Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Smart how? kujenga uwanja wa ndege kijijini kwake?Nashanga Sana mtu anaye mbeza magufuli sioni kosa la magu hata Kama alikuwa katili ila he was a smart President
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Smart how? kujenga uwanja wa ndege kijijini kwake?Nashanga Sana mtu anaye mbeza magufuli sioni kosa la magu hata Kama alikuwa katili ila he was a smart President
Ana shahada ya Uhandisi wa Umeme. Acha chuki zako kwa Maharage we mpuuziNi smarter Kweli haropoki Wala nn ila
Dstv na tanesco Ni quite different hili shirika lilipazwa mtu wa field ya uhandisi wa fani ya umeme typical
Wakikaa kimya bila kujibu kero za wananchi nongwa, wakifanya vipindi kujibu kero za wananchi nongwa. Kweli Tanzania ujinga kipajiTanesco wanatoa wapi pesa za kulipia mavipindi wakati umeme hakuna?
Usisahau kuwa ukiuliza maswali magumu UNAITWA KWENYE KAMATI ZA BUNGE..!! Na unachimbwa mkwala kuwa ole wako walichokubana nacho huko kamatini ukiseme nje..!!Waandishi wenyewe ni kina Manyerere, Balile, Paskali Mayala!?
Huna lolote wewe kiazi unalolijua,Ni mpumbavu tuu usiyejielewa.Hawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa,wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP,wakati si kweli,
Kigoma wamezima majenerata,umeme mdogo, unakatikakatika na kusuasua, katoa majibu ya kibabaishaji akimuingiza Ndalichako kutafuta huruma, nonsense kabisa.
Mkurugenzi hilo la kigoma ni jipya kwakwe,kweli?,pia gesi imeshindwa kusaidia upungufu wa umeme, hapo tanesco wamebinafsisha customer care services, hivi kweli walishindwa kupata watanzania competent kureplace wazembe waliokuwepo customer care?,wakawaboreshea maslahi na mikataba mizuri?, wakaamua kubinafshisha kitengo?,wizi huo,
Hawa acha wamuingize chaka rais Samia,au pengine n na yeye ni mnufaika,
Magufuli aliwezaje?,hawa mbona visingizio vingi sana na kujifanya eti wao hawataongopa,ni wakweli, nonsense!,porojo na lugha laini,wananchi wanateseka,
Hii nchi mpaka mapinduzi ya uongozi yatokee tena ni lazima kabisa , vinginevyo tunasindikiza kundi la wahuni kwa woga wetu.
Kuna fursa ya kuuza kwenye mitandao ,ukiza swali lakoNaona Wahariri wameridhika kabisa na presentation na majibu toka kwa Mkurugenzi!
Kuna Wahariri Tanzania?Naona Wahariri wameridhika kabisa na presentation na majibu toka kwa Mkurugenzi!
Sasa Kama ulikuwa na jibu lako kichwani ulitegemea Nini?Yaan kuna swali ameulizwa namna ambavyo gesi inaweza kusaidia umeme wa maji unaokabiliwa na changamoto lukuki
Yaan CEO maharage alivyojibu nilitulia kwanza nikasema is this the man au tutarajie mwingine?? lakini baadae nikaanza kuona kama anaanza kuenea kwenye kiti lakini mmh Mr. CEO
Akili yako ni kisoda..CEO anaweza kuwa hata HRO tuu Wala hakuhitaji kuwa nanbachelor ya umeme..Eti kasoma Bsc electronic and telecommunication
Sijui Nani aliona huyu jamaa anaweza kutusadia ktk shirika kubwa letu hili
Unafananisha performance za DStv na tanesco dah [emoji1787]
Hawapo upo weweKuna Wahariri Tanzania?
Kwa iyo kukatika kwa umeme kunatokana na Rais na watendaji wake?Tulitakiwa kuona huo usmart kwenye field as long as umeme una katika hivyo wote waliopo kwenye field hiyo kuanzia mfanya maamuzi Rais hadi kwa mtendaji wote ni matatizo.
Huwezi mtoa MTU huko alikuwa anasambaza masidishi ya DSTV na kumleta kuongoza shirika ambalo ndio nguzo ya uchumi Tanzani.Mbaya zaidi watu wote tunakaa kuwaangalia tunategemea walete majibu-poor us.
Ana uweso.wa kutawala jukwaa ,safi Sana. Waislamu Mara nyingi Ni wanyenyekevu na wasio na majivuni.Ila huyu jamaa ana confidence nzuri mno
Ndivyo yule mjinga Mwendazake alivyokuwa anaendesha Nchi kienyehi kwa kuharibu sekta zingine.Projects ni priority with time...
1. Ajira zimetolewa ( miaka 5 hakukua na ajira)- afya+ elimu
2. Mashule+ hospitali zimejengwa kila kijiji
3. Mbolea za ruzuku+ masoko kwa wakulima
Hivyo vyote visingeweza kusubiri bwawa likamilike....
Nchi hii wajinga wengi sana. Ndugu zao kila siku wapo maporini huko kuharibu mazingira na kukata miti kiasi ambacho mvua zimekuwa kizungumkuti alafu wanakuja humu kusema eti Rais na watendaji hawafaiMiradi itegemeayo mvua haifai
Wapo... as long kuna vyombo vya Habari...Kuna Wahariri Tanzania?
Of course alikuwa mpuuzi ndio,Hakunaga Umeme wa chanzo kimoja haupo..Ukiwasikiliza unaweza dhani watu wa maana kweli.
Mie niliukuta mdahalo kati wakati natafuta taarifa ya habari ITV YouTube.
Niliposikia tu analalama unit cost wanauza 33% chini ya production costs, halafu hapo hapo wanawekeza kwenye vyanzo ambavyo unit costs zake ni kubwa mwanzoni, na uwekezaji wenyewe ni private (ndio ubia wenyewe) halafu anasema TANESCO ni 100%, nikaona sina sababu ya kusikiliza upuuzi unaofuata.
Hivi wanadhani Magufuli alikuwa mpuuzi kutoipa miradi mingine yeyote kipaumbele na ku focus kwenye mmoja tu ambao ukiisha ni mwarobaini kwa miaka kama kumi ijayo, wengine waongeze vyanzo vingine ndani ya huo muda wakati tunajimudu.
Unfortunately umesalia na wishful thinking 😁😁.Upezi San watolewe nduki akauze vingamuzi za DStv
Mkp huyu jamaa anaondoka taifa litakuwa maskini kuliko vipindi vyote
Ni Mu OmanMaharage ni mtanzania kweli?
Ukitaka aitwe John Pombe?Mtu anaitwa Maharage kweli?