Mahojiano ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO ni usanii mtupu

Mahojiano ya Mkurugenzi Mkuu TANESCO ni usanii mtupu

Kuna issue ya kufungulia mabwawa ameleisi mwandishi mmoja, anasema hakuwepo na ni ngumu kufungulia mabwawa kwa sababu za kiusalama,ya kwamba haiwezekani, issue hapo ni kwamba yalifanyika ya kufungulia maji taratibu kwa lengo la kulowa levo za mabwawa hasa mtela,hawa wanataka kumprove wrong hayati Magufuli lakini wanaishia maneno mengi perform poor
Yaan kuna swali ameulizwa namna ambavyo gesi inaweza kusaidia umeme wa maji unaokabiliwa na changamoto lukuki
Yaan CEO maharage alivyojibu nilitulia kwanza nikasema is this the man au tutarajie mwingine?? lakini baadae nikaanza kuona kama anaanza kuenea kwenye kiti lakini mmh Mr. CEO
 
Nimecheleewa kujiunga ila nimejiunga saa nne HV

Naona jamaa kajipanga na kameza tanesco jinsi inavyo fanya kazi
Mm goroko nimewai ajiriwa tanesco naijuwa ndani nnje Hilo shirika muda mwingii ni upigaji ndio wanawaza tu jamaa anasema itachukwa miaka mkp 3 changamoto hzi za kukatika kwa umeme

Sijui Kama taifa tunaelekea wapi kwa taarifa hzi umasikini utakadhiri vilivyo
 
Hawa kina Maharage Chande kazi imewashinda kabsaa,wameandaa slide kuhadaa umma hatua za JNHP,wakati si kweli,
Kigoma wamezima majenerata,umeme mdogo unakatika na kusuasua,katoa majibu ya kibabaishaji akimuingiza Ndalichako kutafuta huruma, nonsense kabisa.

Mkurugenzi hilo ni jipya kwakwe, gesi imeshindwa kusaidia upungufu wa umeme,wamebinafsisha customer care services, walishindwa kupata watanzania competent kureplace wazembe waliokuwepo?,wakaamua kubinafshisha kitengo?,wizi huo,

Hawa acha wamuingize chaka rais Samia,au pengine ni mnufaika,

Magufuli aliwezaje?,hawa mbona visingizio vingi sana na kujifanya eti wao hawataongopa,ni wakweli, nonsense!,porojo na lugha laini,wananchi wanateseka,

Hii nchi mpaka mapinduzi ya uongozi yatokee tena ni lazima kabisa , vinginevyo tunasindikiza kundi la wahuni kwa woga wetu.
Hao ni vijambio vya mama mashungi hakuna jipya
 
Huyu muuza vifurushi vya Bongo movie DSTv na masuala ya Umeme wapi na wapi!
Nchi ngumu sana hii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125][emoji125]
Eti kasoma Bsc electronic and telecommunication

Sijui Nani aliona huyu jamaa anaweza kutusadia ktk shirika kubwa letu hili

Unafananisha performance za DStv na tanesco dah [emoji1787]
 
Nimecheleewa kujiunga ila nimejiunga saa nne HV

Naona jamaa kajipanga na kameza tanesco jinsi inavyo fanya kazi
Mm goroko nimewai ajiriwa tanesco naijuwa ndani nnje Hilo shirika muda mwingii ni upigaji ndio wanawaza tu jamaa anasema itachukwa miaka mkp 3 changamoto hzi za kukatika kwa umeme

Sijui Kama taifa tunaelekea wapi kwa taarifa hzi umasikini utakadhiri vilivyo
Kaulizwa mipango yake ya muda mrefu na mfupi,anasema anawaza wa kurithi kazi zake za nonperformance
 
Back
Top Bottom