Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wee umeshushiwa mume unamkataa kisa unataka kutombanaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Walaaa nilimkataza kwakua nilitaka kumuacha... yalikuwa mahusiano ya kikanisa tunda mpaka ndoa...
Ni kama wewe mwanamke akwambie usiende kazini bika sababu ya msingi.
Ndio...mie nilikamatwa.Wewe ndo ulikuwa chanzo cha kuachana
KudadekiHahaha aling'ang'ana kwenda kwaya me nkamwambia asiende namhitaj mda huo. Nlijua kabisa ataenda ...aliporudi akakutana na kibuti saaafii
Mhm so wee unapenda kugegeduana na kila mtu anachukua hamsini zake...wee utanifaaaHahahaha
Me sitaki bwana. Sijawahi kuwa serious miaka hii
Aka siko hivyo bwana...ntagegedana je na kila mtu? We komaa.Mhm so wee unapenda kugegeduana na kila mtu anachukua hamsini zake...wee utanifaaa
Kwani kila mwanaume muwongo bwana....tupo sie wakina mzabzab wakweli kabisa.Aka siko hivyo bwana...ntagegedana je na kila mtu? We komaa.
Yani ile serious sana kwakweli sitaki. Watu ni waongo sana.
Nkisema nakupenda lazima nibakishe kilinda moyo
Mimi watu wa kanisa kila siku nilishasema siwezi
Sasa jamani wanawake msitongozweHahaha ushabadili upepo wa thread...yani wewe mzabzab wewe
Kwani wa mtaani sii ndio sie wa humu jfWe nae wa mtaani wameisha?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahMie siku mbili tu jamani, Jamaa yule alikua anapiga simu kama customer care. Alafu cha maana hakuna..mara umekula, unafanyaje, nimekumiss mfyuu ila si kosa lake alikua jobless yaan wanaume fanyeni kazi hata kama kuzibua choo wacheni ubishoo.
Uko sahihi haswaaah,Mkitaka mapenzi yenu yadumu mmoja wenu inabidi ajifyatue akili bila hivo hamtoboi. Mapenzi na akili haviendi pamoja[emoji124][emoji124][emoji124]
View attachment 2270108