Mahusiano na wake za watu yameniponza na kunirudisha nyuma

nouma sana, nipo hapa nasubiria mwendelezo mkuu.
 
Kelebe:

Hii ya Hawa hiii...kuna muda ni maroho ya wake za watu na inafika mahali hakuna mke wa mtu utamuomba akunyime maana mnaanza kutambuana kwa vilemba. Shetani haji kama movie anakuja akiwa mzuri.😊
 
Ukweli wa moyo namshukuru Mungu aliniepusha maana ningemuua mke wangu mwema,nadhani kilichosaidia ni kutumia condom sana,ni wanawake wawili tu nilienda nao kavu na namshukuru nilipita salama
Unamshukuru Mungu kwa uzinzii [emoji1]

Apo shukuru shetani wa zamu skuiyo hakua mnoko

Mungu hashkuriwi kwa uzinzii
 
Zidumu Fikra Za Mwenyekiti Wa Chama πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜…πŸ˜πŸ˜€πŸ˜…πŸ˜†πŸ˜πŸ˜Ž
 
Aiseee wake za watu imekua mada sana jf. Hivi hamna wake za watu humu nao watoe shuhuda za kusaliti ndoa zao tuwe na uhakika.
Maana wanaotoa shuhuda ni wanaume tu kua wamewala, mko wapi waliwa mtubitishe iwe 50/50 jama 😁😁
 
Aiseee wake za watu imekua mada sana jf. Hivi hamna wake za watu humu nao watoe shuhuda za kusaliti ndoa zao tuwe na uhakika.
Maana wanaotoa shuhuda ni wanaume tu kua wamewala, mko wapi waliwa mtubitishe iwe 50/50 jama 😁😁
Hawanaga mambo mengi wanapenda kuliwa kimya kimya
 
Oyaaa malizia umemaliza popCorn zangu zote [emoji1787][emoji1787][emoji1787] fanya umalizie hiko kipande kilicho baki chap chap na mm nikatafute limama limoja lililoolewa [emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…