Mahojiano ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO ni usanii mtupu

Mahojiano ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO ni usanii mtupu

Hawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa,wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP,wakati si kweli,
Kigoma wamezima majenerata,umeme mdogo, unakatikakatika na kusuasua, katoa majibu ya kibabaishaji akimuingiza Ndalichako kutafuta huruma, nonsense kabisa.

Mkurugenzi hilo la kigoma ni jipya kwakwe,kweli?,pia gesi imeshindwa kusaidia upungufu wa umeme, hapo tanesco wamebinafsisha customer care services, hivi kweli walishindwa kupata watanzania competent kureplace wazembe waliokuwepo customer care?,wakawaboreshea maslahi na mikataba mizuri?, wakaamua kubinafshisha kitengo?,wizi huo,

Hawa acha wamuingize chaka rais Samia,au pengine n na yeye ni mnufaika,

Magufuli aliwezaje?,hawa mbona visingizio vingi sana na kujifanya eti wao hawataongopa,ni wakweli, nonsense!,porojo na lugha laini,wananchi wanateseka,

Hii nchi mpaka mapinduzi ya uongozi yatokee tena ni lazima kabisa , vinginevyo tunasindikiza kundi la wahuni kwa woga wetu.
Huna lolote wewe kiazi unalolijua,Ni mpumbavu tuu usiyejielewa.

Kati ya wewe ,Tanesco na Wahariri Ni wwpi wanaaminika?
 
Yaan kuna swali ameulizwa namna ambavyo gesi inaweza kusaidia umeme wa maji unaokabiliwa na changamoto lukuki
Yaan CEO maharage alivyojibu nilitulia kwanza nikasema is this the man au tutarajie mwingine?? lakini baadae nikaanza kuona kama anaanza kuenea kwenye kiti lakini mmh Mr. CEO
Sasa Kama ulikuwa na jibu lako kichwani ulitegemea Nini?
 
Tulitakiwa kuona huo usmart kwenye field as long as umeme una katika hivyo wote waliopo kwenye field hiyo kuanzia mfanya maamuzi Rais hadi kwa mtendaji wote ni matatizo.

Huwezi mtoa MTU huko alikuwa anasambaza masidishi ya DSTV na kumleta kuongoza shirika ambalo ndio nguzo ya uchumi Tanzani.Mbaya zaidi watu wote tunakaa kuwaangalia tunategemea walete majibu-poor us.
Kwa iyo kukatika kwa umeme kunatokana na Rais na watendaji wake?
 
Projects ni priority with time...
1. Ajira zimetolewa ( miaka 5 hakukua na ajira)- afya+ elimu
2. Mashule+ hospitali zimejengwa kila kijiji
3. Mbolea za ruzuku+ masoko kwa wakulima
Hivyo vyote visingeweza kusubiri bwawa likamilike....
Ndivyo yule mjinga Mwendazake alivyokuwa anaendesha Nchi kienyehi kwa kuharibu sekta zingine.
 
Miradi itegemeayo mvua haifai
Nchi hii wajinga wengi sana. Ndugu zao kila siku wapo maporini huko kuharibu mazingira na kukata miti kiasi ambacho mvua zimekuwa kizungumkuti alafu wanakuja humu kusema eti Rais na watendaji hawafai

Ukiwauliza kama Rais na watendaji ndo wanawajibika kuleta mvua na kujaza mabwawa ili kusiwe na mgao wa umeme na maji yanaishia kubwabwaja tu
 
Ukiwasikiliza unaweza dhani watu wa maana kweli.

Mie niliukuta mdahalo kati wakati natafuta taarifa ya habari ITV YouTube.

Niliposikia tu analalama unit cost wanauza 33% chini ya production costs, halafu hapo hapo wanawekeza kwenye vyanzo ambavyo unit costs zake ni kubwa mwanzoni, na uwekezaji wenyewe ni private (ndio ubia wenyewe) halafu anasema TANESCO ni 100%, nikaona sina sababu ya kusikiliza upuuzi unaofuata.

Hivi wanadhani Magufuli alikuwa mpuuzi kutoipa miradi mingine yeyote kipaumbele na ku focus kwenye mmoja tu ambao ukiisha ni mwarobaini kwa miaka kama kumi ijayo, wengine waongeze vyanzo vingine ndani ya huo muda wakati tunajimudu.
Of course alikuwa mpuuzi ndio,Hakunaga Umeme wa chanzo kimoja haupo..

Ukomae na Maji afu Uje ukame uanze Tena kuhangaika? China Ukame umepiga bwawa kubwa kabisa na kusababisha Mgao,huo Ni upuuzi..

Go expensive but reliable..Hapo Kenya umeme 90% Ni renewable na Hakuna Cha Maji na Mambo yanaenda..

Kimsingi wewe Ni mjinga,Tanesco wameaema watawekeza kwenye vyanzo vya uhakika hasa gas na joto ardhi ili wawe na umeme mwingi na wauze huko SADC ambako Bei Ni Juu na pesq watakazopata huko ndio zije kuendeshwa shirika kwa faida na kukusaidia wewe maskini unaedhani 230,000 yako na 27,000 Ni Bei kubwa..

This is big brain
 
Upezi San watolewe nduki akauze vingamuzi za DStv

Mkp huyu jamaa anaondoka taifa litakuwa maskini kuliko vipindi vyote
Unfortunately umesalia na wishful thinking 😁😁.

On ground Hali iko hivi 👇
 

Attachments

  • 20221118_133653.jpg
    20221118_133653.jpg
    842.7 KB · Views: 1
Back
Top Bottom