atafanya nn katk kipindi chake yey anawaza Nani wa kumridhi , pathetic kbsaKaulizwa mipango yake ya muda mrefu na mfupi,anasema anawaza wa kurithi kazi zake za nonperformance
Namaanisha makampuni model ya Symbion na Agrekko,yatakuja na majina mengine,stay tunedSasa sumbion siwamesha inunua mitambo irejeshwe Mara ngapi
Nchaa Kali snaa hakuna md pale Ni maharage matupu haswa eti anasema hata south Africa kuna mgaho alfu anataka kuleta hoja za kupandisha Bei ya tarif pumbavu SanaTumepigwa na kitu chenye ncha kali kichwani na shingoni
Muda gani umasikin una kidhiriPresentatio ni njia nzuri ya kufikisha ujumbe.... tuwape muda... mambo mazuri hayataki haraka..
Sikatai,ila ni kwanini alianza kuikingia kifua?,eti hiyo ni automatic,hakuna aliyeitengeneza,hasa pale kwenye kale kamfumo e_connectPresentatio ni njia nzuri ya kufikisha ujumbe.... tuwape muda... mambo mazuri hayataki haraka..
Nashanga Sana mtu anaye mbeza magufuli sioni kosa la magu hata Kama alikuwa katili ila he was a smart PresidentWivu wako peleka kwa mke wako
Upezi San watolewe nduki akauze vingamuzi za DStvSikatai,ila ni kwanini alianza kuikingia kifua?,eti hiyo ni automatic,hakuna aliyeitengeneza,hasa pale kwenye kale kamfumo e_connect
Kuhusu bwawa la Nyerere pale alijua ni pagumu akaamua kuweka presentation kuonyesha mambo huko ni shwari,yasiwepo maswali Magumu,kifupi hatoshi hapo,yeye na bodi nzima ya Tanesco,waondolewe haraka sana
We kila sehemu umeshawahi kuajiriwa!Nimecheleewa kujiunga ila nimejiunga saa nne HV
Naona jamaa kajipanga na kameza tanesco jinsi inavyo fanya kazi
Mm goroko nimewai ajiriwa tanesco naijuwa ndani nnje Hilo shirika muda mwingii ni upigaji ndio wanawaza tu jamaa anasema itachukwa miaka mkp 3 changamoto hzi za kukatika kwa umeme
Sijui Kama taifa tunaelekea wapi kwa taarifa hzi umasikini utakadhiri vilivyo