Mahusiano mafupi kuliko yote ushawahi kuwa nayo

Mahusiano mafupi kuliko yote ushawahi kuwa nayo

Mimi yalikua ya week 2 na msambaa mmoja wa Tegeta iyo siku nimetoka kumnyandua narud zangu mabibo niko kwny traffic ya mwenge akaanza kupga simu kipuuz me nikamwambia hiz calls hata ziwe nyingi vip haziwez kuungana kuwa wimbo tulia,ndo km tukakaushiana mazma, alikua mtamu sana anarotate kila upande,iyo cku nimempga akaona simwagi ikabid aanze blow job nikammwagia mdomoni nyieeee Tanga mapenz yapo sio hadithi za kusadikika
 
Mimi yangu yalidumu masaa matano tu .Kuna single maza mmoja tuko nae mtaani yuko vizuri anafaa kwa matumizi, juzi tu nilimuomba namba yake ilikuwa mchana akanipatia nikamuimbisha single maza kakubali, eti jioni ananipigia simu ananiambia "watoto wako wanataka chipsi mayai na mishkaki miwili" kabla hajakata simu akaniita "mumewangu" kisha akaniambia "uwachukulie wanao na soda" akamalizia kusema "nakupenda sana mumewangu"

Ana wazimu nikamtia bloku kwenye simu mpaka duniani, hata mapenzi hayajachanganya naitwa mume na watoto nimepewa. Mgonjwa kweli huyu single maza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ah qu####ke[emoji1787]
 
juzi tu nimeomba namba nkapewa tukachat kidogo akasema my gas imeishaa hapa yani hata sielewi nafanyajee.... na mimi msg zikaishaaa ghafla na simu sikupokea tenaa 😀 😀 😀
Hahahaaaaa!!! umesema gas imeisha na sijui nafanyaje hapa, umenikukumbusha kitu, hivi kwanini wadada wengi gas huwa inaisha na siku zao za kuzaliwa zinakuwa jmosi ijayo pale tu mkianza mahusiano [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mie nakumbuka kuna mdada mahusiano yetu yalidumu kwa dakika tatu tu tukaachana maana nilivyomwambia tu kwamba namtaka hapo hapo akaanza invoice nyingi mara anadaiwa kodi, simu yake mbovu, anataka elfu hamsini akasuke, nk.
Muda huo huo nilifuta namba yake nikapita hivi
 
Mimi yangu yalidumu masaa matano tu .Kuna single maza mmoja tuko nae mtaani yuko vizuri anafaa kwa matumizi, juzi tu nilimuomba namba yake ilikuwa mchana akanipatia nikamuimbisha single maza kakubali, eti jioni ananipigia simu ananiambia "watoto wako wanataka chipsi mayai na mishkaki miwili" kabla hajakata simu akaniita "mumewangu" kisha akaniambia "uwachukulie wanao na soda" akamalizia kusema "nakupenda sana mumewangu"

Ana wazimu nikamtia bloku kwenye simu mpaka duniani, hata mapenzi hayajachanganya naitwa mume na watoto nimepewa. Mgonjwa kweli huyu single maza.
Hatari sana, eti mume wangu then ulete chips na mishikaki bila kusahau soda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wiki Mbona ndefu Sana,

Niliwai kua na mahusiano na binti mmoja ndani ya usiku mmoja tu wa party ya harusi (saa 3 usiku mpk saa 7 usiku).

Kesho yake asbh saa 4 tunakusanya maturubai, yakafa rasmi
Heee 😂 mlizinguana ama ndio makubaliano yenu yalivyokua?
 
Mie nakumbuka kuna mdada mahusiano yetu yalidumu kwa dakika tatu tu tukaachana maana nilivyomwambia tu kwamba namtaka hapo hapo akaanza invoice nyingi mara anadaiwa kodi, simu yake mbovu, anataka elfu hamsini akasuke, nk.
Muda huo huo nilifuta namba yake nikapita hivi
Hahahah
 
Tumekutana kazini kwake
nikakasemesha kakasemeka, jioni nikaombwa zawadi nikapeleka,kesho nikuombwa bando nikaunga kesho nikaombwa 50,000 isiyo hata na maelezo.
Nikaona hapa kuna hesabu za kuzidisha tu nikatulia.
Hivi wanawake wanaomba omba at the beginning huwa wanafikiria nini ambacho wengine hatukijui labda??
 
Hahahaaaaa!!! umesema gas imeisha na sijui nafanyaje hapa, umenikukumbusha kitu, hivi kwanini wadada wengi gas huwa inaisha na siku zao za kuzaliwa zinakuwa jmosi ijayo pale tu mkianza mahusiano [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
yani gas ikiisha si unanunua mkaaa 😀 😀 😀 😀 fala mmoja tu nkamfutilia mbali kimuonekano nlijua anajielewaaa kumbe utopolo
 
Back
Top Bottom