Dionize N
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,848
- 3,293
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kweli wanaume wafanye kazi...
Lakini jaman ss ke tukiwa hatupigiwi simu huwa tunalalamika..tukipigiwa pia tatizo...
Akiuliza umekula inabidi awe ametuma muamala ws chakula
Hamnaga jema nyie kwa kweli