Mahusiano mafupi kuliko yote ushawahi kuwa nayo

Mahusiano mafupi kuliko yote ushawahi kuwa nayo

Mie siku mbili tu jamani, Jamaa yule alikua anapiga simu kama customer care. Alafu cha maana hakuna..mara umekula, unafanyaje, nimekumiss mfyuu ila si kosa lake alikua jobless yaan wanaume fanyeni kazi hata kama kuzibua choo wacheni ubishoo.
Achana na hao wapaka poda
 
Sema tu nimejiunga no fap challenge kwahyo siwez kula tena Kuna goma nimelitongoza leo asubuhi mchana limenipigia video call lipo uchi kabisa

Nime screen shot mapema leo leo nimemuacha hayo ndio mahusiano yangu nadhani yameisha mapema sana nimewahadhia wana najua wana wakija magheton watataka story na ushahidi



Ukiwa kama mwanaume we mwenyewe unachagua time scale ya mahusiano either siku au wiki

NB : usithubutu kumwambia mwanamke sikutaki au tuachane mwache akwambie mwenyewe au ajiondoe mwenyewe

Sometimes simba unakosa nyama inabidi ule nyasi tu
 
Mimi yangu yalidumu masaa matano tu .Kuna single maza mmoja tuko nae mtaani yuko vizuri anafaa kwa matumizi, juzi tu nilimuomba namba yake ilikuwa mchana akanipatia nikamuimbisha single maza kakubali, eti jioni ananipigia simu ananiambia "watoto wako wanataka chipsi mayai na mishkaki miwili" kabla hajakata simu akaniita "mumewangu" kisha akaniambia "uwachukulie wanao na soda" akamalizia kusema "nakupenda sana mumewangu"

Ana wazimu nikamtia bloku kwenye simu mpaka duniani, hata mapenzi hayajachanganya naitwa mume na watoto nimepewa. Mgonjwa kweli huyu single maza.
 
Sema tu nimejiunga no fap challenge kwahyo siwez kula tena Kuna goma nimelitongoza leo asubuhi mchana limenipigia video call lipo uchi kabisa

Nime screen shot mapema leo leo nimemuacha hayo ndio mahusiano yangu nadhani yameisha mapema sana nimewahadhia wana najua wana wakija magheton watataka story na ushahidi



Ukiwa kama mwanaume we mwenyewe unachagua time scale ya mahusiano either siku au wiki

NB : usithubutu kumwambia mwanamke sikutaki au tuachane mwache akwambie mwenyewe au ajiondoe mwenyewe

Sometimes simba unakosa nyama inabidi ule nyasi tu
Hahahahaha nimeona mbinu zenu wapiganaji
 
Mimi yangu yalidumu masaa matano tu .Kuna single maza mmoja tuko nae mtaani yuko vizuri anafaa kwa matumizi, juzi tu nilimuomba namba yake ilikuwa mchana akanipatia nikamuimbisha single maza kakubali, eti jioni ananipigia simu ananiambia "watoto wako wanataka chipsi mayai na mishkaki miwili" kabla hajakata simu akaniita "mumewangu" kisha akaniambia "uwachukulie wanao na soda" akamalizia kusema "nakupenda sana mumewangu"

Ana wazimu nikamtia bloku kwenye simu mpaka duniani, hata mapenzi hayajachanganya naitwa mume na watoto nimepewa. Mgonjwa kweli huyu single maza.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mimi yangu yalidumu masaa matano tu .Kuna single maza mmoja tuko nae mtaani yuko vizuri anafaa kwa matumizi, juzi tu nilimuomba namba yake ilikuwa mchana akanipatia nikamuimbisha single maza kakubali, eti jioni ananipigia simu ananiambia "watoto wako wanataka chipsi mayai na mishkaki miwili" kabla hajakata simu akaniita "mumewangu" kisha akaniambia "uwachukulie wanao na soda" akamalizia kusema "nakupenda sana mumewangu"

Ana wazimu nikamtia bloku kwenye simu mpaka duniani, hata mapenzi hayajachanganya naitwa mume na watoto nimepewa. Mgonjwa kweli huyu single maza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mimi yangu yalidumu masaa matano tu .Kuna single maza mmoja tuko nae mtaani yuko vizuri anafaa kwa matumizi, juzi tu nilimuomba namba yake ilikuwa mchana akanipatia nikamuimbisha single maza kakubali, eti jioni ananipigia simu ananiambia "watoto wako wanataka chipsi mayai na mishkaki miwili" kabla hajakata simu akaniita "mumewangu" kisha akaniambia "uwachukulie wanao na soda" akamalizia kusema "nakupenda sana mumewangu"

Ana wazimu nikamtia bloku kwenye simu mpaka duniani, hata mapenzi hayajachanganya naitwa mume na watoto nimepewa. Mgonjwa kweli huyu single maza.
🤣🤣🤣 baba wa kambo ungenunua tuu
 
Back
Top Bottom