Mwaka 2015 nikiwa Likizo home, siku moja nilikuwa napita kutembeatembea mitaani na baiskeli maana nilimiss sana mitaa ya home, nikakutana na mrembo mmoja naye alikuja kwa dada wake kumsalimia.. Frankly Demu nilimuelewa sana naye nahisi baada ya kuniona alinielewa sana Shombeshombe.. So nikamsalimia pale na porojoporojo za hapa na pale nikafanikiwa kujua jina lake naye akajua jaina langu.. about phone namba ye hakuwa na Simu, Binafsi nakumbuka nilikuwa na kiswaswadu changu nilichokuwa natumia mambo ya transactions huko high school kutoka home.
So nkasema huyo dogo simwachi, kesho jioni lazima Nije tena na natongoza kabisa. kesho ikafika na nikatimba maeneo nikamtuma dogo mmoja akaniitie, dakika chache mrembo huyo na mambo yalianzia hapo na nikatoka nikiwa na furaha.. kesho kutwa yake nikaomba mzigo kisomi kidogo, nikampanga tuende home hata akapajue site napoishi,,,duuuh dogo alivuliwa chupi usiku huohuo.. nikamsindikiza kwao.. nadhani Toka siku hyo hatukuonana tena.. So Naweza Kusema ni relationship yangu ya kibabe iliyodumu ndani ya siku 3 tu na ikaishia hapo yaan sijui ilikuwaje After Likizo nikarudi zangu shule.
Ujana maji ya moto😂😂