Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]Hahaha aling'ang'ana kwenda kwaya me nkamwambia asiende namhitaj mda huo. Nlijua kabisa ataenda ...aliporudi akakutana na kibuti saaafii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ah qu####ke[emoji1787]Mimi yangu yalidumu masaa matano tu .Kuna single maza mmoja tuko nae mtaani yuko vizuri anafaa kwa matumizi, juzi tu nilimuomba namba yake ilikuwa mchana akanipatia nikamuimbisha single maza kakubali, eti jioni ananipigia simu ananiambia "watoto wako wanataka chipsi mayai na mishkaki miwili" kabla hajakata simu akaniita "mumewangu" kisha akaniambia "uwachukulie wanao na soda" akamalizia kusema "nakupenda sana mumewangu"
Ana wazimu nikamtia bloku kwenye simu mpaka duniani, hata mapenzi hayajachanganya naitwa mume na watoto nimepewa. Mgonjwa kweli huyu single maza.
Hahahaaaaa!!! umesema gas imeisha na sijui nafanyaje hapa, umenikukumbusha kitu, hivi kwanini wadada wengi gas huwa inaisha na siku zao za kuzaliwa zinakuwa jmosi ijayo pale tu mkianza mahusiano [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]juzi tu nimeomba namba nkapewa tukachat kidogo akasema my gas imeishaa hapa yani hata sielewi nafanyajee.... na mimi msg zikaishaaa ghafla na simu sikupokea tenaa 😀 😀 😀
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]we umetishaMe: Nakupenda sana
Her: Nakupenda pia, naomba 10k
Me: Sina kitu
Her: Tuachane na sijawahi hata kukupenda.
It's Just 4 chatting within 20 seconds nikaachwa [emoji41]
Umetisha mkuu, kuna yale yalianzai bar bukoba yakaishia lodge mana mdau alimtoroka demu japo gharama zote alilipaMahusiano yangu yalianzia mtera yakaishia ishia dodoma ndani ya shabiby [emoji38][emoji38]
Hatari sana, eti mume wangu then ulete chips na mishikaki bila kusahau sodaMimi yangu yalidumu masaa matano tu .Kuna single maza mmoja tuko nae mtaani yuko vizuri anafaa kwa matumizi, juzi tu nilimuomba namba yake ilikuwa mchana akanipatia nikamuimbisha single maza kakubali, eti jioni ananipigia simu ananiambia "watoto wako wanataka chipsi mayai na mishkaki miwili" kabla hajakata simu akaniita "mumewangu" kisha akaniambia "uwachukulie wanao na soda" akamalizia kusema "nakupenda sana mumewangu"
Ana wazimu nikamtia bloku kwenye simu mpaka duniani, hata mapenzi hayajachanganya naitwa mume na watoto nimepewa. Mgonjwa kweli huyu single maza.
Heee 😂 mlizinguana ama ndio makubaliano yenu yalivyokua?Wiki Mbona ndefu Sana,
Niliwai kua na mahusiano na binti mmoja ndani ya usiku mmoja tu wa party ya harusi (saa 3 usiku mpk saa 7 usiku).
Kesho yake asbh saa 4 tunakusanya maturubai, yakafa rasmi
HahahahMie nakumbuka kuna mdada mahusiano yetu yalidumu kwa dakika tatu tu tukaachana maana nilivyomwambia tu kwamba namtaka hapo hapo akaanza invoice nyingi mara anadaiwa kodi, simu yake mbovu, anataka elfu hamsini akasuke, nk.
Muda huo huo nilifuta namba yake nikapita hivi
Ana kichaa yule sio bure [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787] baba wa kambo ungenunua tuu
Masingle maza wana ladha yao amazing, kununua sio tatizo, tatizo kunipa watoto wa mwanaume mwenzangu kizembezembe tuYaani mzeya chips na soda tuu imekunyima mbususu ya single maza...wanajua kugegedana wewe masingle maza
yani gas ikiisha si unanunua mkaaa 😀 😀 😀 😀 fala mmoja tu nkamfutilia mbali kimuonekano nlijua anajielewaaa kumbe utopoloHahahaaaaa!!! umesema gas imeisha na sijui nafanyaje hapa, umenikukumbusha kitu, hivi kwanini wadada wengi gas huwa inaisha na siku zao za kuzaliwa zinakuwa jmosi ijayo pale tu mkianza mahusiano [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]