Mkuu mazonge ni part and parcel ya mchakato... Never regret take it as a less kisha fanya chaguo bora zaidi... Grieving is fine ila usijute...Hahaahaa mkuu wewe ndio unafaa Una uzoefu mkubwa hata ukipigwa mazonge
Aisee pole Sana kakaNilishakuwa na msichana nafanyia kila kitu upendo wa kweli na sikuwahi hata kuwaza kumcheat japo na yeye sikuwa na mshaka nae pia ila unajua nn kilitokea ?
Ghafla tu naona anampost bwana ake siku namuuliza ananambia mi nilikuwa na ww ila sijawahi kukupenda sikuwa na hisia na ww japo we ulikuwa mtu mwema kwangu.
Bro iliniuma mno ukizingatia nishapoteza mda wangu pia vizawad na matarajio yangu kwake yalikuwa makubwa.
Ulibahatika mkuu mwanamke mwenye tamaa hafai anaishia kua Malaya anayepitiwa na kila kidume baadae wanakuja kukumbuka wako 45+ hakuna anayemtaka tena, hivo huyo komaa naeKweli mkuu Moja ya vitu nashukuru sana
mkuu uko vizuri , bahati mbaya utakuta wanawake kama ninyi hamna hata ndoaMkuu mazonge ni part and parcel ya mchakato... Never regret take it as a less kisha fanya chaguo bora zaidi... Grieving is fine ila usijute...
Umeongea kweli kabisa.Mahusiano yote Yana faida na hasara kwa Pande zote inategemea hasara imeanza kumkuta nani na faida imeanza kumkuta nani , kwa Mimi Yule mbwakoko Bora nilimwacha
Kweli mkuuUlibahatika mkuu mwanamke mwenye tamaa hafai anaishia kua Malaya anayepitiwa na kila kidume baadae wanakuja kukumbuka wako 45+ hakuna anayemtaka tena, hivo huyo komaa nae
Mkuu nitafutaMkuu mazonge ni part and parcel ya mchakato... Never regret take it as a less kisha fanya chaguo bora zaidi... Grieving is fine ila usijute...
Tena unataka umtafuteMkuu nitafuta
Ndio mkuu ana mawazo mazuri sanaTena unataka umtafute
Life is the best teacherKweli wewe legend
Hahaha ha.. Nimecheka mbele za watu... Let me reserve my commentmkuu uko vizuri , bahati mbaya utakuta wanawake kama ninyi hamna hata ndoa
mkuu usinicheke, au nimekoseaHahaha ha.. Nimecheka mbele za watu... Let me reserve my comment
Sawa legendary ya mahusianoLife is the best teacher
mkuu kwani kuna matata nikimtafuta?Tena unataka umtafute
Walaha hapana maneno Mie hata simjui huyomkuu kwani kuna matata nikimtafuta?